Hivi ni kwanini Zanzibar haijawahi kutawaliwa na Rais Mkristo na ni sehemu ya Tanzania?

Hivi ni kwanini Zanzibar haijawahi kutawaliwa na Rais Mkristo na ni sehemu ya Tanzania?

Hapo vip!

Hili swali nimekuwa nikijiuliza muda mrefu pasipo kupata jibu kwa sababu zifuatazo.

Tanzania maana yake ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Hivyo mtu yeyote kutoka pande yeyote ana haki ya kuwa mtawala.

Kinachonishangaza na kunipa maswali mengi.

Mbona Rais wa Tanzania anaweza kutokea Zanzibar au akawa muislamu mfani Mwinyi, Kikwete na Samia (Tanganyika)

Lakini hajawahi kutoka Rais Mkristo kutoka bara akatawala Zanzibar au Zanzibar serikali yake ni ya kidini?

Zanzibar inakiu ya kutawaliwa na rais mkristo ili aweze kunyoosha mapito na kuwasha mwanga
Zanzibar bado kuna giza inahitaji mwanga

Nawaambia mkristo akitawala Zanzibar huu muungano itaimarika sana kwasababu atapanda mbegu ya muungano huko,hata hizo sheria zao za kibaguzi dhidi ya watu wa bara zitatoweka kama sio kupungua.
Kwa jinsi Zanzibar ilivyo kidemografia na kidini,ingekuwa illogical,irrational and insensible "kumuweka" Rais Mkristo.Nimesema "kumuweka" makusudi,kwa kuwa heads of state are usually selected,not elected.The so called elections are a sham.
 
Si kweli acha kukariri.Zanzibar christian 32%.
Una tatizo la kufikiri wewe, hiyo 32% labda ni wanaoenda kutembea tu na sio wenyeji wa Zanzibar,umetokea kwenu Shinyanga unafanya kazi za ndani huko unajiita Mzanzibar?
Zanzibar ni 95+ Waislamu na hiyo possibility ya kuwa na Rais Mkristo haipo 200yrs to come. Kwanza hayupo huyo Mkristo mwenye hiyo political will ya kutaka kuwa Rais, pili hata akijaribu ni ngumu kama ilivyo kwa nchi nyingine zenye idadi kubwa ya Wakristo tena Muslimu ni kuanzia 30% to 40% lakini kuanzia uhuru wao hawajawahi kupata Rais sembuse Zanzibar.
Waulizeni Kenya, Burundi, Zambia, South Africa, Angola, Malawi, Mozambique na kwingineko ushawahi kumuona Rais muislam?? Sio kwamba hawapo ila hiyo nguvu ya kujijenga utaipata wapi?
 
Back
Top Bottom