Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

8b254de0b319382b6f9f84c672612fb6.jpg
haya yalikua maandalizi ya uwanja wakuzea mpira,juu kabisa ya mlima.
83f03b6b9f5b4dd853698981812f52e9.jpg
e4ff6188cadcbe2b2b6c2561ea71422a.jpg
mkiangalia hizi picha kwa umakini mtaona ndege ikiwa juu, hiyo ndege ni ya Ethiopian airlines, haionekani vizuri sana kutokana na mwanga wa jua.
731689fc2e597501fe6302de9bd80396.jpg
060cd2de35c4c63cf189630910eae973.jpg
ac63f9191fe4b977c5907d1d41b8955a.jpg
54d1099c53fd97ddee915c8ea5d4a4d4.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndege gani hiyo??
Lini?? Na mwaka gani?? Weka picha. No evidence no right to speak.
Na unavosema ilivutwa means kuna kani kama ya sumaku, wangapi wamefika na kuvutwa na kupotelea huko??
Usijitie baraka kujua kumbe ni kama mimi tu
Mkuu hizi ni kauli za wahenga kama sie enzi hizo hata internet hakuna...watu tulikuwa tunachomekew tu chochote kwa kuwa ulimwengu ulikuwa mbali na sie kutokana na teknolojia na elimu..mwingine akija atakuambia kwenye bwawa lile kuna chunusi ananyonya damu ukienda kuogelea kumbe mtu amezama hajui kuogelea
 
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale pamoja na manung'uniko yanayoendelea kuhusu makenikia.
Husika na kichwa cha habari hapo juu tangu napata akili hadi sasa kumekuwa na maneno kuhusu mlima kilimanjaro kuwa pale juu kileleni kuna shimo ndefu sana na inavyosemekana ndani ya shimo kuna maji na nguvu ya mvutano kiasi kwamba ukikaribia kufika hapo unavutwa na kunasa..
Wajuzi naomba kujuzwa je? Kuna ukweli wowote?
Uvutwe na kunasa?
Kwani na wewe umewekewa vyuma kwenye moyo mpaka uvutwe unase?
Hapo hapamfai Manji Tu,ila kama na wewe umewekewa vyuma moyoni ni bora usiendepo maana utavutwa na kunaswa sawa bwana?
 
I wish siku moja nifike ila kiafya nina tatizo la flue allergy hasa ya vumbi laini, baridi japo hainiathri sana
Unaweza kupanda ila unashauriwa pale utakapojiskia hali yako siyo nzuri usiendelee mwenyewe nina ugonjwa kama huo na nilishapanda mara kibao to
 
Unaweza kupanda ila unashauriwa pale utakapojiskia hali yako siyo nzuri usiendelee mwenyewe nina ugonjwa kama huo na nilishapanda mara kibao to
Yes ,,one day yes ntajaribu ila kipindi cha kiangazi maana manyunyu yakianza ile kulowa maji kuna kuvuta unyevu flani hapo ndo chafya mfululizo
 
Hivi mnaweza kuamini ya kwamba mimi ni mzaliwa wa moshi tena machame, na cha kushangaza maeneo ya kyalia chini bondeni ndipo tunapoishi na sijawahi kupanda mlima Kilimanjaro wala kusikia habari zozote kuhusu huu mlima Kilimanjaro, ni ajabu na aibu kubwa kwangu.
Shame on you
 
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale pamoja na manung'uniko yanayoendelea kuhusu makenikia.

Husika na kichwa cha habari hapo juu tangu napata akili hadi sasa kumekuwa na maneno kuhusu mlima Kilimanjaro kuwa pale juu kileleni kuna shimo refu sana na inavyosemekana ndani ya shimo kuna maji na nguvu ya mvutano kiasi kwamba ukikaribia kufika hapo unavutwa na kunasa.

Wajuzi naomba kujuzwa je, Kuna ukweli wowote?

Hilo shimo mbona sijawahi sikia MTU amedumbukia
 
Back
Top Bottom