Hivi ni kweli kuwa uume unaweza kuongezeka ukubwa baada ya balehe kuisha?

Hivi ni kweli kuwa uume unaweza kuongezeka ukubwa baada ya balehe kuisha?

Mkuu ridhika na size ya uume wako afu upambane kutafuta pesa.
 
Makala nyingi huzungumzia kuwa ukomo wa ongezeko la uume ni baada ya kipindi kizima cha upevukaji wa mwanaume kutimia

Wataalamu wamekazia kwa kusema, ukubwa wa uume atakaokuwa nao mwanaume baada ya kufikisha miaka 20 ndio huo huo atakaokua nao, na hakuna namna anaweza fanya maboresho ili kuuongeza, wameongelea zaidi kuwa ukubwa wa uume unatokana na vinasaba (genes) anavyorithi mtu kutoka kwa mzazi

Kwa upande wangu mimi, urefu wa uume niliokuwa nao nikiwa na miaka 14 i.e (5.9 inch) ndio huo huo nilionao mpaka leo, kipindi hicho ulikuwa mwembamba, lakini nilipofikisha miaka 23, upana wa uume uliongezeka ghafla na kuufanya kuonekana mfupi na mnene

Hii imekaa vipi kitaalamu? Kama ni kweli kuwa ukubwa wa uume unagota mtu unapofikisha miaka 20

(a) Kwanini kipindi chote hicho cha kuanzia miaka 15 hadi 20 hakukuwepo ongezeko la uume wangu? Je, kuna namna naweza kuuambia mwili wangu ukanifidishia kipindi chote hicho ambacho ukuaji ulikuwa umezorota?

(b) Na kwanini ongezeko la ghafla la upana wa uume wangu lifanyike kinyume na muda uliopangwa kitaalamu wa "23 years"?

Sasa nina miaka 29, Je kuna uwezekano wa uume kuongezeka tena ukubwa? Au nihesabu maumivu?

(c) Weka experience yako i.e size ya uume wako ulivyokuwa teeneger, ililingana na size uliyokuwa nayo under 20+ yrs? Na ndiyo uliyokuwa nayo ukiwa under 30+?

(d) Na kama testesterone hormones zinachangia ongezeko la uume, artificial testesterone hormone injection kwa mtu mzima inaweza kuongeza ukubwa wa uume?

(e) Na vipi kuhusu haya madawa ya asili yanayotangazwa kwenye social media kuongeza ukubwa wa uume, yana connection ipi na misuli ya uume? Na kwanini yapingane na nature (genetics)?

Note: Sihusishwi na tatizo hili, ila nimelileta kwa ajili ya mjadala kama lilivyoulizwa na mfanyakazi mwenzangu

Summary,
Hivi inawezekana uume kuongezeka ukubwa baada ya kipindi cha balehe?
View attachment 2427798
Articles nyingi zinaelezea hivyo kwamba baada ya baleghe uume unakuwa hauongezeki tena ila ninavyoamini kuna watu ni late bloomers yaani anapozidi kukua ndo uume wake unazidi kukuwa paka 30's huko ndo unaacha kuongezeka
 
Kwanini unataka kuongeza size ya uume?

Unataka kumridhisha mke wako au ku boost ego yako wakati wa kufanya uhuni?

Kama ni kumridhisha mkeo, you are enough.

Kama ni kwaajili ya uhuni endelea kuteseka.

Mwenye rambo ana muwa wake, na mwenye kipisi cha sigara ana kifuniko chake cha speedo, acheni kujitesa for no reason.

Huku uume Huku mitako, matatizo ya karne ya 21!!!!
Wanawake now days wanataka ndefu nene 😂
 
Articles nyingi zinaelezea hivyo kwamba baada ya baleghe uume unakuwa hauongezeki tena ila ninavyoamini kuna watu ni late bloomers yaani anapozidi kukua ndo uume wake unazidi kukuwa paka 30's huko ndo unaacha kuongezeka
Watakuja kuuliza kuwa una uhakika na unachokisema au na wewe umesoma mahali?

Kwa hiyo huyu rafiki yangu mwenye 29 years ndo aandike maumivu? Mwaka mmoja utamfaa nini? 😭😭
 
Kwa upande wangu mimi, urefu wa uume niliokuwa nao nikiwa na miaka 14 i.e (5.9 inch) ndio huo huo nilionao mpaka leo, kipindi hicho ulikuwa mwembamba, lakini nilipofikisha miaka 23, upana wa uume uliongezeka ghafla na kuufanya kuonekana mfupi na mnene



Mkuu Mbona Unajikanyaga hapa Umesema una Inch 5.9 na kwenye Thread yako No. 23 umesema una Inch 9
Kwa Wastani huo wa Inch 5.9 ni Normal, lakini kwa Inch 9 itabidi ukavyalishwe Pete!! Kwa Unene hamna Shida. Hata kama una Size ya Mguu wa Mtoto, Huta watesa. Urefu ndio Shida.
KIUFUPI; Hamna Dawa ya Kurefusha Uume, hii ni Sawa kwa Mtu Mrefu au Mfupi. Linalowezekana ni Kuunenepesha au Kuukondesha na Si Kuurefesha!!
 
Hamna Dawa ya Kurefusha Uume, hii ni Sawa kwa Mtu Mrefu au Mfupi. Linalowezekana ni Kuunenepesha au Kuukondesha na Si Kuurefesha!!
Aisee😭 Huyu rafiki yangu atapata tabu sana. Aliyemwambia akubali kuzaliwa na ka uume kadogo ni nani.

Yote kwa yote, inasikitisha sana
 
Makala nyingi huzungumzia kuwa ukomo wa ongezeko la uume ni baada ya kipindi kizima cha upevukaji wa mwanaume kutimia

Wataalamu wamekazia kwa kusema, ukubwa wa uume atakaokuwa nao mwanaume baada ya kufikisha miaka 20 ndio huo huo atakaokua nao, na hakuna namna anaweza fanya maboresho ili kuuongeza, wameongelea zaidi kuwa ukubwa wa uume unatokana na vinasaba (genes) anavyorithi mtu kutoka kwa mzazi

Kwa upande wangu mimi, urefu wa uume niliokuwa nao nikiwa na miaka 14 i.e (5.9 inch) ndio huo huo nilionao mpaka leo, kipindi hicho ulikuwa mwembamba, lakini nilipofikisha miaka 23, upana wa uume uliongezeka ghafla na kuufanya kuonekana mfupi na mnene

Hii imekaa vipi kitaalamu? Kama ni kweli kuwa ukubwa wa uume unagota mtu unapofikisha miaka 20

(a) Kwanini kipindi chote hicho cha kuanzia miaka 15 hadi 20 hakukuwepo ongezeko la uume wangu? Je, kuna namna naweza kuuambia mwili wangu ukanifidishia kipindi chote hicho ambacho ukuaji ulikuwa umezorota?

(b) Na kwanini ongezeko la ghafla la upana wa uume wangu lifanyike kinyume na muda uliopangwa kitaalamu wa "23 years"?

Sasa nina miaka 29, Je kuna uwezekano wa uume kuongezeka tena ukubwa? Au nihesabu maumivu?

(c) Weka experience yako i.e size ya uume wako ulivyokuwa teeneger, ililingana na size uliyokuwa nayo under 20+ yrs? Na ndiyo uliyokuwa nayo ukiwa under 30+?

(d) Na kama testesterone hormones zinachangia ongezeko la uume, artificial testesterone hormone injection kwa mtu mzima inaweza kuongeza ukubwa wa uume?

(e) Na vipi kuhusu haya madawa ya asili yanayotangazwa kwenye social media kuongeza ukubwa wa uume, yana connection ipi na misuli ya uume? Na kwanini yapingane na nature (genetics)?

Note: Sihusishwi na tatizo hili, ila nimelileta kwa ajili ya mjadala kama lilivyoulizwa na mfanyakazi mwenzangu

Summary,
Hivi inawezekana uume kuongezeka ukubwa baada ya kipindi cha balehe?
View attachment 2427798
Mkuu km unamuongelea mtu, na ww sema kwako ilkuaje sas ukiwa teenager na apa sas ulipo
 
Kwa upande wangu mimi, urefu wa uume niliokuwa nao nikiwa na miaka 14 i.e (5.9 inch) ndio huo huo nilionao mpaka leo, kipindi hicho ulikuwa mwembamba, lakini nilipofikisha miaka 23, upana wa uume uliongezeka ghafla na kuufanya kuonekana mfupi na mnene



Mkuu Mbona Unajikanyaga hapa Umesema una Inch 5.9 na kwenye Thread yako No. 23 umesema una Inch 9
Kwa Wastani huo wa Inch 5.9 ni Normal, lakini kwa Inch 9 itabidi ukavyalishwe Pete!! Kwa Unene hamna Shida. Hata kama una Size ya Mguu wa Mtoto, Huta watesa. Urefu ndio Shida.
KIUFUPI; Hamna Dawa ya Kurefusha Uume, hii ni Sawa kwa Mtu Mrefu au Mfupi. Linalowezekana ni Kuunenepesha au Kuukondesha na Si Kuurefesha!!
Nina waswas hajui kuhesabu inch
 
Mkuu km unamuongelea mtu, na ww sema kwako ilkuaje sas ukiwa teenager na apa sas ulipo
[emoji23][emoji23]Mkuu, binafsi hata sielewi ilikuwaje, juzi juzi ndi kusema em na mimi nijipime, ndipo kukuta ninamiliki inch 9. Yaani binafsi sikuwa nafuatilia ukuaji wa uume kabisaaaa. Sema mimi ni inch 9 japo mwembamba

Nyie ambao mmekuwa mkifuatilia ndio mtupe mwongozo
 
Back
Top Bottom