CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
daahh pole sana..usikute waliziwekea chibuku
ni unywaji tu siyo ulevi
huw nakunywa hata 3 namix na safari lakini last week ilikuwa hatari nimetapika mara mbili na hangover ya siku nzima jan anatafuta ndo hivyo tena hazipoDOUBLE KICK ni hatari sana. Kachupa kadogo sh.2000 unalewa wiki zima.
Wewe ni noma!huw nakunywa hata 3 namix na safari lakini last week ilikuwa hatari nimetapika mara mbili na hangover ya siku nzima jan anatafuta ndo hivyo tena hazipo
😀Wewe ni noma!
ni nooma ile nimejaribu kuiacha nashindwa saa nyingne naenda zile bar kubwa ambapo hawauzi huwa naingia nazo hata mbili kwenye mfuko na mix na beer hata kama mfukoni nina hela nyingi pombe kali nyingine naona kama zinanichelewesha tuAisee hiyo pombe bodaboda yani.
Double kick 2 na safari 3🤣🤣! DahJana na juzi nimezisaka mitaa ya huku mbezii hakuna kote nikambiwa kwamba zimezuiwa kuna tatizo ila kengele fulani ikalia kichwani last week mara mbili nilitapika baada ya kunywa double kick 2 plus safari 3 nikadhani labda nilikula chakula kibaya
Anyway jana nilitumia rivella nikamix na safari nimeamka vizuri leo no hangover no kutapika lakini haina vibe kama la double kick kwa kweli
yes shemeji hapo ujue nina 10,000 tu ambayo mara nyingi ndiyo uwezo wangu siku nikiwa vizuri nikaweza kuweka nyama za kutosha tumboni huwa ni habari nyingineDouble kick 2 na safari 3🤣🤣! Dah
labda stocks za mwisho mwisho ila pande za kawe hadi mbezi hadi goba hakunaImefungiwa wapi jana tu Sule na Mgosi walikuwa wanakunywa hapa Senzele kwa mjeda mchaga anazo kwenye kiosk chake kama zote
Hivo vidubwasha bora vifungiwe alcohol level 43%? Kamezidi nyagi kwa 10% almostlabda stocks za mwisho mwisho ila pande za kawe hadi mbezi hadi goba hakuna
43%? Jamani wataua watu🤔Hivo vidubwasha bora vifungiwe alcohol level 43%? Kamezidi nyagi kwa 10% almost
Kabisa yaani matumbo yanaiva kabisa43%? Jamani wataua watu[emoji848]
Unatengeneza sumu vby sana..mbona 10000 unakula zako nyagi kbs mzee baba?yes shemeji hapo ujue nina 10,000 tu ambayo mara nyingi ndiyo uwezo wangu siku nikiwa vizuri nikaweza kuweka nyama za kutosha tumboni huwa ni habari nyingine