Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ili nijue na nithibitishe kupitia comments za watu ili siku na mimi nikipanda nisistaajabu sana..AsanteKama hujawah kupanda unacomment ili nini
NILIAHIDI NITAKAPOKWENDA TENA NITAWALETEA PICHA NIKIWA ENEO LA SHIMO KAMA MTOA MADA ALIVYOULIZA, nafikiri sasa ubishi utakua umeishia hapaMkuu sijui nikajifunze nini? Maana nilichojifunza Ile ni crater!!! Na formation ya crater kwa lugha nyepesi ni tundu linalotokea juu ya kilima baada ya mlipuko wa volcano mfano mlima kilimanjaro, [emoji291] na Kuna kitu kinaitwa caldera, hili ni shimo linalotokea baada ya volcano kulipuka na ardhi ku collapse mfano lile shimo la ngorongoro, kimsingi Ile sio crater ni caldera . Sasa hebu mjadala wetu uanzie hapa.
Shimo lenyewe ndo hlo linaloonekana nyuma yako au hata ww upo kwenye shimo? Hebu elezea kdogo hapo mkuu picha haisomeki vzurNILIAHIDI NITAKAPOKWENDA TENA NITAWALETEA PICHA NIKIWA ENEO LA SHIMO KAMA MTOA MADA ALIVYOULIZA, nafikiri sasa ubishi utakua umeishia hapa![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
hapo nipo kama mita moja ndani ya shimoShimo lenyewe ndo hlo linaloonekana nyuma yako au hata ww upo kwenye shimo? Hebu elezea kdogo hapo mkuu picha haisomeki vzur
An ant on the move does more than a dozing ox.
Hongera kwa ujasiri kijana, lakini ungeenda mpaka chini ndani ya shimo, nasikia kuna almasi!!NILIAHIDI NITAKAPOKWENDA TENA NITAWALETEA PICHA NIKIWA ENEO LA SHIMO KAMA MTOA MADA ALIVYOULIZA, nafikiri sasa ubishi utakua umeishia hapa![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko vizuri sana ndg, nilishautafuta huu uzi ili nijue kama kweli ulileta mrejesho, thanksNILIAHIDI NITAKAPOKWENDA TENA NITAWALETEA PICHA NIKIWA ENEO LA SHIMO KAMA MTOA MADA ALIVYOULIZA, nafikiri sasa ubishi utakua umeishia hapa![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha hahaha, na itakua ya garama kubwa sana.Hongera kwa ujasiri kijana, lakini ungeenda mpaka chini ndani ya shimo, nasikia kuna almasi!!
pia nitawawekea hapa na picha za ndege ya Ethiopian airlines niliyofanikiwa kuipiga ikiwa inakatiza hili eneo ili kuondoa ubishi wa ndege kua haziwezi kukatiza hili eneoUko vizuri sana ndg, nilishautafuta huu uzi ili nijue kama kweli ulileta mrejesho, thanks
Mi nafika sana kwenye vilele vya mashimo mbali mbali lakini sio ya milima hiyo.Ni vizuri waliowahi kufika KILELENI watujuze...
Safi sana, mi napenda sana haya mambo ya naturepia nitawawekea hapa na picha za ndege ya Ethiopian airlines niliyofanikiwa kuipiga ikiwa inakatiza hili eneo ili kuondoa ubishi wa ndege kua haziwezi kukatiza hili eneo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru sana brother..NILIAHIDI NITAKAPOKWENDA TENA NITAWALETEA PICHA NIKIWA ENEO LA SHIMO KAMA MTOA MADA ALIVYOULIZA, nafikiri sasa ubishi utakua umeishia hapa![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja sana..pia nitawawekea hapa na picha za ndege ya Ethiopian airlines niliyofanikiwa kuipiga ikiwa inakatiza hili eneo ili kuondoa ubishi wa ndege kua haziwezi kukatiza hili eneo
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona kama vile nyuma yako kuna sehemu ya ardhi imedidimia sana ni nini hicho?