Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,861
- 810
inategemea na degree ya nini na kutoka chuo gani aisee. maana kuna vingine vya mtaani, na kuna degree mpaka za puchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio maana kuna jukwaa la picha?
Yani, haiitaji mtu kudeclare kiwango chake cha elimu, mawazo yake tu utajua huyu mtu kabukua kiasi gani...
wengine wana akili za kuzaliwa mkuu
si kweli kuwa wote tuna degree.Mimi nimeishia darasa la saba.
Shalom wakuu!
Swali hili limekuwa likinitatiza sana tangu miaka 2 iliyopita tangu nilipojiunga na JF,
Imekuwa ni kama fashion kwa wanaJF wengi kudeclare elimu zao katika post zao nyingi, ajabu kila mtu anasema sijui alipokuwa chuo mwaka wa pili, mwingine ooh nimejiajiri lakini nina degree yangu, hivi ni kweli wote tumesoma mpaka level hizo?
Hakuna hata mwenye diploma au Form4 kabisa?
Mbaya zaidi hadi vijana wa BRN wa humu JF naona wameanza taratibu kurithi haka karoho ka kipepo kanakotokana na kutojikubali.
Tubadilike jamani.