Hivi ukifika hapo kileleni unakua na hali gani? Tunashauriwa kula chakula gani ili ufike kirahisi na inachukua muda gani. Vipi nikifika bila kuvaa viatu kuna madhara?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitahidi kuufungua huu uzi kuanzia mwanzo utapata maelezo ya kutosha. asanteHivi ukifika hapo kileleni unakua na hali gani? Tunashauriwa kula chakula gani ili ufike kirahisi na inachukua muda gani. Vipi nikifika bila kuvaa viatu kuna madhara?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hizi ni kauli za wahenga kama sie enzi hizo hata internet hakuna...watu tulikuwa tunachomekew tu chochote kwa kuwa ulimwengu ulikuwa mbali na sie kutokana na teknolojia na elimu..mwingine akija atakuambia kwenye bwawa lile kuna chunusi ananyonya damu ukienda kuogelea kumbe mtu amezama hajui kuogeleaNdege gani hiyo??
Lini?? Na mwaka gani?? Weka picha. No evidence no right to speak.
Na unavosema ilivutwa means kuna kani kama ya sumaku, wangapi wamefika na kuvutwa na kupotelea huko??
Usijitie baraka kujua kumbe ni kama mimi tu
Uvutwe na kunasa?Poleni na mihangaiko ya hapa na pale pamoja na manung'uniko yanayoendelea kuhusu makenikia.
Husika na kichwa cha habari hapo juu tangu napata akili hadi sasa kumekuwa na maneno kuhusu mlima kilimanjaro kuwa pale juu kileleni kuna shimo ndefu sana na inavyosemekana ndani ya shimo kuna maji na nguvu ya mvutano kiasi kwamba ukikaribia kufika hapo unavutwa na kunasa..
Wajuzi naomba kujuzwa je? Kuna ukweli wowote?
Nashani hapo jamaa amepata chochote, documentary nyingine hapo chini namwongezea
I wish siku moja nifike ila kiafya nina tatizo la flue allergy hasa ya vumbi laini, baridi japo hainiathri sananashukuru pia kwa kuwawekea hii video ili waweze kuona je hao nao wamefika au hapafikiki! ila sio watu wote wanaweza kukabiliana na hali ya hewa iliyopo hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kupanda ila unashauriwa pale utakapojiskia hali yako siyo nzuri usiendelee mwenyewe nina ugonjwa kama huo na nilishapanda mara kibao toI wish siku moja nifike ila kiafya nina tatizo la flue allergy hasa ya vumbi laini, baridi japo hainiathri sana
Yes ,,one day yes ntajaribu ila kipindi cha kiangazi maana manyunyu yakianza ile kulowa maji kuna kuvuta unyevu flani hapo ndo chafya mfululizoUnaweza kupanda ila unashauriwa pale utakapojiskia hali yako siyo nzuri usiendelee mwenyewe nina ugonjwa kama huo na nilishapanda mara kibao to
Hamna cha zaidi upo vizuriBTW, Kilimanjaro ni dormant volcan mountain, na hapo unaposema shimo ni crater ambayo ilitokana na volcano iliyo erupt miaka ya zamani sana.
Hayo mengine sijui...
Mkuu samahani ningependa kufahamu watu waliokuwemo miili Yao ilitolewa au ilibaki hukohuko?kwenye hiyo tambarare ndipo hiyo ndege ilipo anguka.![]()
Shame on youHivi mnaweza kuamini ya kwamba mimi ni mzaliwa wa moshi tena machame, na cha kushangaza maeneo ya kyalia chini bondeni ndipo tunapoishi na sijawahi kupanda mlima Kilimanjaro wala kusikia habari zozote kuhusu huu mlima Kilimanjaro, ni ajabu na aibu kubwa kwangu.
Dirty mind😂😂Mi navyojua kila panapotokea "kilele" lazima pawe na "shimo"
Hilo shimo mbona sijawahi sikia MTU amedumbukiaPoleni na mihangaiko ya hapa na pale pamoja na manung'uniko yanayoendelea kuhusu makenikia.
Husika na kichwa cha habari hapo juu tangu napata akili hadi sasa kumekuwa na maneno kuhusu mlima Kilimanjaro kuwa pale juu kileleni kuna shimo refu sana na inavyosemekana ndani ya shimo kuna maji na nguvu ya mvutano kiasi kwamba ukikaribia kufika hapo unavutwa na kunasa.
Wajuzi naomba kujuzwa je, Kuna ukweli wowote?