Hivi ni kweli huyo mchumba, mume au mke ulonaye sasa hivi mlikutana humu JF?

Hivi ni kweli huyo mchumba, mume au mke ulonaye sasa hivi mlikutana humu JF?

hongereni sana aise, inatia moyo sana kwa wapambanaji kutokukata tamaa, kumbe inawezekana 🐒

ni muhimu kung'ang'ana apo apo kwa uangalifu, ili kuepuka kutishia afya na uhai wa mahusianao yenu 🐒
Wenye mwanzo humu tupo wengi tuna mtoa mada sema Ndoivo wengine hawapendi mbambambaa kwa usalama wa afya za mahusiano yao
 
Back
Top Bottom