Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Na viliandikwa na wanaume hivo loh
Sijui imani yako ya kidini lakini haya maswala ya kubishana hapa yasikufanye umkufuru muumba wako.

Kwanini hivyo vitabu visiandikwe na mwanamke ili aji favor yeye.
 
Kwahiyo mnataka na sisi tuanze kujisifia kwa uwezo wetu wa kubeba mimba na kuzaa siyo??
Hahaha!! Kujisifia mimba siyo kwasababu kuna mchango wa mwanaume hapo. Unatakiwa ujisifie kitu ambacho wewe mwanamke unakifanya bila mchango wa mwanaume. Samahani lakini mama kwa kukukosoa..
 
Mmhh samahani mkuu naomba mpe Lizarazu mwenyewe simu yake aje kuchangia hapa tafadhali najua wewe siyo yeye hivyo naomba umpe aje achangie huu uzi tu halafu nyuzi nyingine utaendelea kuchangia wewe mwambie kuna uzi kaanzisha Marianah anakuita ukachangie mara moja
Hahahahhahahaha.... Third wave feminist Marianah hongera sana kwa bandiko zuri. Umepangilia vizuri kweli habari yako mpaka nimekutamani.

Tukija kwenye kiini cha mada yako:

Kwanza kabisa kubali kataa mwanaume ni kiumbe superior kwa mwanamke na itaendelea kuwa hivyo mpaka dunia inafika mwisho. Na hii iko kiimani na kibailojia pia.

Binafsi naamini kwenye suala la maovu machoni mwa mwenyezi Mungu wote tuko sawa maana hakuna jinsia yenye haki ya kutenda zambi.

Maana sheria za Mungu zinaeleweka wazi kabisa kila mtu kwa jinsia yake na nafasi yake ni namna gani anavyotakiwa kumtumikia Mungu wake kwa kuepuka utendaji wa dhambi.

Pamoja na kwamba maandiko yanasema mwanamke mpumbavu ataivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe haimaanishi kwamba Mwanaume hawezi kuwa mpumbavu na akaivunja ndoa yake mwenyewe. Jukumu la kulinda ndoa ni la wote.

Pamoja na kwamba kwamba maandiko yanasema mwanamke anapaswa amtii na kumuheshimu mume wake haimaniishi kwamba Mwanaume huyo ana haki ya kutomuheshimu mke wake.

Maandiko yanaposema mwanamke mzinzi adhabu yake ni kupigwa mawe mpaka umauti, haimaaniishi kwamba wanaume ni haki yao kufanya uzinzi na hawastahili adhabu.

Kwa ufupi tu tukiongelea uovu au nidhamu wote tuko sawa kwa Mungu japo kwa mitazamo ya walimwengu mwanamke anaonekana kuwa ndio mkosefu zaidi.

Kwa bahati mbaya sana jamii yetu ya sasa inaishi kwa kutofuata maandiko na hata yakifuatwa hayafuatwi kama yanavyopaswa.

Kwa kuwa maisha yetu asilimia kubwa hayafuati tena muongozo wa kidini basi ndio maana tunaishi kwa kutupiana Lawama huku kila mmoja akijiona yu mkamilifu.

Kilichopo sasa hivi kwenye athari za maovu tunayoyafanya uzito wake unaamuliwa na tofauti zetu za kibaiolojia, kwenye maovu ambayo tunashiriki wote mfano uzinzi athari zinakuwa kubwa kwa mwanamke kuiliko kwa mwanaume na ndio maana jamii inamuona yeye ndio mkosefu huku ikimsahau mwanaume.

Lakin yote kwa yote mwanamke ni kiumbe dhaifu kwa mwanaume na itaendelea kuwa hivyo haijalishi hata kama zitaundwa taasisi ngapi za kumpa preferential treatment hili awe sawa na mwanaume.
 
Basi wanaume endeleeni kuongelea maovu ya wanawake ili muonyeshe huo utofauti halafu tuone kama hiyo jamii mnayoitaka itakuja kuwepo wewe sitaki kubishana na wewe maana hauna hoja zaidi ya kulazimisha kitu kile kile usawa nabishana na wenye hoja tafadhali
Siku foreman anapopambana na meneja. Huo ulinganifu ulioufanya sio halisia, ni hulka yako ya kujilinfanisha. Jitafakari sana ujikubali nafasi yako, wala si kuleta hesabu za mlinganyo kwenye maisha. Itoshe tu kukushauri hivyo ewe mpambanaji
 
Hakuna Mwanaume anaweza kuwa na roho kama ya wanawake wanaofanya Abortion. Yaani wanaoua vichanga au kuwatupa chooni au mtaroni na kusepa.
Mwanamke anaweza kutoa mimba au kutupa mtoto ila ukumbuke na sisi wanaume tunachangia kwa 70% ya utoaji mimba. Ni sawa nakuchukua panga au kamba unampa mtu na unamwambia nyonga huyo mtu ukimuacha urafiki mimi na wewe unaisha. Unalala na mwanamke bila condom halafu anapata ujauzito unaukataa au unamwambia atoe huo ujauzito na kweli mwanamke anatoa. Ukimpa mwanamke mimba hata kama ni mtoaji mimba aliyekubuhu ukikomaa hatoi hiyo mimba.
WANAWAKE WANAMAKOSA NA SISI PIA TUNAMAKOSA. WANAWAKE WASINGEKUWA WANAJIUZA KAMA SISI WANAUME TUSINGEKUWA TUNANUNUA.
 
Je ni wapi Mungu alisema kuwa amewaumba wanaume na kiburi cha asili??
Hicho ni kiburi cha asili. Hebu soma tena uelewe. You can't avoid nature, you can just control it.
 
Hakuna mtu anayeweza kuanzisha biashara isiyo na soko labda awe kichaa siku zote soko ndiyo linaanza kuwepo halafu mtu ndiyo anaanzisha biashara hivyo soko likifa biashara nayo itajikuta inakufa yenyewe kama haujasoma uchumi hauwezi kuelewa hili na kama umesoma basi nina mashaka na uelewa uliokuwa nao darasani
Kwanini nyinyi msiungane kupinga kuuza. Sisi tunanunua kwa sababu zipo zinauzwa.
 
Umeshajiuliza ni kwanini siku hizi malezi yamepwaya??
Ki uhalisia mkubali lawama kwamaana nyie ndo mna tulea.
Wamama wakiwaona binti zao wakiachia paja wazi ilikua ni vifinyo kwa sasa ndo kwanzaa hata chupi hamvai tutakaa sawa kweli?
 
Naona sasa hauna hoja zaidi ya kuja na mihemko na 'fyoko fyoko' zako hivi hiyo amri ya mwanaume kumtawala mwanamke Mungu aliitoa kabla au baada ya tunda kuliwa?? Halafu uwe unajibu maswali basi!!


unasafari ndefu sana Mkuu kwenye hizi ishu.

Adamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu. Akatawale viumbe wote. Baadaye Mungu akaona hakuna wa kufanana na Adamu. Na ndipo wazo la kumuumba Hawa likazuka.

Hii ni kusema Hawa aliumbwa kwa mfano wa Adamu. Wakati huo Adamu alishapewa mamlaka ya kuitawala dunia. Hata jina la Mwanamke ambalo ni Hawa alilitoa Adamu.

Bado hujui unachokipigania ndio maana unapuyanga.

Fuatilia historia iwe ya dini ya dunia.

Nadhani nimejibu swali lako la kuwa mamlaka ya Adamu alipewa kabla au baada ya anguko.

Unadhani Mungu alipomuambia Adamu kuwa umeamua kuisikiliza sauti ya mkeo alimaanisha nini Mkuu.

Ni hivi Adamu kama Mume au mtawala hakupaswa kumsikiliza mke wake bali yeye ndiye alipaswa kusikilizwa.


Huwezi nielewa kwa akili ya kike hata siku moja
 
Wow hongereni sana kumbe wanawake wa kibongo mmepiga hatua kubwa kiasi hiki kiuchumi !?

Baasi tuna haki ya kujivunia kwa maendeleo makubwa waliyonayo wanawake zetu, maana mmewazidi mpaka wanawake wa USA ambako wanaume bado ni dominant kwenye business arena.
Ulimpa nani simu yako??
 
Kweli kabisa lakini je umeshaona mchana na usiku vinashindana au vinakomoana?? Na zaidi ndiyo kwanza mwezi unategemea mwanga wa jua ili nao uangaze usiku lakini wanaume wa siku hizi sasa mambo wanayoyafanya kwa wanawake mengine hayaelezeki!!
Mwanaume na mwanamke ni sawa na mchana na usiku.
 
No haya mambo yaliwekwa na wanaume hayakujiweka wenyewe wala hayakuwekwa na Mungu
Hayo hatujayaweka sisi, yamejiweka yenyewe. You can't avoid nature. You can just control it.
 
Kuna mahali nimesema Mwanaume anafanya abortion?

Hatahivyo sikuwa serious...najua Abortion hailingani na musturbation hata kidogo.
Ndio maana na mimi niliandika abortion au uuaji ,, sababu nilijua kabisa utakuja kuandika hivi ulivyoandika
 
Wewe ulishawahi kumuona huyo mungu au vile viliandikwa na wanaume Kwa hisia mkajipendelea, acheni kujificha kwenye maandiko ili kukandamiza wanawake, eti mlaumu Mungu mxiiiiiew, ndio maana ili udumu na mwanamke lazima umuonee mwanamke, mabadiliko ya sasa ya wanawake kuwa huru mnabaki kulia lia umagharibi, I'm happy wanawake sasa tuna raise against all forms of discrimination na years to come tuta rule the world na nyie muanze kulia lia tu.
Inamaana mrembo unabishana na maandiko ya Mungu??
Na ww una ushahidi upi kuwa hayo maneno au maandiko yameandikwa na wanaume kwa hisia ili tutende tutakavyo??
Kubali usikubali kama hutaki jichinje mwanaume ni superior kwa mwanamke milele.
Hilo swala la ku rule world acha ndoto za alinacha.Haitatokea.
Si kinguvu wala kiupeo wanawake mpo chini yetu wanaume.
Yani unachotaka wewe umfananishe Magufuli na Samia Suluhu kitu ambacho milele hakiwezi kutokea.

Halafu nyie wanawake wa siku hizi utandawazi unawaharibu kwa asilimia mia moja.
Mnajifanya mnataka mufanye kila kinachofanywa na mwanaume mwishowe mnajisahau kupitiliza na kusahau ninyi mna nafasi gani hususan katika ndoa.
Hii kitu acheni ni mbaya inahariabu hata ustawi wa familia katika ndoa.
 
Mzee wa Stockholm Denmark masikini usijali ipo siku ndoto zako za kwenda huko zitatimia tu usikate tamaa
Sawa endelea kubishana Ndiyo tabia zenu huko tz

Nasikia mnakesha Sana kwenye mitandao ya kijamii kuliko kufanya Kazi

One day tutaheshimiana tuu
 
Back
Top Bottom