Hivi ni kwanini wanaume waliooa ni wavivu katika mapenzi..?

Hivi ni kwanini wanaume waliooa ni wavivu katika mapenzi..?

MH JAMAN cpu mbona hata mimi nakuzngatia sana
vp nawew nimvivu kmao wenzako?

Uliona wapi CPU ikawa vivu??
Hata umeme ukikatika CPU bado inakula mzigo
Hao wavivu ni flash tu, mpaka zichomekwe ndo zinafanya kazi, halafu zina full virusi haziaminiki
Bora hata Mauz inagoma goma sometimes lakin haina virusi, lakin yote tisa, kumi CPU ndo funga kazi
 
acha wivu mwanaume.
miss u CPU mwaaaaaaaa mwamwaa:rain:kimey mwambie cpu mvua inanilowesha!!!!

Rose wangu, usithubutu kutaja hilo jina tena, sumaku yake ni hatari haina mfano
 
teh ...kweli kabisa wanaume wanadhani kuchomeka ndio issue.hawajui kama kuku anachemshiwa maji kwanza kabla ya kunyonyolewa
Tatizo kuku nyie ni wa kisasa so tukiwachemshia maji kidogo tu mnawiva thats y tunaamua kuchomeka tu!afu kuku wengi nyie hamuhitaji hata maji kabisa!lol!
 
Kaka niko SOCKET BREAKER na STABLIZER hapa kwahiyo kuwa makini

Dawa iko dogo sana hiyo mjombaaaa
Mimi kata fyuzi tu, iyo tabilaiza na soketi iko no kazi, uliza komredi Teamo aka Cofee-Mo iko ambia veve
 
Mjomba leo nakomaa na wewe mpaka kieleweke, umezidi kunionea, hata ukinizidi mbinu natumia mabomu
Komredi umefanya nicheke kwa sauti...lol,
Leo mi nakua mpole tu nna unfinished business na Keren!
 
khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee... ukiona hivyo huyo kalalana na mmoja halafu mvivu basi mihasira ya nusu/thumni imemfanya abutue sredi, kweli FL mkareeee
Khaaaa Kheeee Kheeeee anataka kuambukiza huo uvivu na wanaume wengine
 
Back
Top Bottom