Hivi ni kweli kuwa...

kweli wewe ni mbaya sana
ila ni mchokozi sana ndo maana huyo uliyenaye akatulia

possibly yes, love and hate ni two sides za coin
sababu leo unaona wapenzi wanapendana wakiachana visasi vinaanza
ni kushindwa kukubaliana na kuumizwa

Labda kwa vile mi ni mbaya ndio maana nilimpenda na kukubali kuolewa na mume wangu akiwa hana mali...
 

umenichekesha bwana mh unavyoendelea kuquote io garo lol.
 
Kabla hamjafika kwa sheikh au mchungaji au padre si mnakuwa mmeonjana na kupimana viwango?

Je na wale wanaotoa msimamo wa kutoku do mpaka ndoa (hasa kwa wasichana) atakuwa amepima wapi?
 
Mapenzi ya siku hizi yameegemea upande mmoja,ni wapenzi wachache sana waliosambamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…