Naweza nkakubaliana na ww, kuna jamaa yake alisema kunasiku wameaidiana kabisa na Wolper akale mzigo. Jamaa kajifanya mambo mengi kamwambia bibie achukue hotel, dem kachukua had chumba kafukizia marashi lkn jamaa hakutokea. baadae akapga cm kapata dharura. Ndo ikawa bac tena dem karud na nyege zake
Kuna washamba km nyinyi mnafkiria kinondoni ni kwa mateja tu.tulioishi pale tunaelewa,ni sawa na na kumleta Mkigoma aishi bongo,Kwani Kinondoni kuna nini wewe mwenyewe unaweza kukuta unakaa machafu chafu Moscow au Bonde la Mkwajuni.
Wolper alipoulizwa kuhusu hali ya Dallas kama anaweza kumsaidia, alijibu: Nisingependa kumzungumzia huyo mtu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bila shaka warumi anajua hadi kwenye account kabakiwa na sh ngapi
Ukwel mtupuPesa ya kishenzi humalizika kishenzi na hurudi tena kishenzi kwa yule yule mshenzi.
Ngada kwa sanahabarini
Kutoka vyanzo visivyo rasmi nasikia Dallas sahiv anaishi kwa kuomba omba samaki kwenye fukwe za ununio..
Ikumbukwe kuwa alimuhonga wolper BMW X6, plus 39 million Tshs (hapo bado hawajakutana) pia naskia hela alizipata coz alikuwa anapiga dili za kuuza unga. Sasa mtu utauzaje unga hlf ufilisike kiasi hicho au labda alizinguana na waliopiga nae dili
Au labda baada ya kupata hela nyingi alikuwa anamwiga Reginald Mengi kutoa million 200, lol
Nawasilisha