Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

Mkuu hata Mimi nakubishia ili unipe hiyo offer
nimeshatoa mkuu. ni moja tu nilikua nayo. ila usijali kama hutajali nicheki inbox maana nitakua na trip nyingi tu hivyo nitajitahidi kutoa moja moja kila nitakapokua na trip.ila njia zinabadilk kila mara na sio rongai kwa mda wote.
 
nasikia kwenye creater kuna reupia za mjerumani zilifukiwa humo
 
nimeshatoa mkuu. ni moja tu nilikua nayo. ila usijali kama hutajali nicheki inbox maana nitakua na trip nyingi tu hivyo nitajitahidi kutoa moja moja kila nitakapokua na trip.ila njia zinabadilk kila mara na sio rongai kwa mda wote.
Mkuu kwa nini watu wanapata shida sana kupanda? Kwani miaka yote hawajafanikiwa kuweka miundo mbinu ya barabara ili watu wapande na bodaboda au bajaj?
 
Naam kumbe ndio kisa Yule Guide alituambia tusisogelee Crater kuna Hewa Chafu! Kwa wakati huo wa 1980s crater ilikuwa Imetanda theluji tupu huoni Rocks wala Mchanga. Routes tuliambiwa kuna: Umbwe Route, Machame Route, Marangu Route. Route hatari na mbaya kabisa tuliambiwa ni ya Umbwe, very steep, rough and cold. Machame nayo si bora sana, ila ya Marangu ndio the best. Ugumu wake ni kuanzia last water Horombo hut kuelekea Kibo hut. Kuna bonge ya jangwa au the saddle kwa mliosoma Geography. Upepo wa Kisulisuli huvuma hapo na kuharibu mwendo. Muda wa 7hrs by foot to Kibo hut lakini ni zaidi hoi mmmh! Ukifika Kibo hut unarest kujiandaa to Peak. Sijui kama Route zingine hukutana Kibo au Jangwani pale.
huko mlimani kuna jangwa kumbe
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana.... Mimi niliishia giliman's point...Kama ukitumia get ila marangu. Tena hapo mapafu yote na ulimi vilikuwa nje.... Nilipouliza tour guide wangu akasema ni kwa sababu Jana yake nilikuwa nimepata biere na nilikuwa natembea speed sana kutokea horombo kwenda kibo.

Ntarudi tena kule mpaka nifike uhuru.
Kuna kipindi nilipandaga kule sasa kipindi nashuka nilikaa kidogo pale gilmans kwa bahati mbaya nikasahau camera aina ya Nikon,Nilishindwa kuirudia japo kuwa camera yenyewe haikuwa ya kwangu ilinibidi niongee na mmiliki kiutu uzima.
 
Naomba nitoe maelezo mafupi kwa uelewa wangu, nakubaliana na maelezo ya mama yangu FaizaFoxy kwamba ukiwa kule juu, hata hauwezi kuona vitu kama tunavyoona kwenye picha. Utaambulia kuona majabali na miamba ya barafu tu. Ni eneo kubwa sana, kiasi kwamba kutoka uhuru peak hadi huko karibu na eneo la hilo shimo, ni mwendo. Hivyo basi, usitegemee kuona umbo au sura ya mlima kama tunavyoona kwenye picha za Mlima Kilimanjaro, zinakua zimepigwa kwa mbali ili kuchukua eneo kubwa la mlima, lakini ukiwa kule juu, mandhari iko tofauti sana
shimo lile
 
Mkuu kwa nini watu wanapata shida sana kupanda? Kwani miaka yote hawajafanikiwa kuweka miundo mbinu ya barabara ili watu wapande na bodaboda au bajaj?
acha utani ndugu yangu. unaufahamu vizuri mlimani Kilimanjaro? unajua maana ya national park? okay kwa ufupi tu mlima Kilimanjaro ni moja wapo ya urithi wa dunia so vitu artificial havitakiwi ili kuweza kuutunza ,ili utumike vizazi na vizazi. zingatia hayo mkuu japo nimekupa kidogo sana
 
mkuu, hili jangwa lipo katika mojawapo ya zones za mlima Kilimanjaro. hivyo basi unapoingia tu kwenye mita 4000 masl moja kwa moja utakutana na hili jangwa. haijalishi umepitia njia gani mkuu. hii ni zone ya 4,inaitwa alpine deset. asante mkuu
"masl" kwa hilo neno unakuwa unamaanisha nini kiongozi?
 
Sio kejeli,akili ya kawaida kabisa ni kwamba hakuna aliefika huko mpaka kwenye hilo shimo,kutokana na kani ya mvutano inayo sababishwa na volcano.
Acha uongo wewe kinachowafanya wengi kutofika kileleni moja ni woga tu hama kingine juu kabisa kuna creta ambayo imezungukwa kwa pembeni na theluji ambayo jua likiwaka huyeyuka na kutiririsha maji kuelekea chini
 
Back
Top Bottom