Hivi ni kwanini wanaume waliooa ni wavivu katika mapenzi..?

Hivi ni kwanini wanaume waliooa ni wavivu katika mapenzi..?

khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee... ukiona hivyo huyo kalalana na mmoja halafu mvivu basi mihasira ya nusu/thumni imemfanya abutue sredi, kweli FL mkareeee

khe,we MTM tafadhali Mr Presidaa wangu yuko vizuri ila nachotaka ni mbinu za kumfanya azidi kuchangamka tukishakula kiapo.mie nimewakilisha malalamiko ya wanawake wengi baada ya uchunguzi wangu
 
mmh,ndio maana LD amepinga sana hapa jamvini.ila yawezekana na yeye ni mzee vilevile kwahiyo mmekutana mnaofanana.angalizo,nsipewe ban na LD

wewe bana dah!

unamtusi kila mtu sasa!.....

mimi sikubaliani kabisa ngoja nimtumikie mkoloni then nitarudi....
 
Wanaume wakishaoa ni wavivu sana kwenye mapenzi kuliko awali kabla hawajaoa.unakuta zamani kabla hajaingia kwenye ndoa dume lilikuwa linajituma mpaka mtoto wa kike anakolea,ila akiingia kwenye kiapo anakuwa mzito sana.hasa wanaume hawa waliooa wakishikwa hamu hakuna tena maandalizi kwa wenzi wao,huishia kuwaparamia kama vile wamehesabiwa muda wa mechi.nimejaribu kuwauliza wanawake kadhaa walioolewa na baadhi ya nyumba ndogo za wanaume kadhaa, wote wamelikiri hili. Wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie kujua sababu ili nami nikiolewa nsikutane na mwanaume mzembemzembe.pia hao waliooa wajifunze wajue mahitaji ya wake zao na maInfii wao

Jibu sahihi ni kuwa, Wanawake walio wengi Are NOT "What You See is What You Get!"

Unapomtongoza unafikiri ni "Cleopatra", akifika kitandani utadhani anasubiri kuingia "Chumba cha Upasuaji"!

Also, wengi wakivua "jeans" na "wigi" utafikiri umekutana na mwendawazimu!
 
Tatizo siku hiz hawa wenye six pack wengi ni NYAMA CHOMA za watu, mi nitaongeza 3 ili ziwe nain paki

Ila bado 6pack inabakia kua 6pack!Ehh ongeza alafu uje tusaidiane kumaintain!
 
CPU, najua nguvu ya kushindana unayo,
Kimey nadhani anatambua hilo,
moyo unakuwa mzito kutamka tu!

Kaka/Dada Bacha moyo wangu umeshatamka mara kibao, tena hadi matarumbeta nimetumia lakin wapi, lakin huyu KIMEY hata akitumia hedifoni za simu tu wanamsikia

Hahaha Bacha inabidi umpe courage CPU unajua amesahau one Golden Rule "If you wana shoot just shoot don't talk"

Haya mambo hayana cha Golden Rule, bali mwenye kisu kikali ndo mla nyama.
Jamaa (KIMEY) akipiga shuti moja tu, ni natakiwa nipige mashuti 7
Sasa akipiga mashuti 14 je, mi nitaanzia wapi kukung'uta mashuti 7 x 14?? Yeye si atakuwa ameshafika mashuti 40 wakati mi namaliza?:A S 13:
 
khe,we MTM tafadhali Mr Presidaa wangu yuko vizuri ila nachotaka ni mbinu za kumfanya azidi kuchangamka tukishakula kiapo.mie nimewakilisha malalamiko ya wanawake wengi baada ya uchunguzi wangu

Napenda kuchukua fursa hii kukumbusha kwamba mimi hujanichunguza....
 
Ila bado 6pack inabakia kua 6pack! Ehh ongeza alafu uje tusaidiane kumaintain!

Aisee hivi unajua hiyo siksi paki siku hizi ni indikeshen kwamba umekuwa bwabwa?!
Lakin sawa, kama shida yako ni mapaki sita hakuna tabu, ila chunga sana mi sio wa kunilisha chipsi tomato na sauseji mbili
 
Huyu mdada sijawahi kumsalimia, nampita tu bila salamu! Yaani urembo wote huu simsalimii??! Kweli hazinitoshi!

Hiyo ndo salamu? ha haaaaaaaaaa.
hayo yanayosemwa na FL ni ya ukweli? mi hayajanikuta bado
 
Jibu sahihi ni kuwa, Wanawake walio wengi Are NOT "What You See is What You Get!"

Unapomtongoza unafikiri ni "Cleopatra", akifika kitandani utadhani anasubiri kuingia "Chumba cha Upasuaji"!

Also, wengi wakivua "jeans" na "wigi" utafikiri umekutana na mwendawazimu
!

nimengoja kwa muda mrefu mtu wa kumpa senksi,
lakini bila mafanikio, sasa wewe kyabushaija pokea hili,
li senksi la nguvu!!!!!!lol........

The Following User Says Thank You For This Useful Post

Bacha
 
sijaolewa bado ila ni kwasababu staki kukutana na wavivu .ila umri unaruhusu na mambo yote ya muhimu nshayapitia imebaki ndoa tu

sidhani hayo uliyopitia,
waweza kuyaita ni mambo ya muhimu!!!!!!
 
sijaolewa bado ila ni kwasababu staki kukutana na wavivu .ila umri unaruhusu na mambo yote ya muhimu nshayapitia imebaki ndoa tu

ha haaaaaaaaa, sasa umejuaje huwa wanakuwa wavivu wakati hujawahi kuolewa? Hadithi hadithi.................., hapo zamani za kale...........
 
Hiyo ndo salamu? ha haaaaaaaaaa.
hayo yanayosemwa na FL ni ya ukweli? mi hayajanikuta bado

Hapo nilikuwa nawaza tu, nashangaa umenijibu wakati mwenzio nawaza. Haya salamu ni hii
Habari za siku mupenzi FP

Tatizo huyo First Man wa First Lady ni SHAROBARO, sasa anazani kila mwanaume yuko ivo
 
ha haaaaaaaaa, sasa umejuaje huwa wanakuwa wavivu wakati hujawahi kuolewa? Hadithi hadithi.................., hapo zamani za kale...........
Suuza roho na hii makitu hapa chini

The Following User Says Thank You to Fixed Point For This Useful Post:

The Finest (Today)​
 
Back
Top Bottom