Uchaguzi 2020 Hivi ni kweli kuwa CCM inakubalika kama ambavyo watawala wetu wanavyotuaminisha?

Uchaguzi 2020 Hivi ni kweli kuwa CCM inakubalika kama ambavyo watawala wetu wanavyotuaminisha?

Ni kweli, CCM inakubalika sana na uthibitisho wa kwanza ni ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulioendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni za uchaguzi huru na wa haki kwa kutumia kanuni ya " the end justifies the means" mshindi ni CCM.

Uthibitisho wa pili utapatikana November mwaka huu ambapo sasa kwa huku bara CCM inakwenda kuzoa viti vyote vya ubunge na udiwani, wembe ule ule uliotumika kwenye Serikali za Mitaa, ndio utatumika uchaguzi Mkuu wa October hii.

Hii yote ni kufuatia Rais Magufuli kukubalika sana hadi viongozi wa upinzani waliojitambua, wanaacha vyama vyao na kujiunga CCM.

Kwa mujibu wa sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Tume huru japo sio shirikishi, na uchaguzi unaendeshwa kwa kanuni za uchaguzi huru na wa haki ila uwanja wa ushindani sawa wa kisiasa ndio uko tenge, yaani the playing field is not level.

Kwa ushindi wa kishindo wa CCM kwenye uchaguzi Mkuu ujao, naomba kuanza kutoa pongezi in advance.

CCM Oye!
Oyeee!
Viva Magufuli
Viva CCM
Mungu Ibariki Tanzania

P
Kama ni wembe ule ule wa kufunga ofisi ni kweli mtashinda kwa hizo asilimia
 
CCM wana matumizi mabaya sana ya fedha za wananchi, leo Katibu Mkuu wao yupo Mtwara basi imekuwa neema kwa madereva bodaboda wamekula posho kila mmoja elfu 10 kwenda kumpokea Airport.

Na kulikuwa na bodaboda zaidi ya 200 hivi ambao wamekula hela ingawa wengine hawakutokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM inakubalika sana vijijini na kwenye vitongoji ambapo asilimia kubwa ya umma wa watanzania wenye elimu ya msingi na kati wako kwa wingi na wanashiriki kupiga kura. Kwa upande mwingine vyama mbadala vinakubalika mijini tena kwa msimu na watu wa tabaka la kati ambao ni waongeaji wazuri na elimu nzuri na ya wastani lakini wengi wao hawaoni maana ya kushiriki kupiga kura pamoja na kujua umuhimu wake.

Kwa tabia hizo mbili kinzani ambazo haziwezi kubadilika ndani ya miezi minane ijayo ni turufu kwa CCM kushinda uchaguzi ujao labda swali likiwa ni kwa asilimia ngapi.
 
Ni kweli, CCM inakubalika sana na uthibitisho wa kwanza ni ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulioendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni za uchaguzi huru na wa haki kwa kutumia kanuni ya " the end justifies the means" mshindi ni CCM.

Uthibitisho wa pili utapatikana November mwaka huu ambapo sasa kwa huku bara CCM inakwenda kuzoa viti vyote vya ubunge na udiwani, wembe ule ule uliotumika kwenye Serikali za Mitaa, ndio utatumika uchaguzi Mkuu wa October hii.

Hii yote ni kufuatia Rais Magufuli kukubalika sana hadi viongozi wa upinzani waliojitambua, wanaacha vyama vyao na kujiunga CCM.

Kwa mujibu wa sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Tume huru japo sio shirikishi, na uchaguzi unaendeshwa kwa kanuni za uchaguzi huru na wa haki ila uwanja wa ushindani sawa wa kisiasa ndio uko tenge, yaani the playing field is not level.

Kwa ushindi wa kishindo wa CCM kwenye uchaguzi Mkuu ujao, naomba kuanza kutoa pongezi in advance.

CCM Oye!
Oyeee!
Viva Magufuli
Viva CCM
Mungu Ibariki Tanzania

P
Nafikiri itolewe haki ya kufanya mikutano kwa vyama vyote isiwe ccm ndiyo wanazunguka nchi nzima na wengine wakitaka kufanya mikutano wanaambiwa kuna taalifa za kiintelejensia,Na leo hii mnaiona ccm inakubalika kwa sababu wapinzani wake wamefungwa mikono nawashangaa mnaosema na kujidai kuwa ccm inakubalika wakati siyo kabisa!!
 
CCM wana matumizi mabaya sana ya fedha za wananchi, leo Katibu Mkuu wao yupo Mtwara basi imekuwa neema kwa madereva bodaboda wamekula posho kila mmoja elfu 10 kwenda kumpokea Airport.

Na kulikuwa na bodaboda zaidi ya 200 hivi ambao wamekula hela ingawa wengine hawakutokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora wapate kabisa kipande cha boss'but is it cost benefit consious'
 
Ni kweli, CCM inakubalika sana na uthibitisho wa kwanza ni ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulioendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni za uchaguzi huru na wa haki kwa kutumia kanuni ya " the end justifies the means" mshindi ni CCM.

Uthibitisho wa pili utapatikana November mwaka huu ambapo sasa kwa huku bara CCM inakwenda kuzoa viti vyote vya ubunge na udiwani, wembe ule ule uliotumika kwenye Serikali za Mitaa, ndio utatumika uchaguzi Mkuu wa October hii.

Hii yote ni kufuatia Rais Magufuli kukubalika sana hadi viongozi wa upinzani waliojitambua, wanaacha vyama vyao na kujiunga CCM.

Kwa mujibu wa sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Tume huru japo sio shirikishi, na uchaguzi unaendeshwa kwa kanuni za uchaguzi huru na wa haki ila uwanja wa ushindani sawa wa kisiasa ndio uko tenge, yaani the playing field is not level.

Kwa ushindi wa kishindo wa CCM kwenye uchaguzi Mkuu ujao, naomba kuanza kutoa pongezi in advance.

CCM Oye!
Oyeee!
Viva Magufuli
Viva CCM
Mungu Ibariki Tanzania

P
Siku hizi ninakuwa mno "Lethargic" kusoma articles zako humu kwani naona kama ziko very sarcastical, sycophantic, ambiguous or even hypocritical.
 
Gibborim,
Ukweli ni kwamba wapinzani mko wengi sana humu JF. Utawala huu umegusa na kuwafikia watanzania wengi sana ktk kutatua kero zao. Hilo pekee linawafanya CCM wajidai. Kimsingi kuna agenda walizokuwa wamezibeba upinzani mwaka 2015 zimefanyiwa kazi kwa kiasi kikubwa. UKWELI muwe mnaukubali japo mara moja.

Hoja ya uwanja sawa wa kufanya siasa Mie nadhani mngeshukuru tu angalau kwa kipindi hiki mtaweza kukusanya watu japo waje wapoteze muda kidogo kuwasikiliza. Mgekuwa mmeishiwa pumzi Kama mngeachwa mfanye siasa za holela tangu 2016 hadi leo.

Sijui wapi mngepata AGENDA zakuwaambia watu. Jiandaeni for more defectors msimu huu.
mtuambie akina Azory na Saanane wako wapi au kuwadhulumu uhai pia ni maendeleo kwenu.
 
Ni kweli, CCM inakubalika sana na uthibitisho wa kwanza ni ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulioendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni za uchaguzi huru na wa haki kwa kutumia kanuni ya " the end justifies the means" mshindi ni CCM.

Uthibitisho wa pili utapatikana November mwaka huu ambapo sasa kwa huku bara CCM inakwenda kuzoa viti vyote vya ubunge na udiwani, wembe ule ule uliotumika kwenye Serikali za Mitaa, ndio utatumika uchaguzi Mkuu wa October hii.

Hii yote ni kufuatia Rais Magufuli kukubalika sana hadi viongozi wa upinzani waliojitambua, wanaacha vyama vyao na kujiunga CCM.

Kwa mujibu wa sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Tume huru japo sio shirikishi, na uchaguzi unaendeshwa kwa kanuni za uchaguzi huru na wa haki ila uwanja wa ushindani sawa wa kisiasa ndio uko tenge, yaani the playing field is not level.

Kwa ushindi wa kishindo wa CCM kwenye uchaguzi Mkuu ujao, naomba kuanza kutoa pongezi in advance.

CCM Oye!
Oyeee!
Viva Magufuli
Viva CCM
Mungu Ibariki Tanzania

P
Kumbe wewe Mayala ni hopelesd sana
 
CCM inakubalika sana vijijini na kwenye vitongoji ambapo asilimia kubwa ya umma wa watanzania wenye elimu ya msingi na kati wako kwa wingi na wanashiriki kupiga kura. Kwa upande mwingine vyama mbadala vinakubalika mijini tena kwa msimu na watu wa tabaka la kati ambao ni waongeaji wazuri na elimu nzuri na ya wastani lakini wengi wao hawaoni maana ya kushiriki kupiga kura pamoja na kujua umuhimu wake.

Kwa tabia hizo mbili kinzani ambazo haziwezi kubadilika ndani ya miezi minane ijayo ni turufu kwa CCM kushinda uchaguzi ujao labda swali likiwa ni kwa asilimia ngapi.
Wajinga wanyonge kwa wingi wao ndio uamua nani awe kiongozi
 
Kumbe wewe Mayala ni hopelesd sana
Wewe unataka akale wapi yeye na watoto wake???Mtukufu Rais alilijua mapema sana ndipo akasema Jina MAYALA kwa kisukuma maana yake Njaa!!!!.
 
Back
Top Bottom