CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Jana na juzi nimezisaka mitaa ya huku Mbezi hakuna kote nikambiwa kwamba zimezuiwa kuna tatizo ila kengele fulani ikalia kichwani last week mara mbili nilitapika baada ya kunywa double kick 2 plus safari 3 nikadhani labda nilikula chakula kibaya.
Anyway jana nilitumia rivella nikamix na safari nimeamka vizuri leo no hangover no kutapika lakini haina vibe kama la double kick kwa kweli.
Anyway jana nilitumia rivella nikamix na safari nimeamka vizuri leo no hangover no kutapika lakini haina vibe kama la double kick kwa kweli.