kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Huo ni ukweli, hata makanisa huenda hayatakiwi. Hakika siku ukiona baba mtakatifu Mwafrika na kiongozi Mkristu atasimikwa visiwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatuzo ni elimu aheraHuo ni ukweli, hata makanisa huenda hayatakiwi. Hakika siku ukiona baba mtakatifu Mwafrika na kiongozi
Acha udini ndg yangu. Lakini acha kichekesho Cha karne, kuwa mtu atoke bara aende kuwa Rais wa Zanzibar? Watu wanaotoka Zanzibar wanakuwa Marais wa serikali ya Jamhuri ya Muungano. Ikumbukwe tuna serikali mbili, ko hata udiwani huwezi kwenda Zanzibar ukaupata maana utatakiwa kuwa na kitambulisho cha mzanzibar mkazi.
Iwe hivyo..hawajamaa hawana utu kabisaIfike wakati Tanganyika nayo iwe na kitambulisho cha ukaazi kwa raia wake.
Zanzibar ni jambo tuu kama ilivyo mikoa huku bara wala haina hadhi ya kuitwa nchi na kiongozi wao ni mwenyekiti wa baraza la mapinduzi hatuwezi kuwa na marais wawili ndani ya nchi moja .Hapo vip!
Hili swali nimekuwa nikijiuliza muda mrefu pasipo kupata jibu kwa sababu zifuatazo.
Tanzania maana yake ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Hivyo mtu yeyote kutoka pande yeyote ana haki ya kuwa mtawala.
Kinachonishangaza na kunipa maswali mengi.
Mbona Rais wa Tanzania anaweza kutokea Zanzibar au akawa muislamu mfani Mwinyi, Kikwete na Samia (Tanganyika)
Lakini hajawahi kutoka Rais Mkristo kutoka bara akatawala Zanzibar au Zanzibar serikali yake ni ya kidini?
Mbona hujajibu swali mkuu population ya kule wapi? Tanzania ina 60+m people, kwanini asitoke bara? Kwani lazima awe wa kule? Si yeyote anaweza kuwa rais?Population ya kule asilimia 95 ni Waislam so hata viongozi wataopatikana ni kutoka katika asilimia hizo tu.
aliyekwambia bara wakristo ni wengi ni nani na unatumia takwimu gani wewe. Nikujuze tu sensa ya mwisho hapa tz iliyofanyika kukiwa na dodoso la dini ni ya mwisho mwaka 1958 wakati huo idadi ya watu nchi hii ilikuwa mil 11 na asilimia 62 ilikuwa ni waislam. sensa ilitifuata tukiwa tumepata uhuru na mwaka 1968 kipengele cha dini kiliondoshwa na kuanzia hapo hakuna takwimu sahihi za watu na dini zao Tanzania.Hii hoja haina mashiko..mbona huku bara wakristo ni wengi na hatuwezi kumkosa rahisi..mbona kwa kuheahimu muungano tunawatoa marais kutoka huko mfano Mwinyi na samia
Sa kama haijatokea mkristo we kagombeeHapo vip!
Hili swali nimekuwa nikijiuliza muda mrefu pasipo kupata jibu kwa sababu zifuatazo.
Tanzania maana yake ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Hivyo mtu yeyote kutoka pande yeyote ana haki ya kuwa mtawala.
Kinachonishangaza na kunipa maswali mengi.
Mbona Rais wa Tanzania anaweza kutokea Zanzibar au akawa muislamu mfani Mwinyi, Kikwete na Samia (Tanganyika)
Lakini hajawahi kutoka Rais Mkristo kutoka bara akatawala Zanzibar au Zanzibar serikali yake ni ya kidini?
HahahahahaIfike wakati Tanganyika nayo iwe na kitambulisho cha ukaazi kwa raia wake.
Mkuu! Zanzibar ni moja ya nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa TANZANIAWEWE NDO UNAJUA ZANZIBAR NI SEHEM YA TANZANIA
WALE WAZAWA WA KULE WANAJIONA WAO NI NCHI KAMILI
Jamaa hana jibuMbona hujajibu swali mkuu population ya kule wapi? Tanzania ina 60+m people, kwanini asitoke bara? Kwani lazima awe wa kule? Si yeyote anaweza kuwa rais?
Yaaah kakushaJamaa hana jibu
kwani selikali yetu inadini?Population ya kule asilimia 95 ni Waislam so hata viongozi wataopatikana ni kutoka katika asilimia hizo tu.
Subiri mwaka 2040! mkristo mzanzibari atatawala na makamu muislam atatoka huku!!! inawezekana nikawa hata Mimi,nani ajuae mipango ya Mungu!!?Hapo vip!
Hili swali nimekuwa nikijiuliza muda mrefu pasipo kupata jibu kwa sababu zifuatazo.
Tanzania maana yake ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Hivyo mtu yeyote kutoka pande yeyote ana haki ya kuwa mtawala.
Kinachonishangaza na kunipa maswali mengi.
Mbona Rais wa Tanzania anaweza kutokea Zanzibar au akawa muislamu mfani Mwinyi, Kikwete na Samia (Tanganyika)
Lakini hajawahi kutoka Rais Mkristo kutoka bara akatawala Zanzibar au Zanzibar serikali yake ni ya kidini?
Kwani CCM ni dini gani!!!Hapo vip!
Hili swali nimekuwa nikijiuliza muda mrefu pasipo kupata jibu kwa sababu zifuatazo.
Tanzania maana yake ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Hivyo mtu yeyote kutoka pande yeyote ana haki ya kuwa mtawala.
Kinachonishangaza na kunipa maswali mengi.
Mbona Rais wa Tanzania anaweza kutokea Zanzibar au akawa muislamu mfani Mwinyi, Kikwete na Samia (Tanganyika)
Lakini hajawahi kutoka Rais Mkristo kutoka bara akatawala Zanzibar au Zanzibar serikali yake ni ya kidini?
Watu wake ndo Wana Dini mkuu.
kamfufue kambarage umuulize atakujibuNchi iliyoungana na Zanzibar kufanya Tanzania iko wapi?