Hivi ni kweli Double Kick imefungiwa?

Hivi ni kweli Double Kick imefungiwa?

ni nooma ile nimejaribu kuiacha nashindwa saa nyingne naenda zile bar kubwa ambapo hawauzi huwa naingia nazo hata mbili kwenye mfuko na mix na beer hata kama mfukoni nina hela nyingi pombe kali nyingine naona kama zinanichelewesha tu
Aisee mkuu hiyo sasa ni balaa. Kuna wakati nilijaribu kunywa niakjikuta asubuhi naamua na pesa lakini nakuwa nimelewa sana. Zilisababisha nikataka kufukuzwa kibarua changi dah
 
Jana na juzi nimezisaka mitaa ya huku mbezii hakuna kote nikambiwa kwamba zimezuiwa kuna tatizo ila kengele fulani ikalia kichwani last week mara mbili nilitapika baada ya kunywa double kick 2 plus safari 3 nikadhani labda nilikula chakula kibaya

Anyway jana nilitumia rivella nikamix na safari nimeamka vizuri leo no hangover no kutapika lakini haina vibe kama la double kick kwa kweli
Mkuu Punguza Ulevi..Au Unaona Walokufa Mapema Wanafaidi?.
 
Jana na juzi nimezisaka mitaa ya huku mbezii hakuna kote nikambiwa kwamba zimezuiwa kuna tatizo ila kengele fulani ikalia kichwani last week mara mbili nilitapika baada ya kunywa double kick 2 plus safari 3 nikadhani labda nilikula chakula kibaya

Anyway jana nilitumia rivella nikamix na safari nimeamka vizuri leo no hangover no kutapika lakini haina vibe kama la double kick kwa kweli
Tangazo la biashara au maana moja umeipondea nyingine umeisifia
 
Hiyo double kick ni kali kuliko gongo. Kuna siku nilipiga kama maji gongo ya 1000 kwa mama Ene, lakini nilipopiga double kick nikavaibreti hadi nikamwaga kidogo kwenye glass.
Kwanza ukiifungua na kuisogeza puani hapa unasikia harufu kali!
 
Jana na juzi nimezisaka mitaa ya huku Mbezi hakuna kote nikambiwa kwamba zimezuiwa kuna tatizo ila kengele fulani ikalia kichwani last week mara mbili nilitapika baada ya kunywa double kick 2 plus safari 3 nikadhani labda nilikula chakula kibaya.

Anyway jana nilitumia rivella nikamix na safari nimeamka vizuri leo no hangover no kutapika lakini haina vibe kama la double kick kwa kweli.
Nadhani zifungiwe tu maana husababisha ini na figo kufeli
 
Jana na juzi nimezisaka mitaa ya huku Mbezi hakuna kote nikambiwa kwamba zimezuiwa kuna tatizo ila kengele fulani ikalia kichwani last week mara mbili nilitapika baada ya kunywa double kick 2 plus safari 3 nikadhani labda nilikula chakula kibaya.

Anyway jana nilitumia rivella nikamix na safari nimeamka vizuri leo no hangover no kutapika lakini haina vibe kama la double kick kwa kweli.
Ondoa hofu
 
Back
Top Bottom