Siku moja nikikosea njia nikikutaka usinikatae, maana umezidi kuwa mjizi wa mambo
The Following 2 Users Say Thank You to Lizzy For This Useful Post:
Mimi nafikiri sio tatizo la wanaume peke yao....tuwe tu wakweli! Yaani mkishakaa kwenye ndoa kwa muda, kama hakuna juhudi za makusudi kwa pande zote mbili, basi inakuwa tu "ni bora kushiba", wala sio tena kufurahia chakula! Inabidi wote washirikiane katika mapishi, ili wote wakifurahie chakula!
aisee mkuu usimseme mr presidaa patakuwa hapatoshi humu jamvini jamani.mie nataka mnisaidie ili badae mr president asiwe mvivuHuyu mwanamke wa kwanza hafikishwi na mwanaume wa kwanza, anatafuta sababu tu ya kuonja vya mwanaume wa mwisho
Sasa mkuu unatoka povu umechanganya koka na Quinine au?
Komredi umefanya nicheke kwa sauti...lol,
Leo mi nakua mpole tu nna unfinished business na Keren!
there u are... what took u so long?
Nadhani 'nyumba ndogo' ndio wanaweza sema kama wanaume waliooa ni wavivu au la...
Samora nlikua natafuta jinsi ya kuwatetea!Nyie sio wakoseaji ni wakosewaji!Lolz
...human nature na tabia ya "kipya kinyemi!"
Suala hili halijalishi Mume au mke, sote tunachangia kupunguza mvuto wa mahaba
kwa kuingiza dosari na madoa mbali mbali i.e chuki, dharau, etc ambayo hunyausha mahaba katika maisha yetu ya mapenzi.
Hebu angalia siwezi kuacha kumfanyia mama mchungaji the nidfulMbona sijaona senksi?Ngoja na mimi nibweteke!
aisee mkuu usimseme mr presidaa patakuwa hapatoshi humu jamvini jamani.mie nataka mnisaidie ili badae mr president asiwe mvivu
Hebu angalia siwezi kuacha kumfanyia mama mchungaji the nidful
Hehehe sasa na wewe utamaintain hiyo six pack au ukishanipata inageuka kitambi??
Hello Keren How are You Today? You haven't miss anything but something(Kimey) missed you!Did I miss something here???
Bacha, mbona mshangao tena?
CPU, najua nguvu ya kushindana unayo,
Kimey nadhani anatambua hilo,
moyo unakuwa mzito kutamka tu!
:wink2::wink2::wink2::wink2:ππππ
Mhhhhhh!!!!!!!!!Hello Keren How are You Today? You haven't miss anything but something(Kimey) missed you!
Hahaha Bacha inabidi umpe courage CPU unajua amesahau one Golden Rule "If you wana shoot just shoot don't talk"CPU, najua nguvu ya kushindana unayo,
Kimey nadhani anatambua hilo,
moyo unakuwa mzito kutamka tu!
Hello Keren How are You Today? You haven't miss anything but something(Kimey) missed you!
Kiongozi........CPU, najua nguvu ya kushindana unayo,
Kimey nadhani anatambua hilo,
moyo unakuwa mzito kutamka tu!