Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Huna hoja wewe zaidi ya matusi.... Tatizo unahis Kilimanjaro umepanda peke yako ..tumepanda Kilimanjaro last japa atukufika kileleni tulielekezwa mambo mengi.. Na kuna baadhi ya vitu ulivyoandika sio kweli mkuu faiza
Naona huna hoja kuhusu Kilimanjaro sasa unanitafuta binafsi..
Nahisi hata nnachokiandika hukielewi ndiyo maana unaona uchi tu.
Sikushangai, ndiyo wale wale mliofundishwa shule hayajawaingia kwa kuwa tu shule ulienda kusomea ujinga.