Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Pole sana dada, ila daima huwezi kufanana na mwanaume. Kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanaume na mwanamke kihisia na kifikra.
Umegusia zaidi mahusiano wacha nikujibu kwa mlengo huo pia;
Hao wanaoonyesha wanaume zao ni vilaza
 
Wewe ulishawahi kumuona huyo mungu au vile viliandikwa na wanaume Kwa hisia mkajipendelea, acheni kujificha kwenye maandiko ili kukandamiza wanawake, eti mlaumu Mungu mxiiiiiew, ndio maana ili udumu na mwanamke lazima umuonee mwanamke, mabadiliko ya sasa ya wanawake kuwa huru mnabaki kulia lia umagharibi, I'm happy wanawake sasa tuna raise against all forms of discrimination na years to come tuta rule the world na nyie muanze kulia lia tu.
Mimi huwa siamini kua kuja kwa dini huku kwetu ndio kumeleta huu utofauti wa kimamlaka. Ni toka enzi na enzi iko hivo hata ukifatilia historia nyingi watawala ni wanaume, story za kigaidi, umafia, rekodi za vumbuzi mbali mbali ni wanaume wengi ndio waliokua vinara wa hayo mambo.
Hata dunia ya leo bado viongozi wengi ni wanaume, Wasanii wenye majina makubwa, matajiri wengi ni wanaume.

Labda tuseme tu ni nature ndio iko ivo, siku mwanamke akija kuongoza dunia basi pia mfumo wa maisha utabadilika kabisa na kutakua na mfumo mpya wa maisha tofauti na huu wa sasa.
 
Pole sana dada, ila daima huwezi kufanana na mwanaume. Kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanaume na mwanamke kihisia na kifikra.
Umegusia zaidi mahusiano wacha nikujibu kwa mlengo huo pia;


Hii sio sawa kabisa, mwanaume atachepuka na atahudumia familia kama kawaida, ni nadra sana kwa mwanamke kuchepuka na kuendelea na mumewe. Kama wewe ni mwana MMU basi utakua umeona shuhuda nyingi za wadau wakivunja mahusiano na wanawake waliohamisha mapenzi yao kwa michepuko.



Kuendana kivipi hapo. Muuzaji ndie kaanza ndipo kaja mnunuzi na hapo utaona kua anaefanya ujuha ni anaeuza. Hebu fikiria mtu analala na zaidi ya watu 2 kwa siku utamfananisha na anaepita kwa mala moja tu. Tena huyo ni ajira yake kabisa jama jama unamfananishaje na mteja wa mala moja moja.


Hapa sijui kwasababu mashoga wanaonekana lakini wasagaji kuwagundua ni kazi wote mnaitana mpenzi na majina ka hayo.


Idadi haifanani mkuu wewe pia unaweza kua shahidi wa hili.
Na hili pia linadhihirisha jinsi wanaume walivyo juu ya wanawake. Wanawake wakishafika utu uzima sio rahisi kujihusisha na mahusiano tofauti na sisi hata vibahu vinashuulika. Ndio maana wanawake wengi wanapapatika huko, tofauti na wanaume na hao masuggar mamy unaowaongelea wengi wao hawajazidi 50 years, lakini kwa wanawake wengi wa hao mababa wamezidi 50 years.


Hawaendabi hata kidogo, mwanamke atataka pesa na penzi, ndivyo mlivyoumwa. Na sisi tunataka mbunye coz huna cha kutoa ukiacha mbunye utatoa nini sasa, labda uwe mke lakini kama ni mpenzi tu nasikitika kusema kua girls wengi hamna cha kuoffer zaidi ya mbunye.


Ni nature hiyo mkuu, mwanaume kumhudumia mwanamke na mwanamke kufanya izo kazi hapo ulizotaja. Ndio maana kwenye jamii zetu wanawake wanajua mambo ya mapishi kuliko wanaume, wanajua mambo ya usafi kuliko wanaume, ndivyo walivyoumbwa na izo hulka wala sio jambo la kustaabisha hilo.



Daah yaani hata hii umeona iko sawa kabisa.
Aliesomesha katumia gharama zake bila kusaidiana na aliesomeshwa na hizo gharama hawezi kurudishiwa ila huyo alieachwa na alieanza nae umaskini anaweza kudai haki zake na akapata huo usawa hapo umeuweka kihisia au ni kwa namna gani umeweka huo usawa.


Tusivilaumu vitabu vya dini kua vimeleta hizi mambo za mwanaume kua juu kimaamuzi. Hebu fikiria tu zamani huku kwetu kabla ya ujio wa hizi dini si kulikua na mila zetu ??, Kulikua na wafalme ambao kila leo tunawasoma vitabuni lakini katika hao ni nadra kukuta kua kulikua na mtawala/shujaa wa kipindi iko mwanamke.

Nawasilisha.
Duuh mbona umejielezea sana halafu hakuna hata cha maana zaidi ya zile zile ngonjera zenu tulizozoea kuzisikia kila siku

Hivi vitabu vya dini vinasemaje kuhusu uzinzi na uasherati

Kasome maandiko kisha urudi tena
 
Duuh mbona umejielezea sana halafu hakuna hata cha maana zaidi ya zile zile ngonjera zenu tulizozoea kuzisikia kila siku

Hivi vitabu vya dini vinasemaje kuhusu uzinzi na uasherati

Kasome maandiko kisha urudi tena
Sijakujibu kwa kutumia vitabu vya dini mkuu. Hata kabla ya ujio wa hivyo vitabu huku Afrika hali ilikua hivi hivi mlikua chini yetu.

Wewe ni moja wa wanawake wachache sana wanaopinga ukweli. Hakuna ngonjera iliyoandikwa hapo, jibu hoja kwa hoja kama nilivyofanya. Unazidi kudhihirisha jinsi ulivyo mweupe kumkichwa.
 
Mkuu kama wewe hauna dini na hauamini uumbaji basi mimi na wewe hatuna cha kuendelea kubishana hapa

Kwa sababu hata mimi siamini kuhusu tamaduni za mababu na vitu vinavyofanana na hivyo kwahiyo hatutaelewana

No room for either polytheistic nor atheistic discussions
Kwani wewe hii thread yako umezungumzia dini au mwanamke na mwanaume?? Hujaquote kifungu chochote cha dini yoyote.

Usijifunge kwenye dini peke yake nazidi kukufungua akili lakini hutaki, aya baki na imani zako.
 
Kwani wewe hii thread yako umezungumzia dini au mwanamke na mwanaume?? Hujaquote kifungu chochote cha dini yoyote.

Usijifunge kwenye dini peke yake nazidi kukufungua akili lakini hutaki, aya baki na imani zako.
Teh teh mkuu mimi nimejikita kwenye dini kwa sababu nimelelewa kwenye misingi ya dini na najua dini na tamaduni za kiafrica kwa asilimia kubwa haviendi pamoja

Sasa nimeshagundua wanaume wengi ukiwaleta kwenye dini wanajifanya kukimbilia kusema eti sijui tamaduni za mababu what what kumbe wanataka kuhalalisha maovu yao tu

Ni kwa sababu mnajua dini zimewafunga zaidi ilihali hizo tamaduni zenu zimewafavor lakini mkumbuke tumeumbwa na Mungu na hata hao mababu waliumbwa na Mungu pia
 
Teh teh mkuu mimi nimejikita kwenye dini kwa sababu nimelelewa kwenye misingi ya dini na najua dini na tamaduni za kiafrica kwa asilimia kubwa haviendi pamoja

Sasa nimeshagundua wanaume wengi ukiwaleta kwenye dini wanajifanya kukimbilia kusema eti sijui tamaduni za mababu what what kumbe wanataka kuhalalisha maovu yao tu

Ni kwa sababu mnajua dini zimewafunga zaidi ilihali hizo tamaduni zenu zimewafavor lakini mkumbuke tumeumbwa na Mungu na hata hao mababu waliumbwa na Mungu pia
Sasa dini si ndio imewapa mamlaka zaidi wanaume zaidi ya wanawake ndgu yangu??
Halafu hakuna dini inayohalilisha maovu ya mwanaume. Hii kitu ya kuhalalisha maovu sijui umeitoa wapi!!
 
Teh teh mkuu mimi nimejikita kwenye dini kwa sababu nimelelewa kwenye misingi ya dini na najua dini na tamaduni za kiafrica kwa asilimia kubwa haviendi pamoja

Sasa nimeshagundua wanaume wengi ukiwaleta kwenye dini wanajifanya kukimbilia kusema eti sijui tamaduni za mababu what what kumbe wanataka kuhalalisha maovu yao tu

Ni kwa sababu mnajua dini zimewafunga zaidi ilihali hizo tamaduni zenu zimewafavor lakini mkumbuke tumeumbwa na Mungu na hata hao mababu waliumbwa na Mungu pia
Sasa dini ndo zimeruhusu wanaume tuoe hata wanawake 4

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Dini ya kiislam ndiyo imeruhusu hivyo

Tena ni kwa masharti maalum siyo unajiolea tu

Usipoyaweza hayo masharti umeambiwa unatakiwa ubaki na mke mmoja tu na ukioa hao wanne ukashindwa hayo masharti basi unapata dhambi na unahesabika mzinzi kama wazinzi wengine tu
Mbona hata wakiristo wameruhusiwa nabii Suleiman alioa wanawake 1000

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Naona kuna furushi limetoa tusi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Ni kweli dini imewapa mamlaka wanaume na mimi wala sijapinga hilo

Lakini dini haijawapa wanaume haki ya kutenda maovu kama hayo uliyoyatetea hapo juu

Linapokuja kwenye suala la dhambi hakunaga cha mwanaume wala mwanamke wote watahukumiwa sawa sawa
Hizo hukumu ni za kidunia tu na ni jinsi dunia na watu wake tulivojiwekea namna ya kuishi.

Nimekuelewa unachokipinga, kama sikosei ni kwamba ni kwanini mwanaume na mwanamke wanapotenda kosa la aina moja mfano wewe ukafumwa na mume wa mtu wewe ndie utabeba mzigo wa matusi wa kutembea na wake za watu ilhali mwanaume hatalaumiwa sana si ndio hivyo????

Kama huo mfano ni sahihi basi unatuonea bure tu, jamii ndio inayowahukumu ninyi wala sio wanaume pekee. Hatuna nguvu iyo ni jamii nzima ndio ina mentality hiyo, na jamii ni sisi sote ke na me.
 
Wewe ulishawahi kumuona huyo mungu au vile viliandikwa na wanaume Kwa hisia mkajipendelea, acheni kujificha kwenye maandiko ili kukandamiza wanawake, eti mlaumu Mungu mxiiiiiew, ndio maana ili udumu na mwanamke lazima umuonee mwanamke, mabadiliko ya sasa ya wanawake kuwa huru mnabaki kulia lia umagharibi, I'm happy wanawake sasa tuna raise against all forms of discrimination na years to come tuta rule the world na nyie muanze kulia lia tu.
Hahahaa eti maandiko ya Mungu. Mfyuuu. Huyo mungu atakuwa mwehu ati?
Yaani mungu alikalisha p*mbu zake chini akaandika kitabu cha propaganda ya kukandamiza wanawake?
Eti mimi Wordsworth mbele ya mwanaume ni dhaifu kwa sababu ya maandiko ya wehu huko zamani?
Brainwashing at it's finest.
 
Kuwapa wanawake wengi mimba si urijali ni lack of self control na kujielewa, kwanza hzo taasisi za wanawake zinasaidia kuinuia wanawake na Kwa takwimu za World bank Tanzania wanawake sasa wamewazidi wanaume kwenye ujasiriamali, nyie bakini na kutia mimba huku wanawake wakinyanyuka kiuchumi tu
Hahaha wamebaki kuongelea na kulalamikia wanawake vijiweni hawana jipya.
 
Habari za usiku huu wana jukwaa, kabla ya yote naomba kwanza niwasihi sana wale wavivu wa kusoma nyuzi ndefu kwamba huu uzi tafadhali kabla hamjatoa comments zozote naombeni muusome wote kama ulivyo kuanzia mwanzo hadi mwisho halafu ndiyo mtoe comments maana kuna watu wana tabia ya kukurupuka kuchangia vitu ambavyo tayari vimeshafafanuliwa kwenye uzi.

Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, leo nataka niongee na wanaume wanaoongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwao kana kwamba wanaume hawakosei kwenye jamii wakati maovu yote yanayofanywa na wanawake ni sawa tu na maovu yote yanayofanywa na wanaume lakini kabla sijaendelea naomba niorodheshe kwanza maovu yanayofanywa na wanawake na jinsi yanavyoendana na maovu yanayofanywa na wanaume.

1. Wanawake wanaochepuka wanaendana na Wanaume wanaochepuka

2. Wanawake wanaozalishwa bila ndoa/nje ya ndoa wanaendana na Wanaume wanaozalisha bila ndoa/nje ya ndoa

3. Wanawake wanaojiuza wanaendana na Wanaume wanaowanunua

4. Wanawake wasagaji wanaendana na Wanaume mashoga

5. Wanawake wanaopenda kutembea na waume za watu wanaendana na Wanaume wanaopenda kutembea na wake za watu

6. Wanawake wanaopenda kutoka na mijibaba alias sugardaddies kwa ajili ya pesa wanaendana na Wanaume wanaopenda kutoka na mijimama alias sugarmummies kwa ajili ya pesa

7. Wanawake waliopo kwenye mahusiano kwa sababu ya pesa tu wanaendana na Wanaume waliopo kwenye mahusiano kwa sababu ya mbunye tu

8. Wanawake wanaopenda kuhudumiwa (kupewa pesa, kununuliwa vitu et al) na wapenzi wao wanaendana na Wanaume wanaopenda kulelewa (kupikiwa, kufuliwa et al) na wapenzi wao

9. Wanawake wasio na utii kwa waume zao wanaendana na Wanaume wasio na upendo kwa wake zao

10. Wanawake wanaowaacha wanaume waliowasomesha wanaendana na Wanaume wanaowaacha wanawake walioanza nao kwenye umasikini

Hayo ni machache mengine mnaweza kuongezea ila nimeona nijikite zaidi kwenye maovu yanayohusiana na ngono kwa sababu ndiyo janga kubwa kwenye jamii na nilitaka niwaoneshe ni namna gani jinsia zote zina maovu yake kwenye jamii, sasa hapa najua wapo watu watakaoleta habari za kutaka usawa sijui ushindani sikilizeni niwaambie, wanawake na wanaume tutatofautiana kote lakini siyo kwenye uovu yaani tutatofautiana kwenye jinsia, nafasi na majukumu lakini tofauti zote hizo siyo sababu ya wanaume kufanya maovu vile wanavyojisikia eti kwa sababu tu wao ndiyo wako juu ya wanawake

Wapo wengine watasema eti wanaongelea sana maovu ya wanawake kwa sababu wanawake ndiyo wanaopata madhara kuliko wanaume kwamba wanaume wao linapokuja kwenye swala la mahusiano ya kimapenzi hawana cha kupoteza kabisa ila niwaambie tu kuwa bado hiyo siyo sababu ya wanaume kufanya maovu vile wanavyojisikia eti ili tu kuwakomoa wanawake sasa mbona na magonjwa ya zinaa nayo hayaangalii jinsia na yanaua wote wanawake na wanaume kwa mtindo ule ule??

Halafu pia kinachonishangaza kama kweli wanaume hamna cha kupoteza kwenye mapenzi kwanini ninyi ndiyo mnaoongoza kwa kuyalalamikia na kuyaongelea maovu ya wanawake humu mitandaoni na mitaani kila siku?? Kuna mmoja alisema eti mnafanya hivyo kwa lengo la kutusaidia sasa kama kweli mngekuwa mna nia ya kuwasaidia hao wanawake wenye hayo maovu kwanini muishie kuongea kwa mdomo tu na siyo kufanya kwa vitendo??

Eti unakuta mwanaume anasema "kuna demu jana nilimtongoza akakubali muda ule ule na akanipa mzigo muda ule ule" halafu anamalizia kwa kusema "daah wanawake wa siku hizi mnajirahisisha sana acheni umalaya la sivyo wanaume tutaendelea kupiga na kusepa au kuzalisha na kuacha" sasa mwanaume kama huyu unamuona tu ni jinsi gani alivyo mnafiki yaani anajifanya kusikitishwa na wimbi la wadada kujirahisisha wakati huo huo yeye ndiye kinara wa kuwatongoza hao wadada ili wajirahisishe sasa kama kweli huyu mwanaume angekuwa hapendi wanawake wajirahisishe kwanini asiache kuwatongoza na kuwaomba mizigo kama hana nia nao??

Namaanisha kama wanaume mna nia ya kutusaidia wanawake na mmeona kwa maneno haisaidii kwanini msifanye kwa vitendo kwa kuacha hayo mambo yanayowafanya wanawake wajirahisishe kwenu?? Halafu wanaume wengi utasikia wanasema "kwanini mwanamke ukitongozwa ukubali" badala ya kuuliza "kwanini mwanaume anatongoza pasipo na nia ya dhati" yaani wanalazimisha ionekane kama mwanaume kutongoza siyo kosa ila mwanamke kukubali ndiyo kosa wakati actually kinachoanza ni kutongoza halafu kinachofuata ndiyo kukubali au kukataa hivyo lazima tukubali kuwa mwanaume anayetongoza na mwanamke anayekubali wote wana makosa na haya yote ni kutokana na tamaduni kandamizi zilizoanzishwa na mababu zetu enzi hizo bibi zetu wakiwa hawana sauti kwenye jamii hivyo walitupiwa mizigo yote na walilazimishwa kuikubali watake wasitake nasikitika kusema kuwa mamlaka ambayo wanaume walipewa na Mungu juu ya wanawake babu zetu waliyatumia vibaya kwa bibi zetu yaani waliyatumia kuwakandamiza badala ya kuwalinda

Kitendo cha kulazimisha kwamba mwanaume akitenda dhambi ni sawa ila mwanamke akitenda dhambi ni kosa ni kinyume hata na maandiko kwa sisi tunaoamini katika Mungu na Dini yaani jamii yetu imejenga mitazamo ya hovyo inayochagizwa na mfumo dume kwamba eti maovu ya mwanaume hayatakiwi kuhojiwa wala kurekebishwa bali maovu ya mwanamke ndiyo yanatakiwa kuhojiwa na kurekebishwa halafu wanalazimisha kwamba eti ni Mungu ndiyo ametaka hivyo ni mungu gani huyo aliyesema wanaume mtende dhambi mnavyojisikia eti ili tu mjitofautishe na wanawake na muonekane mko juu ya wanawake?? Ukweli ni kwamba tofauti kati ya mwanamke na mwanaume haipo kwenye dhambi hata siku moja yaani imefikia hatua wanaume wanajisifia umalaya na tena wanakataa kabisa eti mwanaume haitwi malaya bali kidume ukiuliza hiyo ni kwa mujibu wa nani hawana majibu wanakuja na mapovu!!

Kama kila jinsia imeshindwa kubadilika kwa nafasi yake na kusubiria eti jinsia nyingine ndiyo ianze kubadilika halafu nayo ndiyo itafuata basi niwasihi tu tuache kusubiri meli kwenye uwanja wa ndege au embe chini ya mkorosho mimi naona ifike pahala jamii iache uongo na unafiki kama tumeamua kukemea maovu tukemee kwa jinsia zote na kama tumeamua kuacha yaendelee tuache kwa jinsia zote after all wanaume si hamna cha kupoteza bwana so why mjihangaishe?? Ninyi endeleeni kupiga na kusepa au kuzalisha na kuacha halafu tutaona mwisho wake maana hata hivyo pamoja na malalamiko yote haya ya wanaume kwa wanawake naona ni kama vile ndugu zetu mnajaribu kudeki bahari au kufagia jangwa tu!!

Nipo....
Number saba itwafanya watu wawe wapole milele.....hata miye nilikuwa silijui hili...narudi kwalipa wooote niliowadhurumu
 
Back
Top Bottom