Hivi ni kweli kuna maisha baada ya kifo?

Hivi ni kweli kuna maisha baada ya kifo?

Kwa maana hiyo science inakinzana na dini
Science ili kitu kikubalike lazima kuwe na vivid evidences. Dini ni imani. Imani ni kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo ni baana ya mambo yasiyoonekana. Kidini sisi wakristo tunaamini roho inaishi. Kila ki sayansi tunaamini hakuna roho. Ufahamu unatengenezwa na brain. Moyo ukisimama,mapafu yakasimama,brain cells(neurons)zikakosa oxygen na kufa.Hapo ndo mwisho wa life. As there was no life before haujawa concieved hivyo hakutakuwa na life pale mwili wako utakufa.
 
Habari wanazengo...
Leo ningependa kufahamu au kujua kile unachoamini wewe kama wewe tulivyoumbwa kila mmoja amepewa utashi ukiwa na lengo la kupambanua mambo, tuachane kwanza na hizi imani ambazo tunazoamini au kuaminishwa.

Hivi ulishawahi kujiuliza baada ya kufa nini kinaendelea, kuna maisha baada ya kufa au ndiyo ukifa umekufa mazima!
Usiwe na haraka mkuu, subiri ufe utajua kila kitu, means kama hakuna life jingine means hutajua kama hakuna life means utakua hau-exist.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hadi leo wamekufa wengi sana ila hakuna aliyerudi na kutupa mrejesho wa hali halisi hata mm nikifa huo mrejesho nitabaki nao mwenyewe
Kabla haujawa fœtus ulikuwa haujitambui,vivyo hivyo ukifa utakuwa haujitambui. Life is a process kutungwa mimba na kufa.
 
[emoji848][emoji848]
Spiritual rebirth ni kama kuokoka na kuishi mbinguni baada ya kifo
Reincarnation ni kuzaliwa tena baada ya kufa..lakini si lazima uzaliwe binadamu
Realm of eternity ni kuzaliwa, kufa,kuoza na naozea kutumika kwenye mambo mengine
 
Habari wanazengo...
Leo ningependa kufahamu au kujua kile unachoamini wewe kama wewe tulivyoumbwa kila mmoja amepewa utashi ukiwa na lengo la kupambanua mambo, tuachane kwanza na hizi imani ambazo tunazoamini au kuaminishwa.

Hivi ulishawahi kujiuliza baada ya kufa nini kinaendelea, kuna maisha baada ya kufa au ndiyo ukifa umekufa mazima!
HAKUNAGA KUFA
 
Science ili kitu kikubalike lazima kuwe na vivid evidences. Dini ni imani. Imani ni kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo ni baana ya mambo yasiyoonekana. Kidini sisi wakristo tunaamini roho inaishi. Kila ki sayansi tunaamini hakuna roho. Ufahamu unatengenezwa na brain. Moyo ukisimama,mapafu yakasimama,brain cells(neurons)zikakosa oxygen na kufa.Hapo ndo mwisho wa life. As there was no life before haujawa concieved hivyo hakutakuwa na life pale mwili wako utakufa.
kwa maana nyingine mwanasayansi kama mwanasayansi asiyechakachuliwa hana dini maana kuna vitu vingi sana vya kiimani zaidi tofauti na yeye atataka hadi proof[emoji3477][emoji848][emoji848]
 
Habari wanazengo...
Leo ningependa kufahamu au kujua kile unachoamini wewe kama wewe tulivyoumbwa kila mmoja amepewa utashi ukiwa na lengo la kupambanua mambo, tuachane kwanza na hizi imani ambazo tunazoamini au kuaminishwa.

Hivi ulishawahi kujiuliza baada ya kufa nini kinaendelea, kuna maisha baada ya kufa au ndiyo ukifa umekufa mazima!
Mimi kabla sijakujibu naomba nikuulize swali,unajuaje uwepo wa vitu visivyo onekana ?
 
Spiritual rebirth ni kama kuokoka na kuishi mbinguni baada ya kifo
Reincarnation ni kuzaliwa tena baada ya kufa..lakini si lazima uzaliwe binadamu
Realm of eternity ni kuzaliwa, kufa,kuoza na naozea kutumika kwenye mambo mengine
hapa kuna kitu cha kuondoka nacho
 
Ukifa umekufa brother.
Hakuna motoni wala mbinguni.
Umejuaje hili ?

Lakini ukiangalia na kutafakari kauli yako haingii akilini. Yaani tuishi tu duniani kisha tukifa iwe basi ? Sasa nini lengo la sisi kuishi duniani ?
 
Habari wanazengo...
Leo ningependa kufahamu au kujua kile unachoamini wewe kama wewe tulivyoumbwa kila mmoja amepewa utashi ukiwa na lengo la kupambanua mambo, tuachane kwanza na hizi imani ambazo tunazoamini au kuaminishwa.

Hivi ulishawahi kujiuliza baada ya kufa nini kinaendelea, kuna maisha baada ya kufa au ndiyo ukifa umekufa mazima!
Na baada ya maisha ya baada ya kifo kuna nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Science ili kitu kikubalike lazima kuwe na vivid evidences.
Unao ushahidi wa Kisayansi unao onyesha Dunia inatanuka au Dunia inazunguka au uwepo wa Black Hole au Galaxy zenye mabilioni ya nyota na mfano wa hayo ?
Kila ki sayansi tunaamini hakuna roho.
Maana yake katika Sayansi kuna Imani bila shaka,sababu hili kisayansi halithibitishiki.
 
kama peponi ni sehemu ambayo wanaruhusiwa kuingia atheist peke yao
Aliyeuliza swala hili anataka kutuambia kwamba pengine kuna pepo huko ambayo wataingia atheist,sasa hiyo pepo kaiweka nani aise..
Lakini vipi kama ukiambiwa na mtu mwingine tofauti na dini yako kwamba Mungu wa dini yake ndio wa ukweli na hivyo unapaswa kumuamini na kumuacha huyo Mungu wa uongo unayemuabudu maana hautapungukiwa kitu kuliko ukampuuza na ukaendelea kuamimi Mungu wako ambaye ni potofu na mwisho wa siku ukaja ukakutana na Mungu wa kweli ambaye ulimpuuza?
Nilijiuliza sana haya maswali tokea nikiwa kijana mdogo mdogo hivi ila kadri siku zilivyozidi kwenda mpaka leo nimeweza kujijibu mwenyewe.
 
Najaribu kuwaza according to bible

Baada ya ufufuo yesu atarud duniani na kuitawala dunia kama mfalme(wakati huo shetan atakua amefungwa)

Baadae shetani ataachiliwa huru na atadanganya wengi sana.

Kwa nadharia kama za mtoa mada sasa ndio naamini shetan ataweza kudanganya wengi sana baada ya ufufuo
 
Back
Top Bottom