Hivi ni kweli huyo mchumba, mume au mke ulonaye sasa hivi mlikutana humu JF?

Hivi ni kweli huyo mchumba, mume au mke ulonaye sasa hivi mlikutana humu JF?

Mwanamke hata mkutane Church utapigwa tukio tu.
Hii michangudoa ina mapenzi kweli ya dhati.
Mtu anakwambia nipe dk sifuri tu.
Ukimruhusu dk 30-40 karudi na mazaga yote.
Wanakwaya hawa wake zenu nishawafumua hukohuko kanisani hawana lolote.
 
Back
Top Bottom