Hivi ni kweli kwamba imeshidikana kabisa kumshusha Diamond Platnumz licha ya juhudi zote kutoka kwa haters?

Hivi ni kweli kwamba imeshidikana kabisa kumshusha Diamond Platnumz licha ya juhudi zote kutoka kwa haters?

Shilawadu wana hali mbaya sana kutokana na hili bifu,

Kiba intavyuu ndo kitu hawezi bora kuimba tu... wako disappointed ila wanavitutumua.
 
Nimeandika Mwenyewe mkuu,ndio maana nimemsema na kiba usije ukaona mimi ni Team Kiba,sina team kabisa mie ni shabiki wa mziki mzuri,msanii yeyote akitoa mziki mzuri nitamsupport ila hao wasanii wenu wanatoa maboko sana miaka hii,domo wa number1 na kiba wa Rkelly sio hawa wa sasa....Jamaa yenu amebakiwa na fedha za utube,ringtones na matangazo tu,shows ni za kuforce tu wala sio fan demand.

Ndio maana nikakwambia kwa sasa KIBA na DOMO wote wanabebwa na mashabiki maandazi ,mambo ya mashindano ,nani ana views ningi Utube,nani anasemwa sana instagram au facebook badala ya kushindana nani ana tzo kora,nani ana tuzo BET,Nani ana tuzo MTV,nani katoa wimbo wa TAIFA etc

hii akili mwanzisha thread hana

na hajui kuwa diamond alikuwa once anachukua tuzo za afrika, na alitakiwa awe kwenye global stage.
yeye anaona mafanikio ni kuwa no. 1 trending

mashairi ya sasa mabovu kabisa....
 
Game ya bongo flavour haifi....

Ipo na itaendelea kuepo..

Waliofikiri kwamba wameishika game na wanaiongoza wao ndo wanapotea.

Kuna wasanii wapumbavu ambao bado wako controlled na hizo media..
Game kwa sasa mkuu hailipi mkuu hilo lipo wazi mpaka sasa haijulikani fiesta ipo ama vipi lakini pia wasanii wapo kimakundi wengi hawana ubavu wakuwakimbia clouds
 
hii akili mwanzisha thread hana

na hajui kuwa diamond alikuwa once anachukua tuzo za afrika, na alitakiwa awe kwenye global stage.
yeye anaona mafanikio ni kuwa no. 1 trending

mashairi ya sasa mabovu kabisa....
Hao ndio washauri wa DIMONDI,wanaambiana waingie youtube na ku click nyimbo za dimond kuongeza views basi wao wanaona inatosha ili wawecheke kina team kiba,ndipo walipofikia.
 
hii akili mwanzisha thread hana
na hajui kuwa diamond alikuwa once anachukua tuzo za afrika, na alitakiwa awe kwenye global stage.
yeye anaona mafanikio ni kuwa no. 1 trending
mashairi ya sasa mabovu kabisa....
Diamond has gone global long ago....
We jamaa vipi!??
 
Wadau wa Burudani nianze kwa kuwasalimu Igweee...!

Thread title is clear..

Sasa nisiwachoshe... Tushee maujuzi.. Je! Ni kwanini imeshindikana kumtoa Diamond katika maintsream...

Yani ni yeye tu kila mahali....

New Hits....

Gossips...

Infortaiments...

Events....

Love zones....

Parenting....

Showbizz... and all...

Yani ni kweli kwamba wasanii, waigizaji, ma slay queens, wambeaa.. Woote wameshindwa kabisa kumchallenge Mondi!? Mnamuacha tu atawale all the Industry ya burudani!?? Hivi mnajua hela ngapi anapiga!??

Licha ya kufungiwa katka Media kuu nchini Clouds na EATV n RADIO hajayumba. !??

Hivi hizi media zilizompa ban... Hazioni ni pesa ngapi zimeshapoteza na zitaendelea poteza kwasababu tu ya wivu na chuki za kishirikina.!??

Media hizi hazijui ni jinsi gani wapenzi wa WCB wanakosa burudani kutoka kwa upande huo!??

Okayy...! Labda mlipishana kibiashara.. Je! Wasikilizaji inawahusu nini!!??

All hit songs and events are now WCB.... why dont u come down and negotiate...for the good of yourselves and Tanzanians.

Tangu mwaka huu umeanza Sijaona wa kumlinganisha na Diamond Platnumz....

Its a high time now this Man receive a special Recognition..

Ntarudi...
WIVU NI STEJI YA MWISHO KABLA YA KUWA MCHAWI, HAKUNA ALIEFANIKIWA BILA MAADUI NA PIA BILA MARAFIKI, UKITAKA KUFIKA MBALI UNAHITAJI WATU WA KARIBA HIZO MBILI, SI KWA DIAMOND WALA KWA ALIKIBA WALA KWA MWANSIASA NA HATA KWAKO, HII FOMULA NI KWA KILA ALIE NA UCHUNGU YA KUFIKIA NA KUZIDI KWENDA JUU KIMAFANIKIO, HAIITAJI UUMIZE AKILI KUJUA KUWA ILI UFANIKIWE UNAHITAJI MARAFIKI ILI ILI UFANIKIWE ZAIDI UNAHITAJI MAADUI, UKIONA UNAPENDWA NA KILA MTU JUA UNA KASORO, SIONI HAJA YA KUUMIZA KICHWA WAKATI NI MFUMO WA MAISHA ULIVYO.
 
ohoo
Wamechill tu...

Kiongozi wao ni Matola . Alafu kuna mtu anaitwa Nifah ...
Hao jamaa ni majeshi.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hahaaaaa wewe naeeee! Unakumbuka kipindi kile hadi tulikuwa maadui? Nyakati zile zimepita haziwezi kurudi tena 🤦🏻‍♀️
 
WIVU NI STEJI YA MWISHO KABLA YA KUWA MCHAWI, HAKUNA ALIEFANIKIWA BILA MAADUI NA PIA BILA MARAFIKI, UKITAKA KUFIKA MBALI UNAHITAJI WATU WA KARIBA HIZO MBILI, SI KWA DIAMOND WALA KWA ALIKIBA WALA KWA MWANSIASA NA HATA KWAKO, HII FOMULA NI KWA KILA ALIE NA UCHUNGU YA KUFIKIA NA KUZIDI KWENDA JUU KIMAFANIKIO, HAIITAJI UUMIZE AKILI KUJUA KUWA ILI UFANIKIWE UNAHITAJI MARAFIKI ILI ILI UFANIKIWE ZAIDI UNAHITAJI MAADUI, UKIONA UNAPENDWA NA KILA MTU JUA UNA KASORO, SIONI HAJA YA KUUMIZA KICHWA WAKATI NI MFUMO WA MAISHA ULIVYO.
heshima yako kiongozi.... NimekuelewA VYEMAA.
kumbe ndio maana Fid Q kuna ngoma moja aliimba... "SI HITAJI MARAFIKI"... now I know.
 
Wakumshusha hayupo, Ali kiba kaachana na mkewe lakini watu hata hawazungumzii. Wataroga saaana lakini mwisho wa siku aliyepewa kapewa [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe unataka ashuke kimziki ?
 
Back
Top Bottom