Sijui nitumie lugha gani rahisi ili tuelewane maana hapa ni pure pharmacology. Lakini ina nut shell si kwamba kila dawa ukinywa na pombe utakuwa ila kwa hizo nitro imidazole kama metronidazole, tinidazole secnidazole na nyingine it's obvious utapata disulfiram like effect ambayo ni worse ni inaweza kuwa life threatening.
Kwa kifupi dawa ukinywa huwa zina hatua nne kwenye mwili wa mwandamu ambapo ni 1. Absorption (unyonywaji)
2. Distribution (usambazaji)
3. Metabolism(kuichakata dawa )
4. Excretion( utolewaji)
Kuna enzymes ambazo huwa zipo kwenye ini zinahusika kufanya kazi ya metabolism ili kiasi fulani cha dawa kitu mike mwilini na Mabaki ya toke kwa njia ya jasho, mkojo, haja kubwa n.k
Moja ya enzymes hizo kuna kitu kunaitwa Cytochrome P 450 ambayo hutumika kwenye metabolism ya dawa nyingi pamoja na chakula. Na kwa kuwa enzyme huwa zinafanya kazi katika mfumo wa kama kufuri na funguo mara nyingi unakuta kuna kuwa na competition kati ya enzymes na substrate.
Hapa substrates kwetu n dawa husika pamoja na pombe. Zote zinakuwa zinataka kutumia hiyo CYP P450 ili kuwa metabolised. Sasa kunachotokea mara nyingi pombe inakuwa mshindi na kuacha dawa bila kuwa metabolised hivyo kufanya kuwa toxic mwilini .Hivyo basi toxicity inasabishwa na hiyo bio - accumulation. Nimejaribu tu kugusa gusa maana kwa undani wake ni somo refu.
Lakini kwa kifupi ni kwamba USIUMIE POMBE wakati umekunywa dawa. Sio lazima ufe ila unaweza ku impair metabolism ya sawa. Ahsante sijui kama kidogo nimeeleweka