Hivi ni kweli hawa wanaojiuza mtandaoni ni wanachuo kweli au wanajikweza?

Hivi ni kweli hawa wanaojiuza mtandaoni ni wanachuo kweli au wanajikweza?

Wengi wa machangu wanachafua vyuo vikuu vinaonekana wanafunzi wanajiuza kumbe si kweli, sasa ukimuuliza hvo atashindwa kujibu. So hyo ya wanafunzi kujiuza asilimia ni chache sana

Huo uwongo mimi napigaga nao story kabisa katikati ya gemu muda wa mapumziko mimi nimesoma chuo kuna maswali unamuuliza mtu unajua kabisa huyu yuko mwaka wa pili.
 
Kusema ya kuwa mwanamke/msichana anayesoma chuo hawezi kujiuza mi nakataa....Tukiachana na mtizamo huo...kujiuza kwa mwanamke kunabakia kuwa ni hulka na tabia yake binafsi....Wanawake wangapi wana kazi za kuwapatia kipato lkn wanajiuza ama wanaigiza picha za ngono.
Mfano m'dada Pryanka Chopra ni mwanamke mzuri lakini pia ni muigizaji wa filamu za kihindi ila leo hii yeye ni muigizaji wa filamu za Ngono.

Kwa upande wangu,wapo wanachuo wenye kufanya kila aina ya starehe hata hiyo biashara ya kujiuza kwa baadhi yao wanaifanya ila kwa kificho na umakini wa hali ya juu.Tsiwakatalie kwenye hilo kwa kuwaamini kuwa wao kutokana na usomi wao pamoja na mazingira waliyotokea basi hawawezi fanya uharamu huo...ilihali hao hao wasomi wetu tulionao kutokana na elimu zao wanafanya mambo ya ajabu kushinda hata yule aliyeishia kidato cha nne

Kuhusu pryanka chopra una uhakika mkuu? Unajua huyu ni former miss world na yuko hollywood kwenye role nyingi na ameolewa na yule dogo muimbaji wa marekani nick jonas wa jonas brothers[emoji16][emoji16] kama unavideo yake ya x nitumie pm[emoji28]
 
Saa ngapi unaijenga nchi yako naona kama muda mwingi unautumia kuwaza nyuchi za kinamama.Umo kichwani umejaza taswira za nyuchi za kina dada za kila namna

Kwani kujenga nchi kunakwamishwa na kuwaza nyuchi , mimi nimshajenga kwa uwezo wangu sasa hutaki nisambaze upendo?
 
Nafikiri hiyo mitandao inawafaa zaidi mademu kwa sababu hawana ujasiri wa kumfuata mwanaume, lakini kwa asilimia kubwa mwanaume ana ujasiri wa kumfuata demu aliyemtaka. Nilichogundua mitandao inatumika sana majuu kuanzisha mahusiano, simply because wanaume wana-avoid kupewa kesi za unyanyasaji wa kijinsia endapo atamfuata demu ambaye hakumridhia, maana sheria zinazowalinda wanawake ni kali sana na zinawafanya mademu wa kizungu kuwa watata sana..
 
Huo uwongo mimi napigaga nao story kabisa katikati ya gemu muda wa mapumziko mimi nimesoma chuo kuna maswali unamuuliza mtu unajua kabisa huyu yuko mwaka wa pili.
Wewe mimi nimekaa nao hostel asilimia kubwa sio wanachuo, na mtu anaweza kupiga story kwa vile hukaa mule hostel mabibo kwanini asijue tena wengine huenda Hadi udsm mle na kupiga picha wewe ka unashobokea wanachuo itakula kwako
 
Siku hizi ukichati na manzi tinder au badoo utakuta manzi anasema yuko chuo flani, UDSM, IFM, SAUTI n.k. Ajabu ukiomba tunda atakupa bei then namba ya simu then mnakutana eneo la mikasi.

Huwa najiuliza enzi zangu niko chuo mbona sikuwa najua kama wapo wanajiuza ningekuwa nawapata kiurahisi kuliko ninavyowapata sasa hv nikiwa siko chuoni.

Halafu unakuta kuna masela pale chuoni wanateseka kula kwa macho tu.

HUJUI KUWA MWANACHUO NI SIFA YA ZIADA KWA UKAHABA WA KISASA? ANAKUJA NA ILE ENGLISH YAKE YA YAP, OFFCOURSE
 
Sure,hii dunia bana..unaweza ukawa unaishi maisha fulani ukawa kwenye kaulimwengu kako kabisa ukashindwa kujua ulimwengu mwingine unaendaje
Ni kweli kabisa kwa sababu hao wanachuo hawavai unifomu , ukiwaona mtaani ni kama wadada wengine tu na ukiwa chuo wewe umelala ,unajisomea utajuaje kuwa wanachuo wezako wametoka wameenda mjini ,
 
[emoji23][emoji23]Umenkumbusha mbal kpndi naenda jesh Rwamkoma mara nmepga zangu upara natoka mwanza...sasa kwenye basi nlkuw nmekaa na mtoto mmoja mkali kinoma..type za tunda ila anaonekana zero brain
kwenye stori stori nkamuuliza anaish wap
Yeye:Nasoma Chuo huko Musoma..Chuo cha ustawi wa jamii
Mimi:Ooh So mlkuwa mmefunga ndo mnafungua au?
Yeye:Hamna nlimuomba monta ruhusa tu nkaja Mwanza kulkuwa na dharura
Mimi:Aah na chuo unasoma kozi gan?
Yeye:Nasoma ile kombi ngumu kuliko zote
Mimi😛etroleum au udaktari?
Yeye:Hiyo ya kwanza
Mimi:Alright, so mko wengi chuo au?
Yeye:Yeah kuna mikondo mingi sana,sasa maji huwa ya shida kwahyo vile vidato vya chini huwa wanaonewa na vidato vya juu kwenye kufata maji.

At that moment I realized I was talkn to a Lunatic
Kali mkuu
 
[emoji23][emoji23]Umenkumbusha mbal kpndi naenda jesh Rwamkoma mara nmepga zangu upara natoka mwanza...sasa kwenye basi nlkuw nmekaa na mtoto mmoja mkali kinoma..type za tunda ila anaonekana zero brain
kwenye stori stori nkamuuliza anaish wap
Yeye:Nasoma Chuo huko Musoma..Chuo cha ustawi wa jamii
Mimi:Ooh So mlkuwa mmefunga ndo mnafungua au?
Yeye:Hamna nlimuomba monta ruhusa tu nkaja Mwanza kulkuwa na dharura
Mimi:Aah na chuo unasoma kozi gan?
Yeye:Nasoma ile kombi ngumu kuliko zote
Mimi😛etroleum au udaktari?
Yeye:Hiyo ya kwanza
Mimi:Alright, so mko wengi chuo au?
Yeye:Yeah kuna mikondo mingi sana,sasa maji huwa ya shida kwahyo vile vidato vya chini huwa wanaonewa na vidato vya juu kwenye kufata maji.

At that moment I realized I was talkn to a Lunatic

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku hizi ukichati na manzi tinder au badoo utakuta manzi anasema yuko chuo flani, UDSM, IFM, SAUTI n.k. Ajabu ukiomba tunda atakupa bei then namba ya simu then mnakutana eneo la mikasi.

Huwa najiuliza enzi zangu niko chuo mbona sikuwa najua kama wapo wanajiuza ningekuwa nawapata kiurahisi kuliko ninavyowapata sasa hv nikiwa siko chuoni.

Halafu unakuta kuna masela pale chuoni wanateseka kula kwa macho tu.
Huko tinder na badoo nawapataj mkuu
 
Siku hizi ukichati na manzi tinder au badoo utakuta manzi anasema yuko chuo flani, UDSM, IFM, SAUTI n.k. Ajabu ukiomba tunda atakupa bei then namba ya simu then mnakutana eneo la mikasi.

Huwa najiuliza enzi zangu niko chuo mbona sikuwa najua kama wapo wanajiuza ningekuwa nawapata kiurahisi kuliko ninavyowapata sasa hv nikiwa siko chuoni.

Halafu unakuta kuna masela pale chuoni wanateseka kula kwa macho tu.
Acha ufala wewe.
Madem wengi wanatumia brand ya chuo kama gia ya kujimwambafy. Muulize maswali mambo ya chuo hata kozi tu wengine hawazijui. Off course kuna wanachuo pia. Kuhusu wanaume wa chuoni kuteseka lazima wateseke kama hawana hela. kuwala mademu wakali lazima uwe na hela
 
Back
Top Bottom