Hakunaga hiyo, asiyefanya kazi na asile.Jobless nayejiweza
Nambie sasaWanasema tumia pesa ikuzoee. Sasa fanya kukibomoa then nitakwambia kitu.
ššwanaokuja pm ni matapeli tuWao wao wao kama ambulance šš
Jibu pm hizo tule ubwabwa sie
Hamna maana kabisa. Muhame kwenye nchi yetu.Kwendaaa
Asile nini? Namsaidia dogo kuulizaš¤£Hakunaga hiyo, asiyefanya kazi na asile.
Labla tusile kipochi manyoya šAsile nini? Namsaidia dogo kuulizaš¤£
Wajaluo ndio hawaeleweki kwao wapi, sio tz wala Kenya, hawatambulikiš¤£Hamna maana kabisa. Muhame kwenye nchi yetu.
NimekustukiaššššUtafilisikq, outing tu 150k itakata. Anakunywa vitu vya gharama tu, halali guest/lodge, hapandi boda...
Ushavunja kibubu?Nambie sasa
Mimi nilishindwa nikanyanyua makwapa𤣠usije!Nimekustukiašššš
Sasa ole wako!! Nakufuata huko huko milimani.
Makandeš¤£š¤£Asile nini? Namsaidia dogo kuulizaš¤£
Yaani bongo bahati mbayaš¤£š¤£Wajaluo ndio hawaeleweki kwao wapi, sio tz wala Kenya, hawatambulikiš¤£
Anataka kuharibu bajeti ya maisha yangu yote niliyopanga kuishi humu duniani šUtafilisikq, outing tu 150k itakata. Anakunywa vitu vya gharama tu, halali guest/lodge, hapandi boda...
š Nakuja nakwambia, endelea kupeperusha ndege wangu uone!Mimi nilishindwa nikanyanyua makwapa𤣠usije!
Hahaa umepata mke insta!mi mamsapu wangu nimempata huko kunako Instagram
Nambie ili nipate sababu ya kuvunja kibubuUshavunja kibubu?
Asikutishe, wewe pika tu makande utakuwa ushamaliza kila kitu. Then tunavunja kibubu chetuš¤£Anataka kuharibu bajeti ya maisha yangu yote niliyopanga kuishi humu duniani š
Bc unyama nakusubirAsikutushe, wewe pika tu makande utakuwa ushamaliza kila kitu. Then tunavunja kibubu chetuš¤£