Hivi ni kweli kuwa kila Mwana JamiiForums ana degree?

Hivi ni kweli kuwa kila Mwana JamiiForums ana degree?

wengi tuna Elimu ya mtaani dot.com sema tu tunatumia id bandia
 
Kwani hujui kuwa hulka ya binadamu yeyote, anataka kwenye society aonekane yuko kwenye status ya matawi ya juu.

Hebu nikuulize swali moja tu, hivi yule mheshimiwa sana, ambaye hivi sasa yupo kwenye mjengo pale Dodoma, akihudhuria bunge maalum la katiba, ambaye ni mbunge kwa tiketi ya magamba, toka mkoani Tanga, ambaye anaitwa Profesa maji ya kina kirefu, siyo tu tujiulize kama ana Philosophy of Doctorate, bali tujiulize pia hivi kweli, hata hiyo standard seven au eight, alimaliza kweli?!

Usisahau
Dr. Mengi.
Dr. Mrema.
Dr. Geo Davie Mkuu wa Manabii.
Dr. Manyaunyau.
Dr. Presdent.
Dr. Mama mchungaji Rwa....
Dr. Nape Nauye.
Dr. Ndodi.
Dr. Mchunguzi Huru [phd]
Dr....
 
Usisahau
Dr. Mengi.
Dr. Mrema.
Dr. Geo Davie Mkuu wa Manabii.
Dr. Manyaunyau.
Dr. Presdent.
Dr. Mama mchungaji Rwa....
Dr. Nape Nauye.
Dr. Ndodi.
Dr. Mchunguzi Huru [phd]
Dr....

Nahisi Dr Mchunguzi huru atakuja sasa hivi kujibu hizi tuhuma.
 
We unasema degree tu wakati kila mwana jf ana gari, ana smartphone ya gharama, ana nyumba ya milioni, keshafika ulaya, mzoefu wa biashara, ana kazi kwa tittle bomba kabisa na mengine mengi mazuri.
 
Shalom wakuu!
Swali hili limekuwa likinitatiza sana tangu miaka 2 iliyopita tangu nilipojiunga na JF,

imekuwa ni kama fashion kwa wanaJF wengi kudeclare elimu zao katika post zao nyingi, ajabu kila mtu anasema sijui alipokuwa chuo mwaka wa pili, mwingine ooh nimejiajiri lakini nina degree yangu, hivi ni kweli wote tumesoma mpaka level hizo? Hakuna hata mwenye diploma au Form4 kabisa? Mbaya zaidi hadi vijana wa BRN wa humu JF naona wameanza taratibu kurithi haka karoho ka kipepo kanakotokana na kutojikubali.

Tubadilike jamani.

Shardcole me ni std 7 leaver shule ya msingi MKONDOA--WILAYA YA KILOSA
 
Last edited by a moderator:
cheti pekee nilichonacho ni cheti cha kuzaliwa tu
 
Sababu wenye degree watakuwa ni form four na six pia, au diploma! !!!

So hizo ni subsets, yaani usitafute sukari wakati unakunywa chai, imo humo tayari huwezi iona tena!!!!!

lol! inaelekea ulikuwa mkaree wa namba.
 
Ndugu yangu yaani ya humu ndani ukiyafuatilia, utachoka. Yaani;
-Hakuna mwenye vitz, wote wana v8
-Humu JF wote wanapiga bao 5 na kuendelea, sasa haya mabango ya kuongeza nguvu za kiume ni ya akina nani? Labda wana JF hawahusiki!
-Humu wote wapo dsm, wa Mkiu hayumo humu.
-Humu Jf kila mtu amewahi kupanda ndege au amepanda ndege muda huu.
-Mwenye KIBAMIA humu hayumo, humu kila mtu ana Tangopori tu. Chezea JF weyee!
-Humu watu tunajua kila kitu, mpaka dawa ya ebola imo humu.

-halafu kinginee, hakuna mla mihogo hata mmoja humu wakati kila siku tunapanga foleni kwa mama Cha Upepo.
JF iache kama ilivyo.

Kwa dharau zilizo humu unadhani atasema 'nikiwa darasa la 2 sijavaa viatu' hahaha watu wana jiblend maZingira yanayoashiria wako safi ili kuogopa kuwa defined walivyo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom