Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,991
- 24,211
kweli wewe ni mbaya sana
ila ni mchokozi sana ndo maana huyo uliyenaye akatulia
possibly yes, love and hate ni two sides za coin
sababu leo unaona wapenzi wanapendana wakiachana visasi vinaanza
ni kushindwa kukubaliana na kuumizwa
ila ni mchokozi sana ndo maana huyo uliyenaye akatulia
possibly yes, love and hate ni two sides za coin
sababu leo unaona wapenzi wanapendana wakiachana visasi vinaanza
ni kushindwa kukubaliana na kuumizwa
Labda kwa vile mi ni mbaya ndio maana nilimpenda na kukubali kuolewa na mume wangu akiwa hana mali...