Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Tapeli mwenyewe we mpare😂😂😂Huku ni matapeli tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tapeli mwenyewe we mpare😂😂😂Huku ni matapeli tuu
Nimepiga kwenye mshono eee 😂 pole sana babeTapeli mwenyewe we mpare😂😂😂
Wenye mwanzo humu tupo wengi tuna mtoa mada sema Ndoivo wengine hawapendi mbambambaa kwa usalama wa afya za mahusiano yao
🤣🤣🤣 Walikutapeli nini kwanza?Nimepiga kwenye mshono eee 😂 pole sana babe
Aaaah hii nchi amani imezidi, inahitajika tuchachuliwe kidogo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hupendagi Amani siyo?
Ni sawa..usiku mwema..
Mm sijawh kuwa na mahusiano ya humu JF ila naona story za wengi wanasema walipigwa na vitu vizito na wanawake wa humu.🤣🤣🤣 Walikutapeli nini kwanza?
Huyo sio wewe kweli 🤣aloooo
Muheshimiwa nakusalimiahongereni sana aise, inatia moyo sana kwa wapambanaji kutokukata tamaa, kumbe inawezekana 🐒
ni muhimu kung'ang'ana apo apo kwa uangalifu, ili kuepuka kutishia afya na uhai wa mahusianao yenu 🐒
🤣🤣🤣🤣 usiwasikilize hao ni matapeli.Mm sijawh kuwa na mahusiano ya humu JF ila naona story za wengi wanasema walipigwa na vitu vizito na wanawake wa humu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyooo
Bebe kali zipo sana tu JF ila Kama huendagi Kanisani/ Msikitini huwezi kuziona [emoji1787]
😂😂 Kila mtu ni tapeli, em tujaribu Mm na ww afu nione kama kwel kuna utapeli au vp🤣🤣🤣🤣 usiwasikilize hao ni matapeli.
😂😂😂😂😂jamaniHuyo sio wewe kweli 🤣
waooooh 😊😊Na soon tutatimiza anniversary ya 10yrs, sio ya kuchapana....ya ndoa mkuu!
I'll have to write smth here on our anniversary, wengine Max jatuwezesha kuandika historia zetu za maisha kupitia jf.