Hivi ni kweli Dallas wa Wolper kafilisika kifedha au ni story tu za mjini?

Hivi ni kweli Dallas wa Wolper kafilisika kifedha au ni story tu za mjini?

Jamaa kweli kafilisika huwezi amini sisi tunaoishi Kinondoni ndo tunaojua zaidi mchezo mzima ulivyokuwa mpaka kufikia hali hiyo
 
habarini

Kutoka vyanzo visivyo rasmi nasikia Dallas sahiv anaishi kwa kuomba omba samaki kwenye fukwe za ununio..

Ikumbukwe kuwa alimuhonga wolper BMW X6, plus 39 million Tshs (hapo bado hawajakutana) pia naskia hela alizipata coz alikuwa anapiga dili za kuuza unga. Sasa mtu utauzaje unga hlf ufilisike kiasi hicho au labda alizinguana na waliopiga nae dili

Au labda baada ya kupata hela nyingi alikuwa anamwiga Reginald Mengi kutoa million 200, lol

Nawasilisha


Pesa ya kishenzi humalizika kishenzi na hurudi tena kishenzi kwa yule yule mshenzi.
 
Jamaa kweli kafilisika huwezi amini sisi tunaoishi Kinondoni ndo tunaojua zaidi mchezo mzima ulivyokuwa mpaka kufikia hali hiyo

Ndio kafilisika, hilo halina ubishi-kuna siku nimemuona pale ununio anagongea ugali kwenye mgahawa!
 
Jamaa kweli kafilisika huwezi amini sisi tunaoishi Kinondoni ndo tunaojua zaidi mchezo mzima ulivyokuwa mpaka kufikia hali hiyo
Kwani Kinondoni kuna nini wewe mwenyewe unaweza kukuta unakaa machafu chafu Moscow au Bonde la Mkwajuni.
 
Atakulaje mzigo wakati kule abroad walimhanithi

Naweza nkakubaliana na ww, kuna jamaa yake alisema kunasiku wameaidiana kabisa na Wolper akale mzigo. Jamaa kajifanya mambo mengi kamwambia bibie achukue hotel, dem kachukua had chumba kafukizia marashi lkn jamaa hakutokea. baadae akapga cm kapata dharura. Ndo ikawa bac tena dem karud na nyege zake
 
Back
Top Bottom