Dexta
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 2,096
- 5,211
Jamaa anazuga[emoji23]Acha kumsingizia jamaa yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anazuga[emoji23]Acha kumsingizia jamaa yako
Hapana mkuu, mimi ninalo dude la inch 9 hadi linanilemea 😂Jamaa anazuga[emoji23]
Nyakula ganiUnaongezeka, kuna vyakula vya kula.
Articles nyingi zinaelezea hivyo kwamba baada ya baleghe uume unakuwa hauongezeki tena ila ninavyoamini kuna watu ni late bloomers yaani anapozidi kukua ndo uume wake unazidi kukuwa paka 30's huko ndo unaacha kuongezekaMakala nyingi huzungumzia kuwa ukomo wa ongezeko la uume ni baada ya kipindi kizima cha upevukaji wa mwanaume kutimia
Wataalamu wamekazia kwa kusema, ukubwa wa uume atakaokuwa nao mwanaume baada ya kufikisha miaka 20 ndio huo huo atakaokua nao, na hakuna namna anaweza fanya maboresho ili kuuongeza, wameongelea zaidi kuwa ukubwa wa uume unatokana na vinasaba (genes) anavyorithi mtu kutoka kwa mzazi
Kwa upande wangu mimi, urefu wa uume niliokuwa nao nikiwa na miaka 14 i.e (5.9 inch) ndio huo huo nilionao mpaka leo, kipindi hicho ulikuwa mwembamba, lakini nilipofikisha miaka 23, upana wa uume uliongezeka ghafla na kuufanya kuonekana mfupi na mnene
Hii imekaa vipi kitaalamu? Kama ni kweli kuwa ukubwa wa uume unagota mtu unapofikisha miaka 20
(a) Kwanini kipindi chote hicho cha kuanzia miaka 15 hadi 20 hakukuwepo ongezeko la uume wangu? Je, kuna namna naweza kuuambia mwili wangu ukanifidishia kipindi chote hicho ambacho ukuaji ulikuwa umezorota?
(b) Na kwanini ongezeko la ghafla la upana wa uume wangu lifanyike kinyume na muda uliopangwa kitaalamu wa "23 years"?
Sasa nina miaka 29, Je kuna uwezekano wa uume kuongezeka tena ukubwa? Au nihesabu maumivu?
(c) Weka experience yako i.e size ya uume wako ulivyokuwa teeneger, ililingana na size uliyokuwa nayo under 20+ yrs? Na ndiyo uliyokuwa nayo ukiwa under 30+?
(d) Na kama testesterone hormones zinachangia ongezeko la uume, artificial testesterone hormone injection kwa mtu mzima inaweza kuongeza ukubwa wa uume?
(e) Na vipi kuhusu haya madawa ya asili yanayotangazwa kwenye social media kuongeza ukubwa wa uume, yana connection ipi na misuli ya uume? Na kwanini yapingane na nature (genetics)?
Note: Sihusishwi na tatizo hili, ila nimelileta kwa ajili ya mjadala kama lilivyoulizwa na mfanyakazi mwenzangu
Summary,
Hivi inawezekana uume kuongezeka ukubwa baada ya kipindi cha balehe?View attachment 2427798
Wanawake now days wanataka ndefu nene 😂Kwanini unataka kuongeza size ya uume?
Unataka kumridhisha mke wako au ku boost ego yako wakati wa kufanya uhuni?
Kama ni kumridhisha mkeo, you are enough.
Kama ni kwaajili ya uhuni endelea kuteseka.
Mwenye rambo ana muwa wake, na mwenye kipisi cha sigara ana kifuniko chake cha speedo, acheni kujitesa for no reason.
Huku uume Huku mitako, matatizo ya karne ya 21!!!!
Mimi nina li size la kutosha. Sema huyu rafiki yangu anadai most of women anaopita nao hawaumii, anataka likubwa la kuwalizaMkuu ridhika na size ya uume wako afu upambane kutafuta pesa.
Aiseemkuu acha upuuzi mimi binafsi nina uume wa inch 5.7 na nipo kawaida tu sasa wewe jiharibu alafu utajua hujui.
Ridhika na ukubwa wa uume ulionao mkuu, hawa wanawake hawajawahi kueleweka wanataka niniNyakula gani
Watakuja kuuliza kuwa una uhakika na unachokisema au na wewe umesoma mahali?Articles nyingi zinaelezea hivyo kwamba baada ya baleghe uume unakuwa hauongezeki tena ila ninavyoamini kuna watu ni late bloomers yaani anapozidi kukua ndo uume wake unazidi kukuwa paka 30's huko ndo unaacha kuongezeka
Na kweli, inasikitisha sana aisee 😭Wanawake now days wanataka ndefu nene 😂
Hajambo! Anawasalimu wana jf wote na kuwatakia wikiendi njemaKwani mkeo anasemaje
Aisee😭 Huyu rafiki yangu atapata tabu sana. Aliyemwambia akubali kuzaliwa na ka uume kadogo ni nani.Hamna Dawa ya Kurefusha Uume, hii ni Sawa kwa Mtu Mrefu au Mfupi. Linalowezekana ni Kuunenepesha au Kuukondesha na Si Kuurefesha!!
Mkuu km unamuongelea mtu, na ww sema kwako ilkuaje sas ukiwa teenager na apa sas ulipoMakala nyingi huzungumzia kuwa ukomo wa ongezeko la uume ni baada ya kipindi kizima cha upevukaji wa mwanaume kutimia
Wataalamu wamekazia kwa kusema, ukubwa wa uume atakaokuwa nao mwanaume baada ya kufikisha miaka 20 ndio huo huo atakaokua nao, na hakuna namna anaweza fanya maboresho ili kuuongeza, wameongelea zaidi kuwa ukubwa wa uume unatokana na vinasaba (genes) anavyorithi mtu kutoka kwa mzazi
Kwa upande wangu mimi, urefu wa uume niliokuwa nao nikiwa na miaka 14 i.e (5.9 inch) ndio huo huo nilionao mpaka leo, kipindi hicho ulikuwa mwembamba, lakini nilipofikisha miaka 23, upana wa uume uliongezeka ghafla na kuufanya kuonekana mfupi na mnene
Hii imekaa vipi kitaalamu? Kama ni kweli kuwa ukubwa wa uume unagota mtu unapofikisha miaka 20
(a) Kwanini kipindi chote hicho cha kuanzia miaka 15 hadi 20 hakukuwepo ongezeko la uume wangu? Je, kuna namna naweza kuuambia mwili wangu ukanifidishia kipindi chote hicho ambacho ukuaji ulikuwa umezorota?
(b) Na kwanini ongezeko la ghafla la upana wa uume wangu lifanyike kinyume na muda uliopangwa kitaalamu wa "23 years"?
Sasa nina miaka 29, Je kuna uwezekano wa uume kuongezeka tena ukubwa? Au nihesabu maumivu?
(c) Weka experience yako i.e size ya uume wako ulivyokuwa teeneger, ililingana na size uliyokuwa nayo under 20+ yrs? Na ndiyo uliyokuwa nayo ukiwa under 30+?
(d) Na kama testesterone hormones zinachangia ongezeko la uume, artificial testesterone hormone injection kwa mtu mzima inaweza kuongeza ukubwa wa uume?
(e) Na vipi kuhusu haya madawa ya asili yanayotangazwa kwenye social media kuongeza ukubwa wa uume, yana connection ipi na misuli ya uume? Na kwanini yapingane na nature (genetics)?
Note: Sihusishwi na tatizo hili, ila nimelileta kwa ajili ya mjadala kama lilivyoulizwa na mfanyakazi mwenzangu
Summary,
Hivi inawezekana uume kuongezeka ukubwa baada ya kipindi cha balehe?View attachment 2427798
Nina waswas hajui kuhesabu inchKwa upande wangu mimi, urefu wa uume niliokuwa nao nikiwa na miaka 14 i.e (5.9 inch) ndio huo huo nilionao mpaka leo, kipindi hicho ulikuwa mwembamba, lakini nilipofikisha miaka 23, upana wa uume uliongezeka ghafla na kuufanya kuonekana mfupi na mnene
Mkuu Mbona Unajikanyaga hapa Umesema una Inch 5.9 na kwenye Thread yako No. 23 umesema una Inch 9
Kwa Wastani huo wa Inch 5.9 ni Normal, lakini kwa Inch 9 itabidi ukavyalishwe Pete!! Kwa Unene hamna Shida. Hata kama una Size ya Mguu wa Mtoto, Huta watesa. Urefu ndio Shida.
KIUFUPI; Hamna Dawa ya Kurefusha Uume, hii ni Sawa kwa Mtu Mrefu au Mfupi. Linalowezekana ni Kuunenepesha au Kuukondesha na Si Kuurefesha!!
[emoji23][emoji23]Mkuu, binafsi hata sielewi ilikuwaje, juzi juzi ndi kusema em na mimi nijipime, ndipo kukuta ninamiliki inch 9. Yaani binafsi sikuwa nafuatilia ukuaji wa uume kabisaaaa. Sema mimi ni inch 9 japo mwembambaMkuu km unamuongelea mtu, na ww sema kwako ilkuaje sas ukiwa teenager na apa sas ulipo
Hapana mkuu, nilimuekekeza namna ya kupimaNina waswas hajui kuhesabu inch