Hivi ni kweli kwamba imeshidikana kabisa kumshusha Diamond Platnumz licha ya juhudi zote kutoka kwa haters?

Hivi ni kweli kwamba imeshidikana kabisa kumshusha Diamond Platnumz licha ya juhudi zote kutoka kwa haters?

Wadau wa Burudani nianze kwa kuwasalimu Igweee...!

Thread title is clear..

Sasa nisiwachoshe... Tushee maujuzi.. Je! Ni kwanini imeshindikana kumtoa Diamond katika maintsream...

Yani ni yeye tu kila mahali....

New Hits....

Gossips...

Infortaiments...

Events....

Love zones....

Parenting....

Showbizz... and all...

Yani ni kweli kwamba wasanii, waigizaji, ma slay queens, wambeaa.. Woote wameshindwa kabisa kumchallenge Mondi!? Mnamuacha tu atawale all the Industry ya burudani!?? Hivi mnajua hela ngapi anapiga!??

Licha ya kufungiwa katka Media kuu nchini Clouds na EATV n RADIO hajayumba. !??

Hivi hizi media zilizompa ban... Hazioni ni pesa ngapi zimeshapoteza na zitaendelea poteza kwasababu tu ya wivu na chuki za kishirikina.!??

Media hizi hazijui ni jinsi gani wapenzi wa WCB wanakosa burudani kutoka kwa upande huo!??

Okayy...! Labda mlipishana kibiashara.. Je! Wasikilizaji inawahusu nini!!??

All hit songs and events are now WCB.... why dont u come down and negotiate...for the good of yourselves and Tanzanians.

Tangu mwaka huu umeanza Sijaona wa kumlinganisha na Diamond Platnumz....

Its a high time now this Man receive a special Recognition..

Ntarudi...
Screenshot_20190713-105320.png
 
Jamaa kashafika mbali sana hata akirudi nyumba kwa miaka kumi bado atakua wa kwanza.Anajua kutumia fursa yoyote inayopita mbele yake.
Tatizo hapa ninaloliona ni nani aanze kumfuata mwenzake wayamalize..
Media huwa zinajiona ziko juu ya kila kitu..wakisahau kwamba media zinaongozwa na watu wenye mapungufu yao kibinadamu.
Nakumbuka Wasafi walipishana na EATV na RADIO yule kima Dula alipoandaa zile Music awards ambazo wasafi walizitosa....
From there the hate started.
Wasichoelewa ni kwamba Diamond hashuki leo wala kesho.
Wamfuate tu wa appologise yaishe..
Ila mawingu sijawahi jua chanzo cha hate.
 
Wadau wa Burudani nianze kwa kuwasalimu Igweee...!

Thread title is clear..

Sasa nisiwachoshe... Tushee maujuzi.. Je! Ni kwanini imeshindikana kumtoa Diamond katika maintsream...

Yani ni yeye tu kila mahali....

New Hits....

Gossips...

Infortaiments...

Events....

Love zones....

Parenting....

Showbizz... and all...

Yani ni kweli kwamba wasanii, waigizaji, ma slay queens, wambeaa.. Woote wameshindwa kabisa kumchallenge Mondi!? Mnamuacha tu atawale all the Industry ya burudani!?? Hivi mnajua hela ngapi anapiga!??

Licha ya kufungiwa katka Media kuu nchini Clouds na EATV n RADIO hajayumba. !??

Hivi hizi media zilizompa ban... Hazioni ni pesa ngapi zimeshapoteza na zitaendelea poteza kwasababu tu ya wivu na chuki za kishirikina.!??

Media hizi hazijui ni jinsi gani wapenzi wa WCB wanakosa burudani kutoka kwa upande huo!??

Okayy...! Labda mlipishana kibiashara.. Je! Wasikilizaji inawahusu nini!!??

All hit songs and events are now WCB.... why dont u come down and negotiate...for the good of yourselves and Tanzanians.

Tangu mwaka huu umeanza Sijaona wa kumlinganisha na Diamond Platnumz....

Its a high time now this Man receive a special Recognition..

Ntarudi...
Wadau wa Burudani nianze kwa kuwasalimu Igweee...!

Thread title is clear..

Sasa nisiwachoshe... Tushee maujuzi.. Je! Ni kwanini imeshindikana kumtoa Diamond katika maintsream...

Yani ni yeye tu kila mahali....

New Hits....

Gossips...

Infortaiments...

Events....

Love zones....

Parenting....

Showbizz... and all...

Yani ni kweli kwamba wasanii, waigizaji, ma slay queens, wambeaa.. Woote wameshindwa kabisa kumchallenge Mondi!? Mnamuacha tu atawale all the Industry ya burudani!?? Hivi mnajua hela ngapi anapiga!??

Licha ya kufungiwa katka Media kuu nchini Clouds na EATV n RADIO hajayumba. !??

Hivi hizi media zilizompa ban... Hazioni ni pesa ngapi zimeshapoteza na zitaendelea poteza kwasababu tu ya wivu na chuki za kishirikina.!??

Media hizi hazijui ni jinsi gani wapenzi wa WCB wanakosa burudani kutoka kwa upande huo!??

Okayy...! Labda mlipishana kibiashara.. Je! Wasikilizaji inawahusu nini!!??

All hit songs and events are now WCB.... why dont u come down and negotiate...for the good of yourselves and Tanzanians.

Tangu mwaka huu umeanza Sijaona wa kumlinganisha na Diamond Platnumz....

Its a high time now this Man receive a special Recognition..

Ntarudi...
Vipi kuhusu Diamond karanga na Tube perfume ,bado zinauzika tena kama zamani ?
 
Tatizo hapa ninaloliona ni nani aanze kumfuata mwenzake wayamalize..
Media huwa zinajiona ziko juu ya kila kitu..wakisahau kwamba media zinaongozwa na watu wenye mapungufu yao kibinadamu.
Nakumbuka Wasafi walipishana na EATV na RADIO yule kima Dula alipoandaa zile Music awards ambazo wasafi walizitosa....
From there the hate started.
Wasichoelewa ni kwamba Diamond hashuki leo wala kesho.
Wamfuate tu wa appologise yaishe..
Ila mawingu sijawahi jua chanzo cha hate.
EATV radio ni radio makini sio kwa ajili ya kumpromote kilaza kama huyu wenu .
 
Mnhh...

Mkuu unajua wewe ni Expert wa muda mrefu sana hapa JF..
Umeandika mwenyewe au umeandikiwa!??

Nijibu hilo kwanza then unipe FACTS Diamond kashuka vipi kimuziki..

Msanii ambaye tangu mwaka uanze hakuna aliyemtoa ktk trend huko U tube.
Nimeandika Mwenyewe mkuu,ndio maana nimemsema na kiba usije ukaona mimi ni Team Kiba,sina team kabisa mie ni shabiki wa mziki mzuri,msanii yeyote akitoa mziki mzuri nitamsupport ila hao wasanii wenu wanatoa maboko sana miaka hii,domo wa number1 na kiba wa Rkelly sio hawa wa sasa....Jamaa yenu amebakiwa na fedha za utube,ringtones na matangazo tu,shows ni za kuforce tu wala sio fan demand.

Ndio maana nikakwambia kwa sasa KIBA na DOMO wote wanabebwa na mashabiki maandazi ,mambo ya mashindano ,nani ana views ningi Utube,nani anasemwa sana instagram au facebook badala ya kushindana nani ana tzo kora,nani ana tuzo BET,Nani ana tuzo MTV,nani katoa wimbo wa TAIFA etc
 
Wakumshusha hayupo, Ali kiba kaachana na mkewe lakini watu hata hawazungumzii. Wataroga saaana lakini mwisho wa siku aliyepewa kapewa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi alikiba ni kweli amemuacha mkewe?
Mbona mapema hivyo kuna Siri gani?
 
Mashabiki tunaojielew hatuhitaji msanii yoyote ashushwe bali tunahitaji wasanii wengine waongezeke zaidi ili kutuwakilisha kimataifa tuzo za mtv wenzetu wa naigeria wasanii wanaoshiriki kweny tuzo wapo zaidi ya 30 lakini sisi wasanii wetu wakimataifa wanahesabik bado tunahitaji tuwashushe ni upumbavu tu sasa game ya mziki inakoelekea ni kama inakufa sababu wasanii wengi hawana hela ya kutoa ngoma kila siku siku hizi mashabiki wanasikiliza nyimbo wiki bas wameshaichoka kwahiyo kwenda na kasi ya sasa kama wcb wasanii wengi wameanguka ata ukiangalia tu
Dah yaani ww jamaa umekuwa na akili Kama zangu niliwaza kucomment Kama hivi ukaniwahi.
Wenzetu wa Nigeria na South Africa wanavuma wengi sana kimataifa na wengine ni undergrounds tu lakini wanasumbua Africa nzima.
 
Hivi Diamond kumiliki 47% ya Wasafi media unaona ni ndogo?kwa kijana aliyeanzia chini bila chochote leo anamiliki media house unaona jambo dogo? Na pia dunia ya leo hakuna mtu anayefanya biashara peke yake,watu wanaunganisha nguvu mambo yanasonga,kwa anayemdharau Diamond kwa hili jambo atakua mpumbavu!
47% ya Mtaji wa Ngapi? Maana Swahili Media Le Mutuz ana 0.00002%,Kuanzisha Redio kuna Member ashawahi kuweka humu atleast 100m inahitajika.(47m haiwezi kumshinda DOMO).
 
Nimeandika Mwenyewe mkuu,ndio maana nimemsema na kiba usije ukaona mimi ni Team Kiba,sina team kabisa mie ni shabiki wa mziki mzuri,msanii yeyote akitoa mziki mzuri nitamsupport ila hao wasanii wenu wanatoa maboko sana miaka hii,domo wa number1 na kiba wa Rkelly sio hawa wa sasa....Jamaa yenu amebakiwa na fedha za utube,ringtones na matangazo tu,shows ni za kuforce tu wala sio fan demand.
Ndio maana nikakwambia kwa sasa KIBA na DOMO wote wanabebwa na mashabiki maandazi ,mambo ya mashindano ,nani ana views ningi Utube,nani anasemwa sana instagram au facebook badala ya kushindana nani ana tzo kora,nani ana tuzo BET,Nani ana tuzo MTV,nani katoa wimbo wa TAIFA etc
Mindset yako imekaa kiloko sana aisee...
 
47% ya Mtaji wa Ngapi? Maana Swahili Media Le Mutuz ana 0.00002%,Kuanzisha Redio kuna Member ashawahi kuweka humu atleast 100m inahitajika.(47m haiwezi kumshinda DOMO).
Kwamba kuanzisha redio inahitajika milioni 100?huwezi kuwa serious Mkuu!Swahili Media yenyewe iliwashinda ndio maana sasa hivi imekua dizzim!

Mtaji alioweka Diamond sijui ni kiasi gani lakini brand yake tu ya wasafi inambeba,sidhani kama alikua fala brand yake itumike bila kuwa na percentage ya uhakika,hivyo 47% siyo ndogo bila kujali alichoweka, mwisho wa siku faida(gawio ) unapata kulingana na hisa ulizonazo!
 
Jenga hoja ...
Naona upo kimipasho zaidi..

hoja ipi? ukp narrow minded

kama diamond yuko huu basi waza ampite wizkidx davido, tecno n.k

dunia ni kijiji bana

waza aende kimataifa na atapata support

one thing you must know, no one cares kama anapata mamilioni, mamia, ma bilion, so far waliofanya uamuzi wako happy...theb be it
 
Hivi Diamond kumiliki 47% ya Wasafi media unaona ni ndogo?kwa kijana aliyeanzia chini bila chochote leo anamiliki media house unaona jambo dogo? Na pia dunia ya leo hakuna mtu anayefanya biashara peke yake,watu wanaunganisha nguvu mambo yanasonga,kwa anayemdharau Diamond kwa hili jambo atakua mpumbavu!

nani kasema ndogo mjomba??

umetunga swali lako, hoja yako na ukajijibu

sijasema ndogo katu, wala sijadharau
 
Wadau wa Burudani nianze kwa kuwasalimu Igweee...!

Thread title is clear..

Sasa nisiwachoshe... Tushee maujuzi.. Je! Ni kwanini imeshindikana kumtoa Diamond katika maintsream...

Yani ni yeye tu kila mahali....

New Hits....

Gossips...

Infortaiments...

Events....

Love zones....

Parenting....

Showbizz... and all...

Yani ni kweli kwamba wasanii, waigizaji, ma slay queens, wambeaa.. Woote wameshindwa kabisa kumchallenge Mondi!? Mnamuacha tu atawale all the Industry ya burudani!?? Hivi mnajua hela ngapi anapiga!??

Licha ya kufungiwa katka Media kuu nchini Clouds na EATV n RADIO hajayumba. !??

Hivi hizi media zilizompa ban... Hazioni ni pesa ngapi zimeshapoteza na zitaendelea poteza kwasababu tu ya wivu na chuki za kishirikina.!??

Media hizi hazijui ni jinsi gani wapenzi wa WCB wanakosa burudani kutoka kwa upande huo!??

Okayy...! Labda mlipishana kibiashara.. Je! Wasikilizaji inawahusu nini!!??

All hit songs and events are now WCB.... why dont u come down and negotiate...for the good of yourselves and Tanzanians.

Tangu mwaka huu umeanza Sijaona wa kumlinganisha na Diamond Platnumz....

Its a high time now this Man receive a special Recognition..

Ntarudi...
Nyie shusheni tu sie twatimua vumbi[emoji470][emoji470][emoji470][emoji23]
 
Bro unaongea pumba Sana ndo tatizo la team kiba yaani wewe ukipata like kwa comment hii mshukuru mungu alafu unaonekana ujui kitu we baki jukwaa la siasa hapa upawezi.

wewe ukisema tu mtu anaongea pumba inakuwa sio??? ha ha

yaani umejiweka level ambayo unaweza ukaamua kuwa huyu kasema pumba na watu wote duniani wanakuitikia..acha kuwa inferior

hasira zako ni kujua mmiliki wa WCB ndio huyo huyo wa clouds FM??

najua hili linauma
 
Back
Top Bottom