Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kinondoni noma, ukiweza kujenga nyumba ungali kinondoni wewe ni mwanaume.Jamaa kweli kafilisika huwezi amini sisi tunaoishi Kinondoni ndo tunaojua zaidi mchezo mzima ulivyokuwa mpaka kufikia hali hiyo
Nilimuona flamingo pale magomeni akaja na washkaji zake anajifanya bado anazo!...hata akukute na mtu wako anawatuma wapambe wake eti mwambieni huyo bibie DALLAS anamuita!
hahaha wewe hakukuita? Au huna mvuto?
habarini
Kutoka vyanzo visivyo rasmi nasikia Dallas sahiv anaishi kwa kuomba omba samaki kwenye fukwe za ununio..
Ikumbukwe kuwa alimuhonga wolper BMW X6, plus 39 million Tshs (hapo bado hawajakutana) pia naskia hela alizipata coz alikuwa anapiga dili za kuuza unga. Sasa mtu utauzaje unga hlf ufilisike kiasi hicho au labda alizinguana na waliopiga nae dili
Au labda baada ya kupata hela nyingi alikuwa anamwiga Reginald Mengi kutoa million 200, lol
Nawasilisha
Pesa ya kishenzi humalizika kishenzi na hurudi tena kishenzi kwa yule yule mshenzi.
kinondoni noma, ukiweza kujenga nyumba ungali kinondoni wewe ni mwanaume.
Watu wanajiendekeza tu.
Watu wamejenga wakiwa makumani Manila Philippines, itakuwa Kinondoni tu hapo?
Wewewe kino noma kuna maku kibao
duh recently nimeskia eti kumbe alipata dola millioni 3 (tsh billion 5 na ushee) katumbua zotee
Ndo huyo huyo chezea kuhongwa bila kumuona mtu
Jamaa kweli kafilisika huwezi amini sisi tunaoishi Kinondoni ndo tunaojua zaidi mchezo mzima ulivyokuwa mpaka kufikia hali hiyo
Alafu eti Dallas hata mzigo hakula!
AhahahhahahahWatu wanajiendekeza tu.
Watu wamejenga wakiwa makumani Manila Philippines, itakuwa Kinondoni tu hapo?
Kwani Kinondoni kuna nini wewe mwenyewe unaweza kukuta unakaa machafu chafu Moscow au Bonde la Mkwajuni.Jamaa kweli kafilisika huwezi amini sisi tunaoishi Kinondoni ndo tunaojua zaidi mchezo mzima ulivyokuwa mpaka kufikia hali hiyo
Alafu eti Dallas hata mzigo hakula!
Atakulaje mzigo wakati kule abroad walimhanithi