Hivi ni kweli hadi leo NIDA hawana ujuzi wowote wa mtu kuijua namba yake kimtandao?

Hivi ni kweli hadi leo NIDA hawana ujuzi wowote wa mtu kuijua namba yake kimtandao?

Piga *152#00# chagua Ajira na utambuzi kisha chagua NIDA halafu fuata maelekezo
Nimefikiria kwa kina taaruki ya NIDA kutofanikisha waliojiandikisha kupata namba zao hadi sasa. Nimefikiria kwa kina vyuo vyote vya IT tulivyonavyo. Nimefikiria uwezo wa kiuchumi wa Tanzania. Nimefikiria uwezo wa kiuongozi na kiutawala tulionao.

Nimefikiria taaruki ilivyo hadi sasa. Nimefikiria makampun ya mtandao yanayofanyakazi nchini. Hivi kweli vichwa vyote hivi vimekaa na suti zao na kufikiri kwa weredi wote na bado ikathibitika hivi kwamba hawana uwezo wa mtu kupata No yake ya NIDA kwa njia ya mtandao?

Yaani nikiona watu walivo smart kwa nguo na haiba za usomi nafikiria ..KWELI NDO HAWA! Serikali imeamua kuamin iliajiri vilaza wa IT kias hiki kweli? Maana hakuna njia hata moja inafanyakazi kwa ufanis hadi leo. Ni her hata wasingeweka njia hizo.

Yani hata namba za kupiga uwezo wao ni kutopokelewa milele! Tunakwama wapi? Basi tuazime hata akili kwa muda nchi yoyote , hao wale tu mshahara mana serkali haina wa kumtupia huo mzigo wake.

Jr[emoji769]
 
Hiyo njia hata urudie mara elfu. Jibu ni nenda wilayan ulipojiandikisha.
Screenshot_20200108-172855_Samsung Internet.jpg
 
Piga *152#00# chagua Ajira na utambuzi kisha chagua NIDA halafu fuata maelekezo

Jr[emoji769]
Hii ndo kabsa hailet hata jib la hatutak. Au sijui inabid uliwe makato had sh ngap ndo uiache, mi zaid ya 1800 nimeshakatwa.
 
Kuna app yao sijui iko loose kias gani had iwe na matangazo ya ads mengi kias kile! Na bado haitoi majib
 
Kuna mahali utakuwa unakosea
Hii ndo kabsa hailet hata jib la hatutak. Au sijui inabid uliwe makato had sh ngap ndo uiache, mi zaid ya 1800 nimeshakatwa.

Jr[emoji769]
 
Hao Madogo Waliopo Hapo NIDA wengi ni volunteer....ndio maana wanafanya kazi kama vile hawataki.
 
Hao Madogo Waliopo Hapo NIDA wengi ni volunteer....ndio maana wanafanya kazi kama vile hawataki.
Kuna ka ukweli. Haizekan akili za IT Tz wakose namna. Had sasa kuna njia lukuki lakin hazisaidii. Hata app iliyowekwa hapo juu inakalia network problem. Kuna app nyingine ndo imegeuzwa dampo la matangazo yote (ads).
 
Nimefikiria kwa kina taaruki ya NIDA kutofanikisha waliojiandikisha kupata namba zao hadi sasa. Nimefikiria kwa kina vyuo vyote vya IT tulivyonavyo. Nimefikiria uwezo wa kiuchumi wa Tanzania. Nimefikiria uwezo wa kiuongozi na kiutawala tulionao.

Nimefikiria taaruki ilivyo hadi sasa. Nimefikiria makampun ya mtandao yanayofanyakazi nchini. Hivi kweli vichwa vyote hivi vimekaa na suti zao na kufikiri kwa weredi wote na bado ikathibitika hivi kwamba hawana uwezo wa mtu kupata No yake ya NIDA kwa njia ya mtandao?

Yaani nikiona watu walivo smart kwa nguo na haiba za usomi nafikiria ..KWELI NDO HAWA! Serikali imeamua kuamin iliajiri vilaza wa IT kias hiki kweli? Maana hakuna njia hata moja inafanyakazi kwa ufanis hadi leo. Ni her hata wasingeweka njia hizo.

Yani hata namba za kupiga uwezo wao ni kutopokelewa milele! Tunakwama wapi? Basi tuazime hata akili kwa muda nchi yoyote , hao wale tu mshahara mana serkali haina wa kumtupia huo mzigo wake.
Yani ni tatizo kubwa sana. Ma Mkwe wangu toka mwezi wa 10 huku Moshi amejiandikisha Tayari lkn kila akiuliza kwenye simu wanasema wanashughulikia mpk leo. Nida ni jipu huku kwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio hujui sio NIDA ingia kwnye site yao kwa njia ya mtandao kwa kwa simu kila mtandao wana code ya kupata namba


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom