Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Haha kumbe mimi ni mbishi eti??
Wewe kama siyo Kigoma utakuwa Same.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha kumbe mimi ni mbishi eti??
Mahitaji makubwa ya mwanaume katika mahusiano ni se.x,na ni vigumu mwanamke mmoja kumtimizia mara zote pale mwanaume anapohitaji;ukiona watu wameishi kwenye uhusiano au ndoa miaka mingi na yenye utulivu jua ya kuwa mzee (me) kuna sehemu anapiga show kistaarabu.Kwa sasa hivi unaweza usiitambue ila ingia kwenye ndoa,na bahati mbaya ukutane na mtu ambaye nguvu zake bado kuchakachuliwa;utashangaa kila baada ya dakika 30 anataka,kwa hali hiyo kwako itakuwa ni mateso....kwa hiyo akichepuka nje inakuwa ni unafuu na utulivu ndani ya nyumba.
lengo langu lilikua ni kuelewesha tu source ya haya yote ni nini. kama unaona biblia inawanyanyasa mnataka turudi kwenye maadili ya kiafrika? huko si ndo mtavuja damu kabisa?
Huyu nilitaka awe mke wangu wa nne,lakini akanikataa,sasa leo nimemuona nikasema nimsalimie.
Huu uongo ulio pitiliza sababu hata ushahidi uwezi kuutoa.Hilo swala na haki sawa lazima ufikirie beyond sio huku wa Africa mnaamini kuonea mwanamke na kumfanyia uchafu ndo uanaume tu,
Kwako wewe heshima ni nini au kwa jinsi ulivyofundishwa heshima ni nini ?na hamtaki kuheshimu wala kuwaruhusu wawe huru wakati ni binadamu.
Hahahaa umenikumbusha mbali ujue,,,, kwenye mambo magumu haki sawa hai balanceKama ingekuwa tunaendana na tupo sawa basi pele lingekua limempata mkunaji..
Mnasema hamna cha kupoteza eti niiiiniiiiiii ??? Iyo kitu ikishakuwa ndala utajiringanisha na ya binti wa miaka 18 hebu shika adabu yako...
Kimsingi nyie ndio mnaongoza kwa kulalamika na kuongea sana kuhusu wanaume..hebu fikiria kuna taasisi ngapi mmeanzisha kwa ajili ya kuwatetea wanawake ?????na za wanaume zipo ngapi ???
Tena mkafika mbali eti mnataka haki sawa yani 50/50 tukasema hakuna shida akija kaka jambazi huko nnje anza kutoka wewe mkasema ooihh haki sawa hatukumaanishi hivyo...
Dhambi zetu haziwezi kuwa sawa hata kidogo wewe unatia sisi tunatia mwanaume anaweza kuwapa mimba wanawake 10 ndani ya mwaka mmoja je wewe kama mwanamke peke yako unaweza kushika mimba 10 ndani ya mwaka mmoja..
Tunapoamua kuwa wanaume nyie wanawake inatakiwa mshinde jikoni ata hivyo mshukuru tumewahurumia sana..
Njoo pm baby tuongezee zaidi
Shehe kumbe na wewe humo..
Biblia kwanza haijahalalisha dhambi yoyote vile watu mnatafsiri vibaya tu maandiko, mila za kiaftica zako hazitumiki zimeachwa siku mingi. Sasa hivi technology, education mambo mengi ya hovyo yameshaachwa ndo mana hata nyie mnalalamika wanawake wameharibika vile wanawake wanajitambua, na nyie wanaume wa Africa uanaume wenu ili ukamilike ni lazima mnyanyase wanawake mwanamke mjanja mnamuogopa ka homa ya ini
Hujakosa.Hahaaa mke wa nne kabisa ili iweje chah nimekosa wanaume au?
Wapi mkuu?Soma Mkuu
You could have been a very good company to her.
Mtuvumilie tu, maisha yamebadilika katika kiasi ambacho hatukuwa tumejipanga nacho, we relaxed thinking kwamba we will always be on top.
Shule, utandawazi umeleta mabadiliko ambayo hatukuyategemea, so linapokuja swala la kukutana na wanawake ambao ni argumentative, cash self independent, brain na reasoning tunajikuta Thrones zinakuwa hatarini.
Kinachobaki kinafanyika, tunafanya personal attack, character assassination na abuses kuraise esteem yetu. Na hii ni kwa sababu tumeshindwa kupambana katika level hitajika.
Mtusamehe bure.
Sawa kwahiyo wanaume mmeruhusiwa na Mungu kutenda maovu?? Mimi naomba kwa sasa unijibu hilo tu hayo mengine yote nayajua na hata uyaongee mara ngapi nitakuuliza swali hili hili!!
Kuna ukweli mkuu,mtu ambaye hajaingia field hawezi kujua ukweliHehehe! Halafu namna hii tusiwatawale?
Hapa ndipo tunapata viburi vya kuhalalisha UJINGA WETU. Japo haifai View attachment 1208264
Umtie adabu gani!??Kuna huyu cariha namlia timing hapa,naona nae mbishi mbishi nimtie adabu.
Sasa kwanini wanawake nao wameingikia majukumu yetu ya kimaumbile ? Nani aliwaambia na nyinyi mtafute hela kwa jasho ? Nyinyi mnapaswa mkae nyumbani mzae sisi tuwaletee hela.Tukifika mwanamke azae kwa uchungu mwanaume atafute kwa jasho maandiko hayahusiki
Kwa hiyo kuwa juu yetu, au kuwa mtawala ndio inawapa uhalali wa kufanya dhambi?
Au ndio mkifanya dhambi zinageuka kuwa "haki" huku zetu wanawake zinaonekana kinyaa?
Huyu namfahamu vyema,wewe subiri uone.Umtie adabu gani!??
Unadhani huyo mpole km mimi eeh!?
Leo Ni leo.Kambi imekamilika siyo..