johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Hahahaaaa....... Wazanaki unawajua wewe?Aisee🤣🤣🤣
Babu yake Nyerere ni Mjaluo?
Mama Maria Nyerere Babu yake Jaluo.
Uzanaki na Ujaluo wali na wali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa....... Wazanaki unawajua wewe?Aisee🤣🤣🤣
Babu yake Nyerere ni Mjaluo?
Mama Maria Nyerere Babu yake Jaluo.
Uzanaki na Ujaluo wali na wali?
Ahsante kwa elimu!Hata kilomita kumi za ukanda mzima wa pwani ya Tanganyika ni mali ya Zanzibar, arafu Zanzibar sio Tanzania, ila Tanzania ni Zanzibar na Tanganyika,mnawapotosha wajukuu.
Mimi Ni Mzanaki.Hahahaaaa....... Wazanaki unawajua wewe?
Mkuu Historia niliyosoma mimi Tanganyika na kilimanjaro kama neno yametokana na Ujio wa wazungu ambao pia wamekuja na mipaka yao...Kulikua na Kenya, Tanganyika na Kilimanjaro....
Kwa anayejua Tafadhali kabla ya ile zana ya Kijermani na Kiingereza hali ilikuwaje.
Nimesoma mahali kuwa hata baba yake Obama siyo mkenya ni mtanzania ndio maana Obama alifika hadi Tarime kwa akina Heche kuwasalimia.
Nasubiri majawabu!
Maendeleo hayana vya
Unashangaa Hilo TU,hata phiraun wa mapiramid Egypt alitokea Rowezeri Rwanda.Kwa anayejua Tafadhali kabla ya ile zana ya Kijermani na Kiingereza hali ilikuwaje.
Nimesoma mahali kuwa hata baba yake Obama siyo mkenya ni mtanzania ndio maana Obama alifika hadi Tarime kwa akina Heche kuwasalimia.
Nasubiri majawabu!
Maendeleo hayana vyama.
Hata sehemu ya Dar es salaam ilikuwa ni part ya Zanzibar ....!!Kabla ya ukoloni nchi iliyokuwepo ni Zanzibar pekee, na Mombasa ilikuwa sehemu ya Zanzibar, so ni kweli Mombasa ilikuwa sehemu ya Tanzania kwa sababu Zanzibar ni Tanzania kwa sasa
Haitakusaidia kituKwa anayejua Tafadhali kabla ya ile mikataba ya Kijermani na Kiingereza hali ilikuwaje.
Nimesoma mahali kuwa hata baba yake Obama siyo mkenya ni mtanzania ndio maana Obama alifika hadi Tarime kwa akina Heche kuwasalimia.
Nasubiri majawabu!
Maendeleo hayana vyama.
Anasumbuliwa na k-vant msamehe bureKabla ya hii mipaka kulikuwa na Kenya na Tanzania?
haelewi kitu utachoka bure mkuuHaikuwepo nchi inaitwa Kenya Wala Mombasa yalikuwepo makabila yanamiliki mipaka ya maeneo yao sawa kijana
Ni kweli hata Waziri Kabudi aliwahi kuongelea hilo swala.Kwa anayejua Tafadhali kabla ya ile mikataba ya Kijermani na Kiingereza hali ilikuwaje.
Nimesoma mahali kuwa hata baba yake Obama siyo mkenya ni mtanzania ndio maana Obama alifika hadi Tarime kwa akina Heche kuwasalimia.
Nasubiri majawabu!
Maendeleo hayana vyama.
Kabla ya ukoloni, mtawala wa Z'bar ambae ni Sultani alitawala visiwani na mwambao wa Dar, Kilwa, Tanga mpaka Mombasa. Ndio maana cultural setup ya Mombasa na namna wanazungumza ni kama Tanga au Zbar.Kabla ya ukoloni nchi iliyokuwepo ni Zanzibar pekee, na Mombasa ilikuwa sehemu ya Zanzibar, so ni kweli Mombasa ilikuwa sehemu ya Tanzania kwa sababu Zanzibar ni Tanzania kwa sasa
Nenda kamuulize Putin au SabayaKwa anayejua Tafadhali kabla ya ile mikataba ya Kijermani na Kiingereza hali ilikuwaje.
Nimesoma mahali kuwa hata baba yake Obama siyo mkenya ni mtanzania ndio maana Obama alifika hadi Tarime kwa akina Heche kuwasalimia.
Nasubiri majawabu!
Maendeleo hayana vyama.
Kwa anayejua Tafadhali kabla ya ile mikataba ya Kijermani na Kiingereza hali ilikuwaje.
Nimesoma mahali kuwa hata baba yake Obama siyo mkenya ni mtanzania ndio maana Obama alifika hadi Tarime kwa akina Heche kuwasalimia.
Nasubiri majawabu!
Maendeleo hayana vyama.