Hivi ni kwanini wanaume waliooa ni wavivu katika mapenzi..?

Hivi ni kwanini wanaume waliooa ni wavivu katika mapenzi..?

kwa kweli mimi hujituma sana tu lakini mamawatoto ndie huwqeka ngumu eti kesho hutaki tena halafi eti kubali ulichopata nimechoka leo mara ooh sijisikii leo bora kifo cha mende siku nyengine tutacheza gemu kubwa kwa kweli sababu ndio nyingi nazo hizo ndizo zinazochangia kuwa na nyumba ndogo
wanawake wawe wabunifu sio kila siku mende
 
kwa kweli mimi hujituma sana tu lakini mamawatoto ndie huwqeka ngumu eti kesho hutaki tena halafi eti kubali ulichopata nimechoka leo mara ooh sijisikii leo bora kifo cha mende siku nyengine tutacheza gemu kubwa kwa kweli sababu ndio nyingi nazo hizo ndizo zinazochangia kuwa na nyumba ndogo
wanawake wawe wabunifu sio kila siku mende

nawewe ukiwa mbunifu sana na kujituma huoni inaweza kusaidia sana?kama kasi yake ndogo lazima ataongeza kasi tu
 
aisee usijihangaishe na kimei ni hasara.anakaa usalule ni porini kuna nyumba moja tu wanayokaa wafanyakazi na bosi wao.maisha yake hayaathiriki na utawala wa kikwete kwani yuko karibu zaidi na wanyama na jiji la dar huliona mara mbili au moja kwa mwaka.kimei ni headache muulize wiselady aisee
Aseee!!:A S 13::A S 13:
Aisee hizi tuhuma zinahitaji uwe na wakili wa ukweli mkuu
Bora unisaidie kiongozi....!!
Mmhhh....kumbe FL??!! Sikujua hayo mwenzio! Ila unanifanya nitamani kumwona huyu anaishi porini anafananaje?....Utawala wa Kikwete umeshindwa kubadili maisha yake... labda baba yangu anaweza kumsaidia....🙂
Keren mama will pass to your house on the way to Counter ya Juu!!
Achana na tuhuma za FL bana!
 
Keren mama will pass to your house on the way to Counter ya Juu!!
Achana na tuhuma za FL bana!

Mwee...unaweza ukapeperushiwa ndege wako ..:A S 13:!! Will be waiting for you Kimey....labda unaweza kunitoa outing, nimechoka na home mie...! Nimemsubiri TF hata haonekani..... LOL
 
nimejaribu sana tu hata kukumbusha enzi bado yeye mbishi bado anakwambia subiri jumapili or wewe huchoki kila siku unataka kula tu nikiuliza niende nje ugomvi
wanawake wengi akiolewa ndio amefika mwisho hakuna tena kama zamani ameishapata alichokitaka sasa kazi ya nini?

kuweni wabunifu mimi huwa nampa mpaka massagi na nikianza naanza kwenye miguu mpaka kwenye nywele bado yeye analalamika ooh unachukuwa muda mrefu mimi siwezi kila siku
 
khe,wataka nikuchunguze wewe mkuu?wanawake nliowachunguza na kuwasikia wametosha kunipa majibu.hayo mengine ya ziada au uchunguzi binafsi ni bora uniPM nikuelekeze jinsi ya kutumia sampo yako na majibu ntaleta humu

What an opportunity.....cheki piemu fasta.....
 
Mwee...unaweza ukapeperushiwa ndege wako ..:A S 13:!! Will be waiting for you Kimey....labda unaweza kunitoa outing, nimechoka na home mie...! Nimemsubiri TF hata haonekani..... LOL


mmmmh!!!!!
 
Wanaume wakishaoa ni wavivu sana kwenye mapenzi kuliko awali kabla hawajaoa.unakuta zamani kabla hajaingia kwenye ndoa dume lilikuwa linajituma mpaka mtoto wa kike anakolea,ila akiingia kwenye kiapo anakuwa mzito sana.hasa wanaume hawa waliooa wakishikwa hamu hakuna tena maandalizi kwa wenzi wao,huishia kuwaparamia kama vile wamehesabiwa muda wa mechi.nimejaribu kuwauliza wanawake kadhaa walioolewa na baadhi ya nyumba ndogo za wanaume kadhaa, wote wamelikiri hili. Wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie kujua sababu ili nami nikiolewa nsikutane na mwanaume mzembemzembe.pia hao waliooa wajifunze wajue mahitaji ya wake zao na maInfii wao
Hao hao waliooa ndio hot cake kwa wanawake wasioolewa/waliolewa maana wanajituma na kazi yao si mchezo mie nadhani bidii inahamia kwa nyumba ndo hivyo kwa nyumba kubwa inabakia ushahidi ni juu ya wanawake waliolewa kuhakikisha wanajikeep kimahaba zaidi maana sie wanaume tuko kama simba tunapotegwa na wake zetu sasa ukikakaa kihasara hasara mumeo nae anakuwa dorooo
 
Mwee...unaweza ukapeperushiwa ndege wako ..:A S 13:!! Will be waiting for you Kimey....labda unaweza kunitoa outing, nimechoka na home mie...! Nimemsubiri TF hata haonekani..... LOL
Rogger that....!! Balantino au Tikila hope will work for you to day!!
 
kha,yaan kwa kweli unastahili ban aisee yaan firstman wangu unamuita sharobalo!na finest utamwitaje?

Yaani wewe mpaka unakuja kumuanzishia sredi ina maana hawajibiki, lete hapa uone kama hujamsahau huyo sharobaro.
The Finest utamfananishaje na sharobaro??? Huyo anatoa finest tu, mjaribu uone lakin anzia CPU kwanza :wink2:
 
Wanaume wakishaoa ni wavivu sana kwenye mapenzi kuliko awali kabla hawajaoa.unakuta zamani kabla hajaingia kwenye ndoa dume lilikuwa linajituma mpaka mtoto wa kike anakolea,ila akiingia kwenye kiapo anakuwa mzito sana.hasa wanaume hawa waliooa wakishikwa hamu hakuna tena maandalizi kwa wenzi wao,huishia kuwaparamia kama vile wamehesabiwa muda wa mechi.nimejaribu kuwauliza wanawake kadhaa walioolewa na baadhi ya nyumba ndogo za wanaume kadhaa, wote wamelikiri hili. Wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie kujua sababu ili nami nikiolewa nsikutane na mwanaume mzembemzembe.pia hao waliooa wajifunze wajue mahitaji ya wake zao na maInfii wao

Usiolewe kabisa kama unataka ukikutana na mwanaume awe na hamu ya kukukomoa. Vinginevyo kama chakula kipo kwenye fridge si unakula kidogo na kuacha uendelee kula baadaye!!!
 
Wanaume wakishaoa ni wavivu sana kwenye mapenzi kuliko awali kabla hawajaoa.unakuta zamani kabla hajaingia kwenye ndoa dume lilikuwa linajituma mpaka mtoto wa kike anakolea,ila akiingia kwenye kiapo anakuwa mzito sana.hasa wanaume hawa waliooa wakishikwa hamu hakuna tena maandalizi kwa wenzi wao,huishia kuwaparamia kama vile wamehesabiwa muda wa mechi.nimejaribu kuwauliza wanawake kadhaa walioolewa na baadhi ya nyumba ndogo za wanaume kadhaa, wote wamelikiri hili. Wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie kujua sababu ili nami nikiolewa nsikutane na mwanaume mzembemzembe.pia hao waliooa wajifunze wajue mahitaji ya wake zao na maInfii wao

Ndugu habari za saizi
ni swali moja zuri sana sana hasa kwa wanandoa unaweza ponya ndoa maelfu kwa majibu ya swali hili..hili swala ni zito lakini soln yake ni nyie wawili tu...wanaume wengi wamekuwa wakirindima hasa kabla ya ndoa na baada ya ndoa si nguvu zinaisha..unajua ukiwa unazitoa zile mbegu kunakuwa na space ambayo unakuwa kama mwili unaitaji kitu..sasa basi kabla ya kuwowa kwako hata luch time unagonga..lakini nakueleza n m n shahdi wa hili ndoa nyingi kwanza zina matatizo mengi mengi mengi muno yaaani aniakauntabo....kabisa..hizi shida hufanya kufikia wakati hizi sperms hata kujizalisha ni shida..so kutokana na kushindwa kuzalishwa zinakosa sehemu ya kutokea so mwanaume anakuwa ovyo ovyo kabisa..na mbaya wanawake wengi hutumia tendo la ndoa kama adhabu ya kumkomoa mumewe..sasa ukinikuta nilielamba rangi ya ndoa kama mimi nje kama visa za marekani unaishia kupata shida na wengine kuishia kutumia sabunii kujifurahisha nafsi zao kuogopa nje ya ndoa...

Ndugu ndoa nyingi waume huishia kwenye sabuni ,,kule bafuni kungewekwa darubini ya kurekodi ni shida we unanyimwa mwezi na mkeo unaishiaje...nje uwezi..anayway ni neema ya Mungu lakini inaitaji Garama
 
Yaani wewe mpaka unakuja kumuanzishia sredi ina maana hawajibiki, lete hapa uone kama hujamsahau huyo sharobaro.
The Finest utamfananishaje na sharobaro??? Huyo anatoa finest tu, mjaribu uone lakin anzia CPU kwanza :wink2:

Kuna free GPU wacha CPU
 
Mwee...unaweza ukapeperushiwa ndege wako ..:A S 13:!! Will be waiting for you Kimey....labda unaweza kunitoa outing, nimechoka na home mie...! Nimemsubiri TF hata haonekani..... LOL
:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13: Nakuja hili daladala nililopanda limeisha mafuta nimepanda jingine l.o.l
 
Back
Top Bottom