Hivi ni kweli kuna maisha baada ya kifo?

Hivi ni kweli kuna maisha baada ya kifo?

Mtu akifa roho yake kama imetenda mema itaenda kwa aliyeiumba na kama imetenda adhabu kubwa itaenda motoni.Na kama imetenda dhambi za kawaida katika ubinadamu wake itaenda kulipia dhambi hizo na ikimaliza itaungana na Muumba(Mungu ni Mtakatifu hivyo huwezi kwenda kwake ilhali bado unadhambi hata kama ni ndogo inapaswa uwe mwenye moyo safi)
 
Ila hukunisoma vyema mkuu.

Nimekazia kuwa ni vyote sayansi na dini zinagongelea pale pale kwenye uwepo wa maisha baada ya kifo.
Hakuna science inayosema kuna maisha baada ya kufa. In science when you are dead,you are gone. You cease to exist. There is no life after death scientifically.
 
Habari wanazengo...
Leo ningependa kufahamu au kujua kile unachoamini wewe kama wewe tulivyoumbwa kila mmoja amepewa utashi ukiwa na lengo la kupambanua mambo, tuachane kwanza na hizi imani ambazo tunazoamini au kuaminishwa.

Hivi ulishawahi kujiuliza baada ya kufa nini kinaendelea, kuna maisha baada ya kufa au ndiyo ukifa umekufa mazima!
Kuna maisha baada ya kifo kwa maana ya
. Spiritual rebirth
.Reincarnation
. Realm of eternity
 
Nadharia ni moja tu mkuu kwamba KUFA KUPO NA TUTAFUFULIWA ILI MFUFUAJI ATUONYESHE YOTE TULIYOYAFANYA NA ATUINGIZE PEPONI AU MOTONI kulingana na matendo yetu.
Hao wenye nadhalia ya kisayansi wanashindwa nini sasa kuzuia huko KUFA?
Huku kufufuliwa sasa walienzi tunaenzi na tunaendelea kuenzi mwisho wa kuenzi ni lini hasa
 
Habari wanazengo...
Leo ningependa kufahamu au kujua kile unachoamini wewe kama wewe tulivyoumbwa kila mmoja amepewa utashi ukiwa na lengo la kupambanua mambo, tuachane kwanza na hizi imani ambazo tunazoamini au kuaminishwa.

Hivi ulishawahi kujiuliza baada ya kufa nini kinaendelea, kuna maisha baada ya kufa au ndiyo ukifa umekufa mazima!
Mimi nipo upande wa masadukayo... hakuna ufufuo Wala maisha baada ya kufa, mambo ya kwenda mbinguni kula maziwa na asali na kukabidhiwa"mahululaini" 70 wa kufanya nao mapenzi hiyo hamna. Wewe usipofanya mapenzi hapa duniani usitegemee kwenda kufanya mapenzi. Roho itaendelea kuishi milele lakin sio kufufuliwa tena
 
QURAN 17:49-52

"Na walisema: Je! Tutapo kuwa mifupa na mapande yaliyo vurugika, (Kaburini) ndio tutafufuliwa kwa umbo jipya? Sema: Kuweni hata mawe na chuma. Au umbo lolote mnalo liona kubwa katika vifua vyenu. Watasema: Nani atakaye turudisha tena? Sema: Yule yule aliye kuumbeni mara ya kwanza! Watakutikisia vichwa vyao, na watasema: Lini hayo? Sema: Huwenda yakawa karibu! Siku atakapo kuiteni, na nyinyi mkamuitikia kwa kumshukuru, na mkadhani kuwa hamkukaa ila muda mdogo tu.'


 
The book of revelation tells all about it take time and read especially the last chapters
 
QURAN 21: 37- 40

"Mwanaadamu ameumbwa na haraka. Nitakuonyesheni Ishara zangu; Basi msinihimize. Na wanasema (kwa kebehi): Ahadi hii (Ya Kiama) itatokea lini, ikiwa nyinyi mnasema kweli? Lau wangeli jua wale walio kufuru wakati ambao hawatauzuia Moto kwenye nyuso zao wala migongo yao, na wala hawatanusuriwa! Bali (hicho Kiama) kitawafikia kwa ghafla, na utawashitua na wala hawataweza kuurudisha, wala hawatapewa muhula! "
 
Hakuna science inayosema kuna maisha baada ya kufa. In science when you are dead,you are gone. You cease to exist. There is no life after death scientifically.
Kwa maana hiyo science inakinzana na dini
 
Back
Top Bottom