Hivi ni kweli Dallas wa Wolper kafilisika kifedha au ni story tu za mjini?

Hivi ni kweli Dallas wa Wolper kafilisika kifedha au ni story tu za mjini?

Naweza nkakubaliana na ww, kuna jamaa yake alisema kunasiku wameaidiana kabisa na Wolper akale mzigo. Jamaa kajifanya mambo mengi kamwambia bibie achukue hotel, dem kachukua had chumba kafukizia marashi lkn jamaa hakutokea. baadae akapga cm kapata dharura. Ndo ikawa bac tena dem karud na nyege zake

Yule hafunction kabisa....ndaga aliyoiuza akajifanya ametekwa kanyang'anywa, ndo imemletea matatizo haya...sema ana mbwembwe balaa, the same to TEVEZ
 
Kwani Kinondoni kuna nini wewe mwenyewe unaweza kukuta unakaa machafu chafu Moscow au Bonde la Mkwajuni.
Kuna washamba km nyinyi mnafkiria kinondoni ni kwa mateja tu.tulioishi pale tunaelewa,ni sawa na na kumleta Mkigoma aishi bongo,
Babu mimi nimeishi wilaya zote tatu kikubwa.kwahiyo hazizingui
 
Yule hafunction kabisa....ndaga aliyoiuza akajifanya ametekwa kanyang'anywa, ndo imemletea matatizo haya...sema ana mbwembwe balaa, the same to TEVEZ
duh watu mna details mmh
 
Wolper alipoulizwa kuhusu hali ya Dallas kama anaweza kumsaidia, alijibu: “Nisingependa kumzungumzia huyo mtu

Dah....hawa wadada wa kibongo nyoko kweli....yaani kunawatu wanatuaminisha kuwa ni akina mama zetu ila wee waone hivi....huruma hakunaga.
 
Hivi haka kajomba nchumali toka ntwara anamuelewa vizuri chaga baby [emoji53]
 
Akafie mbele huko.Mm sina time kabisa Na misanii ya bongo fleva sijui bongo movie. Haya ndiyo yanaimbaga kwaya Na kukata viuno kwenye kampeni za Fisiemu kwenye uchaguzi. So I don't care
 
Hizi hela za showoff they never last. It is a matter of time. Ni wakati wao ngoja wale bata
 
habarini

Kutoka vyanzo visivyo rasmi nasikia Dallas sahiv anaishi kwa kuomba omba samaki kwenye fukwe za ununio..

Ikumbukwe kuwa alimuhonga wolper BMW X6, plus 39 million Tshs (hapo bado hawajakutana) pia naskia hela alizipata coz alikuwa anapiga dili za kuuza unga. Sasa mtu utauzaje unga hlf ufilisike kiasi hicho au labda alizinguana na waliopiga nae dili

Au labda baada ya kupata hela nyingi alikuwa anamwiga Reginald Mengi kutoa million 200, lol

Nawasilisha
Ngada kwa sana
 
Back
Top Bottom