High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,134
kama huna ww ni ww tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kaona degree ni elimu kubwa mtu anakuwa na degree hata kiingereza hajui kuongea duu ni hatariisifa ya kuwa Mbunge Tanzania ni Kujua kusoma na Kuandika kiswahili. Kuelimika si kuwa na degree
nasikia Mpigamsuli laana ya jf imemuandama hadi elimu ya.huko muccobs haiendi poa ni mtu wa.kuchomoa sup na kukwepa kidisco
Nina Phd ya uganga wa kienyeji, sisi ndio tunaowakilishwa na yule mzee asiye na dini kwenye bunge la katiba.Lile kubwa jinga la yule mzee anayegongewa mkewe yule mpare lina degree tatu. Moja ya kivulia kambale.
Hoya degree si lazima kujua kiinglish, wengine tumesoma China na Urusi.Labda kaona degree ni elimu kubwa mtu anakuwa na degree hata kiingereza hajui kuongea duu ni hatarii
Usisahau
Dr. Mengi.
Dr. Mrema.
Dr. Geo Davie Mkuu wa Manabii.
Dr. Manyaunyau.
Dr. Presdent.
Dr. Mama mchungaji Rwa....
Dr. Nape Nauye.
Dr. Ndodi.
Dr. Mchunguzi Huru [phd]
Dr....
Shalom wakuu!
Swali hili limekuwa likinitatiza sana tangu miaka 2 iliyopita tangu nilipojiunga na JF,
Imekuwa ni kama fashion kwa wanaJF wengi kudeclare elimu zao katika post zao nyingi, ajabu kila mtu anasema sijui alipokuwa chuo mwaka wa pili, mwingine ooh nimejiajiri lakini nina degree yangu, hivi ni kweli wote tumesoma mpaka level hizo?
Hakuna hata mwenye diploma au Form4 kabisa?
Mbaya zaidi hadi vijana wa BRN wa humu JF naona wameanza taratibu kurithi haka karoho ka kipepo kanakotokana na kutojikubali.
Tubadilike jamani.
hahahaaaa....acha njichekee zangu bana!Hyo thermometer ina degree lakin inafanya kazi kwapani.
hahahaaa...haya bana..lakin mshaambiwa thermomter ina degree lkn inafanya kaz kwapani!Teeh, ailikua anadance na akili za watu jf mwisho wa siku wamemgeuza.... I wish to see him back with....! Hivi jamaa kamaliza chuo au kamba ilikatikia palipoozea?
mmh umejuaje
Ndugu yangu yaani ya humu ndani ukiyafuatilia, utachoka. Yaani;
-Hakuna mwenye vitz, wote wana v8
-Humu JF wote wanapiga bao 5 na kuendelea, sasa haya mabango ya kuongeza nguvu za kiume ni ya akina nani? Labda wana JF hawahusiki!
-Humu wote wapo dsm, wa Mkiu hayumo humu.
-Humu Jf kila mtu amewahi kupanda ndege au amepanda ndege muda huu.
-Mwenye KIBAMIA humu hayumo, humu kila mtu ana Tangopori tu. Chezea JF weyee!
-Humu watu tunajua kila kitu, mpaka dawa ya ebola imo humu.
-halafu kinginee, hakuna mla mihogo hata mmoja humu wakati kila siku tunapanga foleni kwa mama Cha Upepo.
JF iache kama ilivyo.
Shardcole, humu ndani kuna watu wenye elimu tofauti tofauti. Kuna waalimu wenye diploma, waalimu wale wa zamani Upe, Kuna maproffessor, kuna wakulima, Kuna bodaboda, kuna wasukuma toroli, kuna polisi, mawaziri, madaktari, fundi ujenzi, wafanyabiashara, wabunge, housegirls, wanafunzi (primary, secondary, forms 5/6, chuo kikuu) , kuna mahakimu, majaji n.k. Kwa hiyo watu ni wa kila aina wako humu vile vile kama unavyoona facebook, WhatsApp, Viber, twitter, instagram n.k. Kuna kuna wanvyuo kama chuo kikuu, chuo cha ufundi kama seremala, welding, driving n.k. Wenye degree zao nao wapo wakiwa na degree mbalimbali. Kwa hiyo hapa tuko mchanganyiko.