DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Nikuulize wewe uliyesema ameshuka na sasa anabebwa na mashabiki maandaziKwani alikuwa nafasi ya ngapi kwenye rank tanzania? Na nani ali certify hiyo rank?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikuulize wewe uliyesema ameshuka na sasa anabebwa na mashabiki maandaziKwani alikuwa nafasi ya ngapi kwenye rank tanzania? Na nani ali certify hiyo rank?
Be honestKulikuwa na NATURE, MR NICE, CAMELEON, P.JAY, AFANDE, J.DEE n.k... leo wametulia itakuwa huyu?
Au we mgeni kwenye muziki.. Hizi ni nyakati zake zikipita huwezi kuzirudisha
Ni kweli.. ndio maana nasema ni nyakati zake na zikipita kurudi ni ngumuBe honest
hakuna hata mmoja kati ya hao uliowaorodhesha aliyedumu kileleni kwa muda mrefu kama Diamond. Mnyonge mnyongeni ila haki yaki ni muhimu sana.
Mbaya zaidi umemuweka na AFande kwenye hilo kundi.
Kwa diamond labda aache mziki cos kwa Sasa hivi ni tasisi sio msanii pekee Hilo lazima ujue.Ni kweli.. ndio maana nasema ni nyakati zake na zikipita kurudi ni ngumu
Ukijua maana ya nyakati huwezi kusumbuka...Kwa diamond labda aache mziki cos kwa Sasa hivi ni tasisi sio msanii pekee Hilo lazima ujue.
Sikiliza nikuambie diamond ameshajitanua kibiashara na pia ana wasanii wake wanafanya vizuri na still anaongeza wasanii wengine lkn ni msanii ana hela nyingi pamoja na wafuasi wengi nafikiri unajua nikisema ana wafuasi wengi utakuwa unajua vizuri hii ndio tofauti ya diamond na hao wasanii wako walianguka wameshindwa kutumia vizuri nafasi zao kutengeneza empire zao.Ukijua maana ya nyakati huwezi kusumbuka...
Yaani media zikampigie magoti NASIBU DOMO??.. Kwa kipi mzee hahahaaaaaWadau wa Burudani nianze kwa kuwasalimu Igweee...!
Thread title is clear..
Sasa nisiwachoshe... Tushee maujuzi.. Je! Ni kwanini imeshindikana kumtoa Diamond katika maintsream...
Yani ni yeye tu kila mahali....
New Hits....
Gossips...
Infortaiments...
Events....
Love zones....
Parenting....
Showbizz... and all...
Yani ni kweli kwamba wasanii, waigizaji, ma slay queens, wambeaa.. Woote wameshindwa kabisa kumchallenge Mondi!? Mnamuacha tu atawale all the Industry ya burudani!?? Hivi mnajua hela ngapi anapiga!??
Licha ya kufungiwa katka Media kuu nchini Clouds na EATV n RADIO hajayumba. !??
Hivi hizi media zilizompa ban... Hazioni ni pesa ngapi zimeshapoteza na zitaendelea poteza kwasababu tu ya wivu na chuki za kishirikina.!??
Media hizi hazijui ni jinsi gani wapenzi wa WCB wanakosa burudani kutoka kwa upande huo!??
Okayy...! Labda mlipishana kibiashara.. Je! Wasikilizaji inawahusu nini!!??
All hit songs and events are now WCB.... why dont u come down and negotiate...for the good of yourselves and Tanzanians.
Tangu mwaka huu umeanza Sijaona wa kumlinganisha na Diamond Platnumz....
Its a high time now this Man receive a special Recognition..
Ntarudi...
We umezungumzia nn hapo au we ni KIMA siyo mtu?..hahahaaa watu bwanaWakumshusha hayupo, Ali kiba kaachana na mkewe lakini watu hata hawazungumzii. Wataroga saaana lakini mwisho wa siku aliyepewa kapewa [emoji23][emoji23][emoji23]
Kiba anatoa ngoma moja miezi 8 had mwaka and he still there kila mtu na mbinu yake kibiasharaMashabiki tunaojielew hatuhitaji msanii yoyote ashushwe bali tunahitaji wasanii wengine waongezeke zaidi ili kutuwakilisha kimataifa tuzo za mtv wenzetu wa naigeria wasanii wanaoshiriki kweny tuzo wapo zaidi ya 30 lakini sisi wasanii wetu wakimataifa wanahesabik bado tunahitaji tuwashushe ni upumbavu tu sasa game ya mziki inakoelekea ni kama inakufa sababu wasanii wengi hawana hela ya kutoa ngoma kila siku siku hizi mashabiki wanasikiliza nyimbo wiki bas wameshaichoka kwahiyo kwenda na kasi ya sasa kama wcb wasanii wengi wameanguka ata ukiangalia tu
Ulimtaja fikirani kwenye andiko ukakwepa inatosha...king is always on WCB fans na hata boss wao nahis hahahahaaaa huyu jamaa n hatar sanaSikutaka kumtaja Kiba kwenye main thread maana ningetukanwa sana...
Hao jamaa wana hasira kinoma..
Kila wanachojaribu fanya....goes down to waste.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Watu wanatofautiana MALEZI mzee ndo maana juna wasanii hata wenza wao hatuwajui bt diamond kila mwanamke wake tz nzima itajua...so kila mtu na style yake kutokana na malezi na taratibu zakeHili la kuachana na Mkewe ...kama Kiba angekuwa na akili angeligeuza kuwa fursa...
Sema ndo hivyo.
Mondi kila changamoto anayoipata anaigeuza inakuwa pesa..
Watasubiri sanaa..
So coz domo kakorofishana nao ndo wasanii wooote wakorofishane nazo boya kweli ww...mbona alianza jide bt diamond alikuwa anaendelea nao so nae angekaa pemben coz hawapatani na Jide?Game ya bongo flavour haifi....
Ipo na itaendelea kuepo..
Waliofikiri kwamba wameishika game na wanaiongoza wao ndo wanapotea.
Kuna wasanii wapumbavu ambao bado wako controlled na hizo media..
Ana hela tangu hajakutana na NASIBU CHANDOMO.Lakini hela inaendelea flow.. Na familia kibao zinamtegemea kuendesha maisha yao.
Kuna kitu wabongo wengi hawaelewi... Platnumz alipofika sasa ni kama kiwanda...
Kumbuka kwamba Zari ni balozi wa baby diappers.... Bado Zari anaendelea kupiga pesa kwa kutumia mgongo wa Platnumz..
Mbona yy na mashabiki wake ndo MNAONGOZA KWA KUWEWESEKA MITANDAONI.Huyo diamond kashindikana hakuna wakumshusha unawezaje kumshusha anaye control game? amewaacha wasanii wenzake mbali sana kiasi ambacho hata akija kushuka still remain number 1.
Kweli na ndo maana umepata likes 100 kwenye hii comment kutoka kwa mashabiki WENGI wa diamoñdData, Kama ujui humu jamiiforum team kiba wapo wachache Sana tofauti na team diamond ambayo ina fans wengi.