okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,641
habarini
Kutoka vyanzo visivyo rasmi nasikia Dallas sahiv anaishi kwa kuomba omba samaki kwenye fukwe za ununio..
Ikumbukwe kuwa alimuhonga wolper BMW X6, plus 39 million Tshs (hapo bado hawajakutana) pia naskia hela alizipata coz alikuwa anapiga dili za kuuza unga. Sasa mtu utauzaje unga hlf ufilisike kiasi hicho au labda alizinguana na waliopiga nae dili
Au labda baada ya kupata hela nyingi alikuwa anamwiga Reginald Mengi kutoa million 200, lol
Nawasilisha
Kutoka vyanzo visivyo rasmi nasikia Dallas sahiv anaishi kwa kuomba omba samaki kwenye fukwe za ununio..
Ikumbukwe kuwa alimuhonga wolper BMW X6, plus 39 million Tshs (hapo bado hawajakutana) pia naskia hela alizipata coz alikuwa anapiga dili za kuuza unga. Sasa mtu utauzaje unga hlf ufilisike kiasi hicho au labda alizinguana na waliopiga nae dili
Au labda baada ya kupata hela nyingi alikuwa anamwiga Reginald Mengi kutoa million 200, lol
Nawasilisha