Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #21
KimoUnazungumzia wafupi kwa kimo au ufupi wa mkuyenge?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KimoUnazungumzia wafupi kwa kimo au ufupi wa mkuyenge?
Kama valdimir Putin hana mke ni single Ila gudu na Ukraine..Nachojua wengi wana gubu, wajeuri na hawajiamini.
Kumjua mtu kama anaringa au la ni lazima muwe wapenzi?Wewe mmoja na expirience ya wanaume wengi unatolea wapi? Je, Wewe ni prostitute?
Ndugu JPM alikuwa mfup?Kama valdimir Putin hana mke ni single Ila gudu na Ukraine..
Watu wafupi wakipata mamlaka lazima wanyooshe watu..JPM naye naona alikuwa mfupi
Huyo hajasemea mtu ila amesemea watu, Then huwezi ukawa mwanamke ukazungumzia tabia za wanaume tena in general ilihali hauna experience, Hii ni kumaanisha anatabia ya kuwa na wanaume tofauti tofauti ndo maana amejua tabia zao, Hakuna urafiki wa mwanamke na mwanaume wa kuweza kutosha kujua uhalisia wa mtu kabla ya kuingia kwenye penzi maana yote huwa ni maigizo kablaKumjua mtu kama anaringa au la ni lazima muwe wapenzi?
Kwani huko kwao au jamii iliyomzunguka haina watu wafupi?Huyo hajasemea mtu ila amesemea watu, Then huwezi ukawa mwanamke ukazungumzia tabia za wanaume tena in general ilihali hauna experience, Hii ni kumaanisha anatabia ya kuwa na wanaume tofauti tofauti ndo maana amejua tabia zao, Hakuna urafiki wa mwanamke na mwanaume wa kuweza kutosha kujua uhalisia wa mtu kabla ya kuingia kwenye penzi maana yote huwa ni maigizo kabla
pamoja na kwamba mimi sipo kundi hilo, nadhani ni kwasababu ya inferiority complex, pamoja na kipato. wanaume wafupi huwa wanajijua kwamba wao ni reject kwenye vitu vingi hivyo huwa wapambanaji sana kimaisha na wengi ndio wenye pesa, though theory hii haiapply kwa kila mtu, tofauti na warefu wanaoridhika.Nauliza kwanini wanaume wafupi wanaringa wanajionesha, wanajisikia na kupenda kuonekana, ila wanaume warefu ni baadhi.
Kama hizi ndio akili za watu warefu basi sihitaji akiliWatu wengi wafupi wanachangamoto ya akili.
Ndio alikuwa mfupiNdugu JPM alikuwa mfup?
Kuwa Mrefu au mfupi sio kigezo Cha wewe kuwa rejected mnalishana ujinga mwonekano wa Mtu wa nje hauwezi kumfanya kuwa rejected ikiwa Akili zake kichwani zinafanya Kazi vizuri .pamoja na kwamba mimi sipo kundi hilo, nadhani ni kwasababu ya inferiority complex, pamoja na kipato. wanaume wafupi huwa wanajijua kwamba wao ni reject kwenye vitu vingi hivyo huwa wapambanaji sana kimaisha na wengi ndio wenye pesa, though theory hii haiapply kwa kila mtu, tofauti na warefu wanaoridhika.
Ila kweli, Kuna kachalii fulani ivi kafuuuuupi, ni kapambanaji sana, kamezalisha pisi kali za kwenda Kama nane hivi, ana watoto kumi na tano, kila pisi iko na maisha yake, kawaweka vizuri kiuchumi, kajamaa sijui anawadanganya nini maana bado anapiga mistari na pisi zinaingia laini ingawa wanajua kua ana Kijiji cha watoto, na anakwambia kabisa, nina watoto kumi na tano, recently kuna pisi ina mimba tunasubiri uzao wetu wa kumi na sita, watu wafupi heshima yenu mnajua kutafuta ugali...pamoja na kwamba mimi sipo kundi hilo, nadhani ni kwasababu ya inferiority complex, pamoja na kipato. wanaume wafupi huwa wanajijua kwamba wao ni reject kwenye vitu vingi hivyo huwa wapambanaji sana kimaisha na wengi ndio wenye pesa, though theory hii haiapply kwa kila mtu, tofauti na warefu wanaoridhika.
Sio wotee, kuna m1 yuko tofauti na hivyo kabisa.Nachojua wengi wana gubu, wajeuri na hawajiamini.