Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka fidHata fid mteja muda utaongea
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Ungeenda siasani ndio kuna kufaa huku hizi ndio habari zakehizi ndo stori za wanaume wa Daslam, they discuss people and rumours insteady of ideas and facts.
Ngw'ana Kabula
Siku utakaposingiziwa jambo, utameza hayo maneno!Fununu mara nyingi ni kweli
ha ha ha, makalio ya sufuria hayaogopi motoMtaani kuna habari zinasambaa kwa kasi kuwa msanii wa hit song ya muziki, Msanii Darasa anakula unga. Juzi kati nikafanikiwa kumuona kwenye Clouds Tv kwenye show ya jiwe la mwezi pale Morogoro jamaa amepungua sana halafu muda wote alikuwa ana wenge sana.
Je tetesi hizi zina ukweli kiasi gani?
Mda sana inasemekana hivyo muda utatuambia ukifika unga una mwisho wake kama ya kina chid yalisemwa hivi hivi mwisho wake tumejionea
HakikaUnga ni Sawa na Cream ya kujichubua sura.
Kwa sababu, baada ya muda fulani ngozi huchoka na kushindwa kuchubuka tena bali huanza kuoza.
Kwa hiyoz hata huyo class inatajulikana tu.
uongo huwa unamiza sana kama ukisingiziwaSiku utakaposingiziwa jambo, utameza hayo maneno!
ndo umekuja kufanya kale kausaili ka TIARAEI,?Darasa ndio nani?
Nina siku mbili hapa daslam
Sent From Ikulu-Magogoni street
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu na yeye atakuja kusema kakutana na Aaliyah huko cuba ili wapige collaboration
Sent using Jamii Forums mobile app
alafu kuna mibwege humu inanyanyua pua eti darasa ni mkali kuliko joh makini..chalii ya daraja bee,mwamba wa kaskazini na bongo tz kwa ujumlaMtaani kuna habari zinasambaa kwa kasi kuwa msanii wa hit song ya muziki, Msanii Darasa anakula unga. Juzi kati nikafanikiwa kumuona kwenye Clouds Tv kwenye show ya jiwe la mwezi pale Morogoro jamaa amepungua sana halafu muda wote alikuwa ana wenge sana.
Je tetesi hizi zina ukweli kiasi gani?