Babu yako wa saba amezaliwa nchi gani na unajuaje hilo ?ndiyo, unazaliwa nchi nyingine uko,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu yako wa saba amezaliwa nchi gani na unajuaje hilo ?ndiyo, unazaliwa nchi nyingine uko,
Kiumbe wa mfano wa Mungu.Kwanini zisiende na zetu ziende Kwani sisi binadamu tuna u-spesho gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ujue naishi baada ya kufakwa hiyo mwenzetu umefufuka ama
kwa nini akili ikatae kwa mfano kama ndiyo uhalisia itakuwaje hapoUlosa sahihi kabisa mimi huwa nahitimisha kwa kusema hivi Watu huwa hawafikirii na hii imetokana na kujazwa ujinga wa Sayansi yaani mtu anakuja kabisa anasema ukifa umekufa,yaani hata akili tu ya kawaida inakataa,yaani niishi nife halafu iwe basi tu ? Akili inakataa kabisa.
Akili iliyo salama haijawahi kupingana na uhalisia,ukiona hivyo huo si uhalisia.kwa nini akili ikatae kwa mfano kama ndiyo uhalisia itakuwaje hapo
Kwa mambo aliyonitendea/aliyotenda Mungu naamini yupo.Kuhusu kuthibitisha hili inategemea Imani yako ipo wapi ?Unaamini Mungu alikuumba na pia aliuumba ulimwengu au unaamini duniani ilikuwepo tu hamna aliyeiumba na pia binadamu alikuwepo tuuna udhibitisho wa hili
Kuna wakati akili hukataa uhalisia wewe haijawahi kukutokea mfano unatangaziwa kifo lakini unakataa kabisa na akili haikubali uhalisia na ukweli wa tukio hiloAkili iliyo salama haijawahi kupingana na uhalisia,ukiona hivyo huo si uhalisia.
Sasa kwanini mungu atuletee shetani ili atudanganye halafu tukishadanganyika mungu ambaye kamleta huyo shetani akatuchome sisi moto, kwa mfano wewe unamkataza binti yako mwanafunzi asiwe na mchumba na unamuonya kwamba akiwa na mchumba utamuadhibu kisha wewe mwenyewe baadae unamtafuta mwanaume unamwambia aende akamtongoze huyo binti halafu baadae ukija ukimuona binti yako na huyo mwanaume ni wachumba unamuadhibu binti yako , ni kwann haya mambo yamekaa hivi kiupandeupande?Najaribu kuwaza according to bible
Baada ya ufufuo yesu atarud duniani na kuitawala dunia kama mfalme(wakati huo shetan atakua amefungwa)
Baadae shetani ataachiliwa huru na atadanganya wengi sana.
Kwa nadharia kama za mtoa mada sasa ndio naamini shetan ataweza kudanganya wengi sana baada ya ufufuo
Says who? You? Or a bunch of other fools who are speculating?Pepo n moto are real.
Sasa kwanini mungu atuletee shetani ili atudanganye halafu tukishadanganyika mungu ambaye kamleta huyo shetani akatuchome sisi moto, kwa mfano wewe unamkataza binti yako mwanafunzi asiwe na mchumba na unamuonya kwamba akiwa na mchumba utamuadhibu kisha wewe mwenyewe baadae unamtafuta mwanaume unamwambia aende akamtongoze huyo binti halafu baadae ukija ukimuona binti yako na huyo mwanaume ni wachumba unamuadhibu binti yako , ni kwann haya mambo yamekaa hivi kiupandeupande?
Nyakati za mwisho maarifa yataongezeka sana (wewe ni zao la kuongezeka kwa maarifa)Sasa kwanini mungu atuletee shetani ili atudanganye halafu tukishadanganyika mungu ambaye kamleta huyo shetani akatuchome sisi moto, kwa mfano wewe unamkataza binti yako mwanafunzi asiwe na mchumba na unamuonya kwamba akiwa na mchumba utamuadhibu kisha wewe mwenyewe baadae unamtafuta mwanaume unamwambia aende akamtongoze huyo binti halafu baadae ukija ukimuona binti yako na huyo mwanaume ni wachumba unamuadhibu binti yako , ni kwann haya mambo yamekaa hivi kiupandeupande?
Lengo ni kuja kupambana na mazingiraUmejuaje hili ?
Lakini ukiangalia na kutafakari kauli yako haingii akilini. Yaani tuishi tu duniani kisha tukifa iwe basi ? Sasa nini lengo la sisi kuishi duniani ?
Hiyo siyo akili,hivi unaijua akili ilivyo ?Kuna wakati akili hukataa uhalisia wewe haijawahi kukutokea mfano unatangaziwa kifo lakini unakataa kabisa na akili haikubali uhalisia na ukweli wa tukio hilo
Umejuaje kama lengo ni hilo na mwisho wa siku iweje ? Yaani ukishapambana na mazingira ?Lengo ni kuja kupambana na mazingira
Umeona sasa tatizo lako lilipo?Jibu kwanza maswali niliyo kuuliza usikimbie maswali.
Kwahiyo kwasababu akili yako ya kwaida inakataa ndio unajiridhisha kwa kusema watu wengine hawafikirii vizuri?Ulosa sahihi kabisa mimi huwa nahitimisha kwa kusema hivi Watu huwa hawafikirii na hii imetokana na kujazwa ujinga wa Sayansi yaani mtu anakuja kabisa anasema ukifa umekufa,yaani hata akili tu ya kawaida inakataa,yaani niishi nife halafu iwe basi tu ? Akili inakataa kabisa.
Kuna wenzio huko nyumanao walihoji kama wewe hv na walijibiwa hivi:Huku kufufuliwa sasa walienzi tunaenzi na tunaendelea kuenzi mwisho wa kuenzi ni lini hasa