Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

Uhuru peak hakuna shimo but pembeni kuna mapande ya barafu kama magorofa na inasemekana kuna nguvu ya volcano ambayo inakuvuta ukisogea,

May be kwenye mlima kuna shimo la volcano but not kileleni pasee
 
FB_IMG_1497689427363.jpg
 
Nnachokifaham, pale kileleni kwenye usawa wa juu kabisa wa mlima, hakuna shimo eneo hilo isipokua
unaweza kuona kwa mbali duara eneo lililopo hilo unaloliita shimo, ni njia ambayo ule ujiuji ulitokea hapo kutoka ardhini wakati wa volcano, ni kama kidonda kilichopona lakini hakikufunga, kuna uwazi. Nilitamani sana kwenda karibu na hilo eneo ila nilichoka mno hata kufika Uhuru peak ilikua bahati.


Hayo ya maji ya moto watakuja wataalam.
Wooow! Experience nzuri sana!! Natamani na mie siku nipande huo mlima!!!
[HASHTAG]#bucketlist[/HASHTAG]
 
Ahsante. Ila kwenye hilo shimo ndio hamruhusiwi fika!??
nacheweza kukueleza hapa nikua inategemeana na ratiba kuanjia mwanzo wa safari. ni vigumu sana kueza kufika kileleni then ukaanza safari ya more than 1+hours bado kurudi kwenye camp uliyotokea na kwenda nyingine. ukitaka kwenda kutembea kwenye hilo shimo ni vizuri ukalala ndani ya crater. unakua na plan ya namna hii. unaanja kutoka base camp to highest point itakuchukua walau 6-7hours then unashukia ndani ya crater kwa ajili ya kulala, asubuhi ya siku inayofuata unakwenda kutembea kwenye hilo shimo kisha unarudi na kubeba vitu vyako nakwenda camp inayofuata. ila kwenda moja kwa moja ni ngumu sana.wengi wanatamani ila wakifika top wanabadilisha mawazo. kwa mda wa kawaida ni wa kwenda na kurudi ni wastani wa 10-11hours,hapa hujaenda shimoni bado camp inayofuata so ni more than 17-19hours. ila kwa wapanda mlima ni mda mdogo sana. kama mimi nimewahi kutumia siku mbili kwenda na kurudi ni kama 69+kms yakutembea kwenda na kurudi
 
anyway, hi hivi! kupitia machame mpaka top ya mlima ni 42kms, kupitia marangu ni 38kms

Mkuu huo umbali ni kutoka Machame mjini na Marangu mjini? Maana huo mlima wenyewe ni kilometa 5.86 kutoka usawa wa bahari nadhani. Ni 5860m.

mlima Kilimanjaro una 5 zones, (1) cultivate,0-1000
masl,(2) montana Forest Park1000-3000masl (3) moorland 3000-4000masl(4) alpine reset 4000-5000masl


Hizi Masl ni vipimo gani hivyo?
Naomba ufafanuzi tafadhali.


 
Hiv huku jamii forum home of great thinker kuna ambae hajapanda k'njaro kwel??
 
Mkuu huo umbali ni kutoka Machame mjini na Marangu mjini? Maana huo mlima wenyewe ni kilometa 5.86 kutoka usawa wa bahari nadhani. Ni 5860m.



Hizi Masl ni vipimo gani hivyo?
Naomba ufafanuzi tafadhali.


meters, (m) above (a) the sea (s) level (l) .umeelewa mkuu
 
Within the structure of the earth(Aesthenosphere)Is the layer in which is very hot and the melting of matereal (rocks).Due to high temperature of more than 40,000C' these material find a line of fault and come out.Within the mountain there is the presence of faultness due to different operational forces inside the earth.Magma usually erupts in peaks(Crater)and after cooling is Lava.
 
meter,(m) above (a) the sea (s) level (l) .umeelewa mkuu
huo umbali nikutoka starting point ambazo kwa marangu ni 1700 pia machame ni 1700.so unaesabu kutoke hapo kwenda hadi juu .pia samahanini sana kuna sehemu nilikosea kidogo. kwa marangu route ni 34kms from starting point to uhuru peak, pia kurudi ni umbali huo huo
 
mm ndie niliefika na sio mm pekee bali wapo watu wengi sana. tatizo mnakua mnaishi kwa hisia na sio uhalisia ndio maana mnabisha kila kitu. kama una nafasi naomba uje moshi tarehe 09/7/2017nina safari tarehe 10/07/2017 ya siku tano. yakupanda na nitakupeleka for free, ukajionee kwa macho na urudi ukawaadithie ukweli wa hilo. utakakacho lipia ni kiingilio tu ili mwisho wa safari upate cheti chako.nitakupa vifaa vyote bure kabisa. kuanzia sleeping bag,sleeping mat, hiking boots, warm clothes, day parking,yani vyote kabisa bure bure. nitakupa mawasiliano yangu kama unataka. ili ukirudi ufute hilo tusi (((genye)) sio kila kitu niuzushi ndugu yangu.
Mkuu hata Mimi nakubishia ili unipe hiyo offer
 
Mkuu huo umbali ni kutoka Machame mjini na Marangu mjini? Maana huo mlima wenyewe ni kilometa 5.86 kutoka usawa wa bahari nadhani. Ni 5860m.



Hizi Masl ni vipimo gani hivyo?
Naomba ufafanuzi tafadhali.


Umbali kutoka machame au marangu getini hadi kileleni, unapiga hatua mojamoja za ukakika zikifika 1000 unahesabu 1km...

Umbali kutoka usawa wa bahari, unapanda helicopter unakuwa sawia kabisa na level ya maji ya bahari yeyote (sio lazima ya hindi) unapanda vertically meters 5850
Mkuu huo umbali ni kutoka Machame mjini na Marangu mjini? Maana huo mlima wenyewe ni kilometa 5.86 kutoka usawa wa bahari nadhani. Ni 5860m.



Hizi Masl ni vipimo gani hivyo?
Naomba ufafanuzi tafadhali.


Umbali kutoka machame au marangu getini hadi kileleni, unapiga hatua mojamoja za ukakika zikifika 1000 unahesabu 1km...

Umbali kutoka usawa wa bahari, unakuwa kwny helicopter sawia kabisa na level ya maji ya bahari yeyote (sio lazima ya hindi) unapanda vertically meters 5895...hapo unakuwa level moja na aliyepo kileleni kibo....
 
Back
Top Bottom