Hivi ni kweli Double Kick imefungiwa?

Hivi ni kweli Double Kick imefungiwa?

Me hivyo vidude hapana,nikiwa sina kitu napiga zangu k vant nasuuza na bia kadhaa safi kabisa
 
Double kick 2 na safari 3🤣🤣! Dah
Yani huyu nadhani ni mlevi mbwa wa bei rahisi. Sijawahi hata kunusa hizo kitu, shambani kwangu ilikuwa nikimpa dogo double kick au kuna diamond zinaitwa anapiga mbili atavurumisha trekta wallak hela kumi mnazikata masaa kadhaa tu.

Nilipogundua kuwa ule ni ulevi wa bei rahisi sana alikuwa wanakoma unawavuruga na diamond tano tu wanawaka na jua lile wallah sitakuja kugusa hizo kitu.

Naona ndio vijana wamegeuza mubadala wa viroba maana akigonga kamoja anapata vibe hatari kwa 2000 tu😃😃😃😃 wanarosti maini wallah
 
Yani huyu nadhani ni mlevi mbwa wa bei rahisi. Sijawahi hata kunusa hizo kitu, shambani kwangu ilikuwa nikimpa dogo double kick au kuna diamond zinaitwa anapiga mbili atavurumisha trekta wallak hela kumi mnazikata masaa kadhaa tu.

Nilipogundua kuwa ule ni ulevi wa bei rahisi sana alikuwa wanakoma unawavuruga na diamond tano tu wanaeaka na jua lile wallah sitakuja kugusa hizo takataka
Kwanza zinazeesha mwili balaa...😀😀😀neva
 
Kwanza zinazeesha mwili balaa...😀😀😀neva
Eeeh bana wale watu wa kondoa nawalimisha ukikaa nap unamsalimia shikamoo kumbe kijana mwenzio tu sema diamond na double kick na wanavuta sonyo Yani balaa.

Hawa vijana wanalewa pombe ya bei rahisi sana itawwua. Nahisi hiyo diamond ndio inatengenezewa huko shinyanga kuna kiwanda aisee.
 
Eeeh bana wale watu wa kondoa nawalimisha ukikaa nap unamsalimia shikamoo kumbe kijana mwenzio tu sema diamond na double kick na wanavuta sonyo Yani balaa.

Hawa vijana wanalewa pombe ya bei rahisi sana itawwua. Nahisi hiyo diamond ndio inatengenezewa huko shinyanga kuna kiwanda aisee.
Na zina soko balaa...dah...hapana kwakweli
 
"Kama waipenda double kick piga kofi moja" [emoji445] [emoji445] [emoji445]
 
Na zina soko balaa...dah...hapana kwakweli
Sasa hivi ndio zinauzwa zaidi sababu kwa mfano Kvant ndogo ni 5000 kubwa 10000 mpaka 12000, na akinywa ya 5000 bado anakuwa hajalewa wakati akipiga double kick mbili anaiva saaafi.

Yani wameiondoa sokoni kvanga. Heri hata kvanga ibakie kama kinywaji cha heshima wanywe hayohayo mataputapu maana Kvant ilipokuwa inanyweka sana ilionekana sasa inaelekea kudharaulika.
 
Sasa hivi ndio zinauzwa zaidi sababu kwa mfano Kvant ndogo ni 5000 kubwa 10000 mpaka 12000, na akinywa ya 5000 bado anakuwa hajalewa wakati akipiga double kick mbili anaiva saaafi.

Yani wameiondoa sokoni kvanga. Heri hata kvanga ibakie kama kinywaji cha heshima wanywe hayohayo mataputapu maana Kvant ilipokuwa inanyweka sana ilionekana sasa inaelekea kudharaulika.
Yes k vant bado ina heshima yake kabisa...dah hayo makitu hapana kbs..kwanza ukifungua tu ile harufu dah
 
Sasa hivi ndio zinauzwa zaidi sababu kwa mfano Kvant ndogo ni 5000 kubwa 10000 mpaka 12000, na akinywa ya 5000 bado anakuwa hajalewa wakati akipiga double kick mbili anaiva saaafi.

Yani wameiondoa sokoni kvanga. Heri hata kvanga ibakie kama kinywaji cha heshima wanywe hayohayo mataputapu maana Kvant ilipokuwa inanyweka sana ilionekana sasa inaelekea kudharaulika.
Hapa kiduka cha Mangi kvant inauzwa 3500 ya nini nijitese na kick?
 
Hapa kiduka cha Mangi kvant inauzwa 3500 ya nini nijitese na kick?
Kwakweli aisee maana kwa mangi shop ni hiyo bei kwenye bar za kawaida ndio 4000-5000. Vijana wanaamua kujinywesha mataputapu wenyewe tu
Halafu ukizoea kunywa mapombe ya bei rahisi hachelewi kujikuta umehamia kwenye gongo ya 500 au chibuku
 
Kwakweli aisee maana kwa mangi shop ni hiyo bei kwenye bar za kawaida ndio 4000-5000. Vijana wanaamua kujinywesha mataputapu wenyewe tu
Halafu ukizoea kunywa mapombe ya bei rahisi hachelewi kujikuta umehamia kwenye gongo ya 500 au chibuku
Tena kuna valuu inauzwa 2500 hivi pombe za kwenye chupa ya plastick hapana aisee
 
Tena kuna valuu inauzwa 2500 hivi pombe za kwenye chupa ya plastick hapana aisee
Pombe ya kwenye chupa ya plastiki haifai, angalia hata soda ya kwenye chupa ya plastiki ilivyo haina utamu kama Ile ya kwenye kioo.
 
nyongo bado sana

usinywe vitu juu ya uwezo wako
hapo piga double kick moja tu usimix chochote siku inakata
Jana na juzi nimezisaka mitaa ya huku mbezii hakuna kote nikambiwa kwamba zimezuiwa kuna tatizo ila kengele fulani ikalia kichwani last week mara mbili nilitapika baada ya kunywa double kick 2 plus safari 3 nikadhani labda nilikula chakula kibaya

Anyway jana nilitumia rivella nikamix na safari nimeamka vizuri leo no hangover no kutapika lakini haina vibe kama la double kick kwa kweli
 
Back
Top Bottom