Uchaguzi 2020 Hivi ni kweli kuwa CCM inakubalika kama ambavyo watawala wetu wanavyotuaminisha?

Uchaguzi 2020 Hivi ni kweli kuwa CCM inakubalika kama ambavyo watawala wetu wanavyotuaminisha?

Ukweli ni kwamba huku vijijini watu hawana habari na upinzani, upinzani umebaki kwa wenye elimu wanajua kudadavua na kukakavua mambo na mapungufu ya fisiem.

Yaani walio wengi shulu si ndio hivyo tena, kuchambua na kuelewa mambo ni vigumu.

Unawaangalia lakini hata mwelekeo hawana, hata watukanwe wanaona sawa tu yaani unaumia lkn ndio hivyo! Hata tume huru ije bado fisiem itaendelea kushinda kwa kura za vijijini ila sio za mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo serious Ndugu? Vijijini wanaishi watu wasio na elimu?Nani kawakosesha elimu?Mnapenda kutukana Wananchi wa vijijini huku mkiwasifia watawapa kura za kishindo?Mnautumia uelewa wao mdogo kwa faida yenu na mnahakikisha hawaambiwi ukweli na yeyote?Mnapanga kuiba kura zao kwa kuwa hawafahamu haki zao kwa njia ile ile mliyoitumia katika uchaguzi wa serikali za mitaa?
Mnawadhalilisha Watanzania wenzenu katika nchi yao huku ninyi mkiishi kama wafalme kwa kodi zao,viyoyozi full ac ofisini na kwenye magari,mishahara yenu na posho nono,halafu mnawadhihaki waajiri wenu?
Inaumiza akili,mwili na roho za wengi,only CCM's are enjoying endlessly.
 
Ni kweli, CCM inakubalika sana na uthibitisho wa kwanza ni ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulioendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni za uchunguzi huru na wa haki kwa kutumia kanuni ya " the end justifies the means" mshindi ni CCM.

Uthibitisho wa pili utapatikana November mwaka huu ambapo sasa kwa huku bara CCM inakwenda kuzoa viti vyote vya ubunge na udiwani, wembe ule ule uliotumika kwenye Serikali za Mitaa, ndio utatumika uchaguzi Mkuu wa October hii.

Hii yote ni kufuatia Rais Magufuli kukubalika sana hadi viongozi wa upinzani waliojitambua, wanaacha vyama vyao na kujiunga CCM.

Kwa mujibu wa sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Tume huru japo sio shirikishi, na uchaguzi unaendeshwa kwa kanuni za uchaguzi huru na wa haki ila uwanja wa ushindani sawa wa kisiasa ndio uko tenge, yaani the playing field is not level.

Kwa ushindi wa kishindo wa CCM kwenye uchaguzi Mkuu ujao, naomba kuanza kutoa pongezi in advance.

CCM Oye!
Oyeee!
Viva Magufuli
Viva CCM
Mungu Ibariki Tanzania

P
Hoja dhaifu Sana hizi labda kama hujamaanisha. Ikiwa umemaanisha inamana hujui makandokando yaliopo ktk hoja zako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukifikiria matatizo yaliyoetwa na ccm utagundua ni mengi kuliko mazuri...mm sion kukubalika kwa ccm
 
Ni kweli, CCM inakubalika sana na uthibitisho wa kwanza ni ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulioendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni za uchunguzi huru na wa haki kwa kutumia kanuni ya " the end justifies the means" mshindi ni CCM.

Uthibitisho wa pili utapatikana November mwaka huu ambapo sasa kwa huku bara CCM inakwenda kuzoa viti vyote vya ubunge na udiwani, wembe ule ule uliotumika kwenye Serikali za Mitaa, ndio utatumika uchaguzi Mkuu wa October hii.

Hii yote ni kufuatia Rais Magufuli kukubalika sana hadi viongozi wa upinzani waliojitambua, wanaacha vyama vyao na kujiunga CCM.

Kwa mujibu wa sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Tume huru japo sio shirikishi, na uchaguzi unaendeshwa kwa kanuni za uchaguzi huru na wa haki ila uwanja wa ushindani sawa wa kisiasa ndio uko tenge, yaani the playing field is not level.

Kwa ushindi wa kishindo wa CCM kwenye uchaguzi Mkuu ujao, naomba kuanza kutoa pongezi in advance.

CCM Oye!
Oyeee!
Viva Magufuli
Viva CCM
Mungu Ibariki Tanzania

P
Hii fasihi yataka akili kubwa kuelewa.
 
TWAWEZA walishatoa majibu ya utafiti wao kuwa fisiemu inapendwa na watu wa namna gani, utafiti uwa unapingwa kwa utafiti fisiemu hawajafanya utafiti wao wanajiaminisha kwa uchaguzi wa serikali za mitaa uliogubikwa na hila mbalimbali yani mgombea wa upinzani akienda kwa mtendaji kuomba fomu anapewa fomu nusu ila akija wa fisiemu anapewa fomu zote na ata wakikosea kujaza fomu walikuwa wanafutiwa na kurekebishiwa kwenye makosa, wagombea waupinzani wananyimwa fomu arafu usema kuwa uchagu huo ulikuwa uhuru na haki
 
Upo serious Ndugu? Vijijini wanaishi watu wasio na elimu?Nani kawakosesha elimu?Mnapenda kutukana Wananchi wa vijijini huku mkiwasifia watawapa kura za kishindo?Mnautumia uelewa wao mdogo kwa faida yenu na mnahakikisha hawaambiwi ukweli na yeyote?Mnapanga kuiba kura zao kwa kuwa hawafahamu haki zao kwa njia ile ile mliyoitumia katika uchaguzi wa serikali za mitaa?
Mnawadhalilisha Watanzania wenzenu katika nchi yao huku ninyi mkiishi kama wafalme kwa kodi zao,viyoyozi full ac ofisini na kwenye magari,mishahara yenu na posho nono,halafu mnawadhihaki waajiri wenu?
Inaumiza akili,mwili na roho za wengi,only CCM's are enjoying endlessly.
Uzuri wangu sio mwanachama wa chama chochote maana naona wote wanachumia tumbo, kumbuka Wema, Lowasa, Sumaye na wengine walipohamia upinzani, wapinzani wakafurahia na kuanza kuwa-amplify kana kwamba ni watu sahihi chamani.

Mtu unajiuliza hivi hakuna watu wanaofaa humo upinzani! Yaani wako na mambo ya u-CCM, yaani mtu wa upinzani akihamia CCM kila chombo cha habari ndio habari.

Ki ukweli upinzani wa dhati Tanzania bado sana maana hakuna mwenye msimamo ndani ya chama chake bali ni wachache sana sana kuwapata.

Huwa naangalia watu wanajinadi ooh tuko na rais anayejali watu wanyonge halafu huyo anayepigiwa debe akisimama anawatusi pasi kujali hali na shida za watusiwa.

Pia ndugu, kwa sasa though haiapply elimu wanasema ni bure, zamani walikuwa wanachangia 20,000 + michango ya maji, chaki, mlinzi na mengine kama yapo.

Siwezi tukana wa wanakijiji maana nami ni mwanakijiji nayaona yanayoendelea kijijini kwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mystery,
Mlishatambua kuwa Wananchi wanaukubali upinzani tangia hata kabla ya 2015,yamkini walishinda ule uchaguzi na ndiyo maana mkapiga marufuku mikutano ya vyama.Dalili zote zinaashiria kuwa CCM wamejaa hofu na mashaka kuwa 2020 imewadia,CCM pamoja na kufanya propaganda none stop kuwa wanakubalika,bado wamejaa hofu.

Walisema siasa hadi 2020 ila kiuhalisia hadi sasa February inafika ukingoni lakini siasa mpaka Bunge livunjwe. Sasa hapo wanapimaje kukubalika kwao? Wanapambana na adui yao wamemfunga mikono na miguu, then wanasema wameshinda kwa TKO/KO? Hii ni aibu kwa demokrasia, ni sawa na kumbaka Malaya.

Mnapata wapi tathmini za kuwa mnakubalika kiasi cha kushinda kwa kishindo uchaguzi ambao hata haujatangazwa utafanyika tarehe ngapi?Hii siyo sawa na kujitangaza washindi kabla ya Tume ya Uchaguzi?Sheria zetu zimekaaje?
Aaaaaaa wapi.
 
TWAWEZA walishatoa majibu ya utafiti wao kuwa fisiemu inapendwa na watu wa namna gani, utafiti uwa unapingwa kwa utafiti fisiemu hawajafanya utafiti wao wanajiaminisha kwa uchaguzi wa serikali za mitaa uliogubikwa na hila mbalimbali yani mgombea wa upinzani akienda kwa mtendaji kuomba fomu anapewa fomu nusu ila akija wa fisiemu anapewa fomu zote na ata wakikosea kujaza fomu walikuwa wanafutiwa na kurekebishiwa kwenye makosa, wagombea waupinzani wananyimwa fomu arafu usema kuwa uchagu huo ulikuwa uhuru na haki
Hakika, twawea walishamalia kazi, katika utafiti wao, kwa kukuibia ibia kidogo walichosema ni hiki;

Kuwa CCM inakubalika zaidi vijijini, tena kwenye kada za watu ambao hawajaenda shule.....

Vipengele vingine waliivyoelezea twawwza malizia mwenyewe........
 
Account yako imekuwa Hacked? ..au umepatwa na mafua ya Corona? But if you are talking Ironically, basi nimekuelewa Mayala!
Ni kweli, CCM inakubalika sana na uthibitisho wa kwanza ni ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulioendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni za uchaguzi huru na wa haki kwa kutumia kanuni ya " the end justifies the means" mshindi ni CCM.

Uthibitisho wa pili utapatikana November mwaka huu ambapo sasa kwa huku bara CCM inakwenda kuzoa viti vyote vya ubunge na udiwani, wembe ule ule uliotumika kwenye Serikali za Mitaa, ndio utatumika uchaguzi Mkuu wa October hii.

Hii yote ni kufuatia Rais Magufuli kukubalika sana hadi viongozi wa upinzani waliojitambua, wanaacha vyama vyao na kujiunga CCM.

Kwa mujibu wa sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Tume huru japo sio shirikishi, na uchaguzi unaendeshwa kwa kanuni za uchaguzi huru na wa haki ila uwanja wa ushindani sawa wa kisiasa ndio uko tenge, yaani the playing field is not level.

Kwa ushindi wa kishindo wa CCM kwenye uchaguzi Mkuu ujao, naomba kuanza kutoa pongezi in advance.

CCM Oye!
Oyeee!
Viva Magufuli
Viva CCM
Mungu Ibariki Tanzania

P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika, twawea walishamalia kazi, katika utafiti wao, kwa kukuibia ibia kidogo walichosema ni hiki;

Kuwa CCM inakubalika zaidi vijijini, tena kwenye kada za watu ambao hawajaenda shule.....

Vipengele vingine waliivyoelezea twawwza malizia mwenyewe........
Kwa upande wa Rais uungwaji mkono umeserereka kutoka 96% mwaka 2016, ambavyo vilikuwa ni viwango vya juu kuwahi kutokea nchini, mpaka 55% mwaka 2018, viwango vya chini kabisa kuwahi kutokea kwenye historia ya nchi
 
Ni kweli, CCM inakubalika sana na uthibitisho wa kwanza ni ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulioendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni za uchaguzi huru na wa haki kwa kutumia kanuni ya " the end justifies the means" mshindi ni CCM.

Uthibitisho wa pili utapatikana November mwaka huu ambapo sasa kwa huku bara CCM inakwenda kuzoa viti vyote vya ubunge na udiwani, wembe ule ule uliotumika kwenye Serikali za Mitaa, ndio utatumika uchaguzi Mkuu wa October hii.

Hii yote ni kufuatia Rais Magufuli kukubalika sana hadi viongozi wa upinzani waliojitambua, wanaacha vyama vyao na kujiunga CCM.

Kwa mujibu wa sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Tume huru japo sio shirikishi, na uchaguzi unaendeshwa kwa kanuni za uchaguzi huru na wa haki ila uwanja wa ushindani sawa wa kisiasa ndio uko tenge, yaani the playing field is not level.

Kwa ushindi wa kishindo wa CCM kwenye uchaguzi Mkuu ujao, naomba kuanza kutoa pongezi in advance.

CCM Oye!
Oyeee!
Viva Magufuli
Viva CCM
Mungu Ibariki Tanzania

P
Nabarikiwa sana na aina ya uandishi wako, ingawa ili kukuelewa huwa nayaelekezea maandishi kwenye kioo ndio niyasome, yaani kama selfie vile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa upande wa Rais uungwaji mkono umeserereka kutoka 96% mwaka 2016, ambavyo vilikuwa ni viwango vya juu kuwahi kutokea nchini, mpaka 55% mwaka 2018, viwango vya chini kabisa kuwahi kutokea kwenye historia ya nchi
Hiyo ni kwa mujibu wa Rais au Twaweza?

Ninejaribu kukuuliza tu Mkuu The coolest jw ili nipate kujua..........

Kwa vile nakuwa kama nimechanganyikiwa vile, kusikia kwa mujibu wa Rais aeleze kishuka kwake kuaminiwa na watanzania, utakuwa ni ajabu na kweli!
 
Kwa upande wa Rais uungwaji mkono umeserereka kutoka 96% mwaka 2016, ambavyo vilikuwa ni viwango vya juu kuwahi kutokea nchini, mpaka 55% mwaka 2018, viwango vya chini kabisa kuwahi kutokea kwenye historia ya nchi
Huo ndiyo ukweli mtupu, ambao wale watu wa Lumumba hawataki kabisa kuusikia........

Ndiyo sababu kubwa inayowafanya tegemeo lao kubwa kwa ushindi wa aina yoyote hapa nchin ubaki kwa Jeshi la Polisi nchini
 
Ni kweli, CCM inakubalika sana na uthibitisho wa kwanza ni ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulioendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni za uchaguzi huru na wa haki kwa kutumia kanuni ya " the end justifies the means" mshindi ni CCM.

Uthibitisho wa pili utapatikana November mwaka huu ambapo sasa kwa huku bara CCM inakwenda kuzoa viti vyote vya ubunge na udiwani, wembe ule ule uliotumika kwenye Serikali za Mitaa, ndio utatumika uchaguzi Mkuu wa October hii.

Hii yote ni kufuatia Rais Magufuli kukubalika sana hadi viongozi wa upinzani waliojitambua, wanaacha vyama vyao na kujiunga CCM.

Kwa mujibu wa sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Tume huru japo sio shirikishi, na uchaguzi unaendeshwa kwa kanuni za uchaguzi huru na wa haki ila uwanja wa ushindani sawa wa kisiasa ndio uko tenge, yaani the playing field is not level.

Kwa ushindi wa kishindo wa CCM kwenye uchaguzi Mkuu ujao, naomba kuanza kutoa pongezi in advance.

CCM Oye!
Oyeee!
Viva Magufuli
Viva CCM
Mungu Ibariki Tanzania

P
Lakini wewe mzee hizi teuzi kweli? Ila nakutabiria 2020/2025 lazima Ukuu wa mkoa au Ubunge wa Kuteuliwa kazi yako tumeiona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bi Mkubwa aliniambia nimpeleke kuhakiki taarifa zake kwenye daftari la wapiga kura,
Hali niliyojionea ni makundi makubwa ya vijana walihamasika kuja kujiandikisha,Mazungumzo yao yalikuwa waziwazi wengi wakiulizana ushapata " Kichinjio", hakika inaonekana wazi kabisa jinsi watu walivyoichoka CCM.
 
Back
Top Bottom