Hivi ni kweli kuna maisha baada ya kifo?

Hivi ni kweli kuna maisha baada ya kifo?

Hujanielewa. Sijaandika kwamba mwili hauozi, la hasha.

Nimeandika kuwa mwili uliopoteza maisha ndiyo huzikwa na huoza kaburini. Maisha yaliyopotea hayazikwi kaburini. Yamkini yapo mahali fulani pasipojulikana.

Maisha na mwili ni vitu viwili tofauti. Maisha yakitoweka, mwili huoza. Maisha hupokewa kabla ya mwili kuoza.

Kwa hiyo maisha yapo baada ya kifo.
Ndo hujui kitu kabisa. Maisha ni jinsi system ya mwili inafanya kazi. Maisha ni vital organs zinavyofavya kazi kwa kutegemeana. Moyo ukisimama,mapafu yasipofanya kazi basi ubongo unakosa O2 na hapo unakufa maana mifumo ya fahamu inakufa. Huwezi tenganisha mwili na organs zake na maisha. Nafikiri unahitaji shule ya mwili wa bidamu unavyofanya kazi.
 
Ndo hujui kitu kabisa. Maisha ni jinsi system ya mwili inafanya kazi. Maisha ni vital organs zinavyofavya kazi kwa kutegemeana. Moyo ukisimama,mapafu yasipofanya kazi basi ubongo unakosa O2 na hapo unakufa maana mifumo ya fahamu inakufa. Huwezi tenganisha mwili na organs zake na maisha. Nafikiri unahitaji shule ya mwili wa bidamu unavyofanya kazi.
hapo hamtoelewana kwa sababu mwenzako amejibu kiimani zaidi ile hali wewe umejibu kisayansi
 
Ndo hujui kitu kabisa. Maisha ni jinsi system ya mwili inafanya kazi. Maisha ni vital organs zinavyofavya kazi kwa kutegemeana. Moyo ukisimama,mapafu yasipofanya kazi basi ubongo unakosa O2 na hapo unakufa maana mifumo ya fahamu inakufa. Huwezi tenganisha mwili na organs zake na maisha. Nafikiri unahitaji shule ya mwili wa bidamu unavyofanya kazi.
Mkuu samahani wewe ni nan ni mwili au nin?
 
Ukifa habari inaishia hapo, sijui kwa nini watu weupe walituletea huu upuuzi na sisi tukaubeba kama ulivyo.
 
Mimi ni mwili na organs zake ambazo zinafanya kazi vizuri kabisa.
Wewe uliyekuwa unamwaka mmoja na kilo mbili na wewe wa leo mwenye kilo sitini au zaid nan ni halisi?
Kama wewe ni mwili unamaanisha wewe ni chakula unachokula au?
Vipi kuhusu baada ya miaka saba kila seli ya mwili wako huwa mpya tofauti na miaka saba iliyopita
je unabaki yule yule au unakuwa mwingine kila baada ya miaka kadhaa?
 
Ukifa habari inaishia hapo, sijui kwa nini watu weupe walituletea huu upuuzi na sisi tukaubeba kama ulivyo.
zaidi ya 90% ya watz wanaamini kuwa kuna maisha baada ya kufa na Hawa wote ukifuatilia anaamin hivyo kiimani zaidi
 
Wewe uliyekuwa unamwaka mmoja na kilo mbili na wewe wa leo mwenye kilo sitini au zaid nan ni halisi?
Kama wewe ni mwili unamaanisha wewe ni chakula unachokula au?
Vipi kuhusu baada ya miaka saba kila seli ya mwili wako huwa mpya tofauti na miaka saba iliyopita
je unabaki yule yule au unakuwa mwingine kila baada ya miaka kadhaa?
[emoji848][emoji848]kwa maana hiyo vina saba (DNA) [emoji3459] vya mtu anapokuwa mtoto mchanga na anapokuwa mtu mzima hubadilika??
 
Wasomi kama nyie mnaoamini miujiza ndio mnaifanya afrika igande.. mungu unayemtaja anayejua yote ndio huyu alikua anahamasisha utumwa na biashara ya utumwa?
Wanaayansi wote walioleta mageuzi duniani waliamini katika miujiza...
Iwe Newton na alchemy, pythagoras na unajimu hata Einstein in short esoteric knowlegde haikwepeki.
 
Wanaayansi wote walioleta mageuzi duniani waliamini katika miujiza...
Iwe Newton na alchemy, pythagoras na unajimu hata Einstein in short esoteric knowlegde haikwepeki.
Hamna mwanasayansi aliamini katika miujiza bali walikuwa na imagination kubwa with outstanding logical thinking
 
Hamna mwanasayansi aliamini katika miujiza bali walikuwa na imagination kubwa with outstanding logical thinking
Hahaha!!! so unapinga Newton hakuamin alchemy??
Ummewahi soma secret paper of Newton?
Unatumia left or right brain or both?
Soma hata newyork bestseller books kam Napollenhill uone
hao wazungu kama hawaamin miujiza.
 
kwa maana nyingine ni kitu kimoja
Mtoto akirithi dna zako utasema ndio wewe una maisha mawili?
au bacteria akidivide na kutengeneza bacteria mwingine utasema bacteria ni mmoja kwa sababu amerithi dna?
DNA ni urithi sio kile kile.
 
Hahaha!!! so unapinga Newton hakuamin alchemy??
Ummewahi soma secret paper of Newton?
Unatumia left or right brain or both?
Soma hata newyork bestseller books kam Napollenhill uone
hao wazungu kama hawaamin miujiza.
miujiza ipi hapa tunayoizungumzia
 
Nilifanya surgery miezi miwili iliyopita, niliwekewa general anesthesia (ganzi ya kulala kabisa).

Niseme tu, mimi sikuwa na Imani na mambo ya nafsi, roho, dimensions zingine n.k ingawa nilikuwa open to proof and understanding, Lakini toka nimeamka kutoka kwenye ile surgery, ni kama nimeamka hivi, ni kama nimezinduka, nahisi Kuna ukweli fulani ambao siujui/hatuujui juu ya haya maisha, a certain reality beyond what we see. Probably waliotuletea hizi dini walikuwa wamejaribu Kwa uwezo wao kuelezea ukweli huo.

Ilikuwa kidogo nianzishe thread niulizie experiences za watu waliowahi kuwekewa ganzi na kulala kabisa. Nikasema sitaki negativity, nitatafuta ukweli taratibu.

Nimejaribu ku google experiences za watu, sijaona yeyote aliyeandika ku experience nilicho experience. Apparently wote walilala tu na hawana kumbukumbu yeyote.

Nikawaza labda nilikuwa naota nikawa nakumbuka ndoto. Lakini ndoto ni tofauti, ukiamka unajua kabisa ulikuwa unaota. Nomatter how real the dream felt you'll still know that it was just a dream!

What I experienced was different! I was somewhere else! Very aware! The real me was there, not an imaginary me! Na kwanza sijawahi kuota chochote Cha namna ile. Nikawa nawaza kabisa nikiwa kule Is this real life? Yani hata ile wakati naanza kuzinduka na kurudi kulala, ilikuwa ni kama I'm jumping into this world then jumping right back into the other. And I was very aware of both. Like yes niko hapa nimelala nafanyiwa surgery, lakini huku kwingine ni wapi!! Mbona mauzauza!

Tangu nimeamka all I could think of was that experience. Where was I?? Nikawa na shauku kweli nije nimwambie daktari, sema alinitoa confidence maana nilimuanzia mbali, nilimwambia Kuna scenario fulani ikitokea kwenye theater akakataa haikutokea wakati yeye mwenyewe hakuwepo wakati inatokea.

Nikaona nikimwambia na hayo mengine ataniabia nilikuwa naota, and sitaki kabisa mtu adismiss nilicho experience kirejareja...

Yani mpaka nikawa na hamu nifanyiwe surgery nyingine niwekewe ile anaesthesia nione kama nitarudi kule. Nikawaza au ile ganzi ilinilevya kama madawa ya kulevya? Labda wanaovuta madawa ndo huwa Wana experience nilicho experience!! Manake niliwahi kusikia wanaovuta wanakuwa wanaona mauzauza.

Sema huwa sipati muda kukaa mwenyewe most of the times, lakini siku nilikaa kimya peke yangu nikawa nimekodolea macho mmea fulani and honestly zile pattern za majani ni kama pattern za kule nilikokuwa, the awkward patterns and the motions were coming back to me.

Coz where I was was just a world of awkward patterns and very very fast motions and awkward distant shadowy figures and awkward sounds (I could describe the sounds as the sounds you hear ukiwa ndani ya maji). Jumlisha na feeling of helplessness like I want to move but I can't, but I'm just sliding!!!

Inshort, nimeanza kuamini there's more to the human consciousness than just "ukifa haupo tena!" Manake kama wanategemea ukiwekewa ganzi uwe "umekufa Kwa muda", me nilikuwa sijafa bwana I was very aware.

* Bila kusahau surgery yenyewe ilimchukua kama lisaa hivi, lakini ile nimedumbukia kwenye ulimwengu huo Hadi nimeanza kuzinduka ilikuwa kama sekunde chache tu!! Like 30 seconds!!

Someone tag a doctor for me.
Pitia neardeath exprience vitabu au website.
 
Back
Top Bottom