Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
MLEVi Mmoja amethibitisha ili?DOUBLE KICK ni hatari sana. Kachupa kadogo sh.2000 unalewa wiki zima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MLEVi Mmoja amethibitisha ili?DOUBLE KICK ni hatari sana. Kachupa kadogo sh.2000 unalewa wiki zima.
Aisee mkuu hiyo sasa ni balaa. Kuna wakati nilijaribu kunywa niakjikuta asubuhi naamua na pesa lakini nakuwa nimelewa sana. Zilisababisha nikataka kufukuzwa kibarua changi dahni nooma ile nimejaribu kuiacha nashindwa saa nyingne naenda zile bar kubwa ambapo hawauzi huwa naingia nazo hata mbili kwenye mfuko na mix na beer hata kama mfukoni nina hela nyingi pombe kali nyingine naona kama zinanichelewesha tu
Mkuu Punguza Ulevi..Au Unaona Walokufa Mapema Wanafaidi?.Jana na juzi nimezisaka mitaa ya huku mbezii hakuna kote nikambiwa kwamba zimezuiwa kuna tatizo ila kengele fulani ikalia kichwani last week mara mbili nilitapika baada ya kunywa double kick 2 plus safari 3 nikadhani labda nilikula chakula kibaya
Anyway jana nilitumia rivella nikamix na safari nimeamka vizuri leo no hangover no kutapika lakini haina vibe kama la double kick kwa kweli
Tangazo la biashara au maana moja umeipondea nyingine umeisifiaJana na juzi nimezisaka mitaa ya huku mbezii hakuna kote nikambiwa kwamba zimezuiwa kuna tatizo ila kengele fulani ikalia kichwani last week mara mbili nilitapika baada ya kunywa double kick 2 plus safari 3 nikadhani labda nilikula chakula kibaya
Anyway jana nilitumia rivella nikamix na safari nimeamka vizuri leo no hangover no kutapika lakini haina vibe kama la double kick kwa kweli
HHahAha nakuja baadae huko kula miguu ya kuku nimalizie siku pale macarenanjoo madongoni hapa zipo
Na zina soko balaa...dah...hapana kwakweli
Double kick ni gongo number one
Nadhani zifungiwe tu maana husababisha ini na figo kufeliJana na juzi nimezisaka mitaa ya huku Mbezi hakuna kote nikambiwa kwamba zimezuiwa kuna tatizo ila kengele fulani ikalia kichwani last week mara mbili nilitapika baada ya kunywa double kick 2 plus safari 3 nikadhani labda nilikula chakula kibaya.
Anyway jana nilitumia rivella nikamix na safari nimeamka vizuri leo no hangover no kutapika lakini haina vibe kama la double kick kwa kweli.
Ondoa hofuJana na juzi nimezisaka mitaa ya huku Mbezi hakuna kote nikambiwa kwamba zimezuiwa kuna tatizo ila kengele fulani ikalia kichwani last week mara mbili nilitapika baada ya kunywa double kick 2 plus safari 3 nikadhani labda nilikula chakula kibaya.
Anyway jana nilitumia rivella nikamix na safari nimeamka vizuri leo no hangover no kutapika lakini haina vibe kama la double kick kwa kweli.