Hivi ni kweli maziwa huharibu dawa?

Hivi ni kweli maziwa huharibu dawa?

You shouldn't stick on CLARITHROMYCIN sir think bigger any microlide can fit: eg azithromycin , telithromycin , erythromycin or even any antibiotic like amoxicillin can be used as well so the guy was correct ...
I don't understand how the strength of regimen can be lowered in absence of CLARITHROMYCIN
Madonda ya tumbo yalikuwa yakitibiwa na triple therapy zamani ambazoni
Ant acid
Amoxycilline
And metronidazole.

Current regime have changed it seems that H. Pyroli are sensitive to
Tinidazole{metronidazole}
clarithromycine

In fact mnachobishana ni regime ya zamani na ya sasa
 
Dawa zetu hazinaga makasha yake tunauziwa kwenye vibahasha, halafu yule muuzaji anayejiita dokta wakati miezi miwili nyuma alikuwa ni mlinzi wa hilo duka anacharaza sana mwandiko ili tushindwe kusoma jina la dawa. Unaambulia kuona 2x3 baaaaas. mwaJ
Kama unaweza kuchangia hapa jf nadhani kugugo unaweza pia
 
Nimekunywa Maziwa mgando baada ya mda nikameza flucamox na Metrinidazole je nitakuwa nimeuwa nguvu ya dawa,
Kama yamesha chacha hayana effect kwenye dawa kwa kuwa tayari yapo kwenye acidic madeum
 
Sijui nitumie lugha gani rahisi ili tuelewane maana hapa ni pure pharmacology. Lakini ina nut shell si kwamba kila dawa ukinywa na pombe utakuwa ila kwa hizo nitro imidazole kama metronidazole, tinidazole secnidazole na nyingine it's obvious utapata disulfiram like effect ambayo ni worse ni inaweza kuwa life threatening.
Kwa kifupi dawa ukinywa huwa zina hatua nne kwenye mwili wa mwandamu ambapo ni 1. Absorption (unyonywaji)
2. Distribution (usambazaji)
3. Metabolism(kuichakata dawa )
4. Excretion( utolewaji)
Kuna enzymes ambazo huwa zipo kwenye ini zinahusika kufanya kazi ya metabolism ili kiasi fulani cha dawa kitu mike mwilini na Mabaki ya toke kwa njia ya jasho, mkojo, haja kubwa n.k
Moja ya enzymes hizo kuna kitu kunaitwa Cytochrome P 450 ambayo hutumika kwenye metabolism ya dawa nyingi pamoja na chakula. Na kwa kuwa enzyme huwa zinafanya kazi katika mfumo wa kama kufuri na funguo mara nyingi unakuta kuna kuwa na competition kati ya enzymes na substrate.
Hapa substrates kwetu n dawa husika pamoja na pombe. Zote zinakuwa zinataka kutumia hiyo CYP P450 ili kuwa metabolised. Sasa kunachotokea mara nyingi pombe inakuwa mshindi na kuacha dawa bila kuwa metabolised hivyo kufanya kuwa toxic mwilini .Hivyo basi toxicity inasabishwa na hiyo bio - accumulation. Nimejaribu tu kugusa gusa maana kwa undani wake ni somo refu.
Lakini kwa kifupi ni kwamba USIUMIE POMBE wakati umekunywa dawa. Sio lazima ufe ila unaweza ku impair metabolism ya sawa. Ahsante sijui kama kidogo nimeeleweka
Vipi kuhusu mtindi?Je nao una effect yoyote kwa hizo dawa ambazo mtu hapaswi kutumia na maziwa
 
Back
Top Bottom