Hivi ni kweli kuwa uume unaweza kuongezeka ukubwa baada ya balehe kuisha?

Watakuja kuuliza kuwa una uhakika na unachokisema au na wewe umesoma mahali?

Kwa hiyo huyu rafiki yangu mwenye 29 years ndo aandike maumivu? Mwaka mmoja utamfaa nini? 😭😭
Hamna mkuu sijaweka umri accurate hiyo ni estimation tu juna watu huwa wanaendelea kukua maumbile yao hata wakiwa na 30 au zaidi .
 
Kweli sababu za kumlilia muumba zinatofautiana. Wakati mwingine anatafuta kukuza uume yule msanii wa kizazi kipya amepost picha ya kwanza baada ya miezi 10 ya kumlilia MUNGU.
MUNGU atabaki kuwa MUNGU.
 
Ni rafiki yangu mkuu. Mie ninayo inch 9 mkuu, ila hata mimi natamani kufikia inch 13 ili niwe mwanaume bora
Sasa mkuu inch 9 unaona Bado haitoshi wakati mwenye Saba ni mtu mwenywe bahati sana....hivi unaijua vizuri inch 9
 
Nicheki 0712505049 malipo baada ya kupokea
 
Aseee heb namm nielekezen jnx ya kupima namm nijue Nina nchi ngap hapa Africa?🤣
 

Ukiwa ktk hali gani mkuu? Imesimama ama kawaida?
 
Mimi nina inch 6 nyembamba shoo nikipiga kimoja cha pili sitoboi na sijali kwa hilo... na pia situmii dawa za kubust wala nn na sina tabia ya kubadili wanawake apa najiekea chans kubwa ya kupata CLEAN SHEET
 
Mimi nina inch 6 nyembamba shoo nikipiga kimoja cha pili sitoboi na sijali kwa hilo... na pia situmii dawa za kubust wala nn na sina tabia ya kubadili wanawake apa najiekea chans kubwa ya kupata CLEAN SHEET
Clean sheet ni nini mkuu?
 
Halafu uume ulioongezwa wanaanza kuona wau test kwenye mitako iliyoongezwa🤣
 
Vijana wanapotea kwa kukosa Maarifa Na wanawake wanawaharibu sana kwa kuwa hamna akili ya kufikiri,kila mtu Mungu kama size yake Na utaalamu wake Wa kumfikisha mwanamke kileleni.mwanamke ni sayansi itumie vizur katika kumfanya akuone wew Bora sio kuongeza Dhakar ukubwa cheza Na mwili wake Ana sehemu.zaid ya 20 za utamu katika kila mwili Wa mwanamke
 
Wakati wa kubalehe, mwili wa kiume unapitia mabadiliko mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa misuli, sauti kuwa nzito, na ukuaji wa ndevu za uso na mwili. Hata hivyo, ni muhimu kuelewa kwamba ukubwa wa uume kwa kawaida haubadiliki sana baada ya kubalehe.

Ukubwa wa uume kwa kawaida unategemea sana mambo ya jenetiki na homoni wakati wa maendeleo ya kijusi (foetus). Baada ya kubalehe kukamilika, uume kwa kawaida hufikia ukubwa wake wa watu wazima. Kuna bidhaa na njia mbalimbali zinazotangazwa zikidai kuongeza ukubwa wa uume, lakini ufanisi wake mara nyingi unaweza kuwa na shaka, na ni vyema kuwa na tahadhari kuhusu madai hayo.

Ikiwa una wasiwasi kuhusu ukubwa wa uume au masuala mengine ya afya ya kingono, ni vyema kushauriana na mtaalamu wa afya ambaye anaweza kutoa taarifa sahihi, miongozo, na usaidizi.
 
Mimi nina li size la kutosha. Sema huyu rafiki yangu anadai most of women anaopita nao hawaumii, anataka likubwa la kuwaliza
Mijitu inatumbukiza hadi chupa za wine na haiumii leo mtu anataka kuongeza ub*o ili iweje labda?
Akiona ki ub*o hakimtoshi atumbukize mguu hadi gotini kidadeki zake
 
Mijitu inatumbukiza hadi chupa za wine na haiumii leo mtu anataka kuongeza ub*o ili iweje labda?
Akiona ki ub*o hakimtoshi atumbukize mkuu hadi gotini kidadeki zake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka sana walahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…