mm ndie niliefika na sio mm pekee bali wapo watu wengi sana. tatizo mnakua mnaishi kwa hisia na sio uhalisia ndio maana mnabisha kila kitu. kama una nafasi naomba uje moshi tarehe 09/7/2017nina safari tarehe 10/07/2017 ya siku tano. yakupanda na nitakupeleka for free, ukajionee kwa macho na urudi ukawaadithie ukweli wa hilo. utakakacho lipia ni kiingilio tu ili mwisho wa safari upate cheti chako.nitakupa vifaa vyote bure kabisa. kuanzia sleeping bag,sleeping mat, hiking boots, warm clothes, day parking,yani vyote kabisa bure bure. nitakupa mawasiliano yangu kama unataka. ili ukirudi ufute hilo tusi (((genye)) sio kila kitu niuzushi ndugu yangu.