Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio kwa maana hiyo mkuu nenda katafute mstari huo usome vizuri na mazingira ya nini kilipelekee Yesu kusema hivyo!
Jiuluze ni kwa nini KWA ASILIMIA KUBWA WATU MAFUKARA SANA NI WALE WALIOWEKA SANA DINI MBELE.Habari wadau!
Huwa namtafakari sana Mungu,je ni kweli hana upendeleo kwa wale wanao amini kama kuna Mungu naombeni jibu.
Binafsi naona kama kuna watu wamependelewa sana wao na familia zao zimependelewa naona mpaka uzao wao pia unazidi kupendelewa.
Au kuna Miungu tofauti tofauti kila mtu anaabudu wake??
Anaeijua Sana dini hawezi kuwa fukara labda ataishia kwenye umasikini na sio ufukaraJiuluze ni kwa nini KWA ASILIMIA KUBWA WATU MAFUKARA SANA NI WALE WALIOWEKA SANA DINI MBELE.
Ok. Umaskini. Huwa hawawi matajiri wa mali na fedha kabisa. Muda mwingi badala ya kupambana kujijenga kiuchumi, unawakuta kanisani. Badala ya kupambana mchana na usiku, unawakuta mlimani siku 40 wanaomba Mungu awafanyie muujiza. Sababu ni kwamba Mungu anataka watu wachape kazi sana. Ila hawa wakereketwa wa dini wao wanaamini zaidi miujiza ya maombi na sio juhudi za kazi. Kwao juhudi za maombi ni kila kitu.Anaeijua Sana dini hawezi kuwa fukara labda ataishia kwenye umasikini na sio ufukara
Mungu kakataza nguruwe na wenyewe wamezila sana yani wakati mungu anasema ni alamuBabu zetu watahukumiwa kwa matendo yao maana sheria tayari zilikuwa zimeandikwa katika mioyo yao kabla ya ujio wa dini.
Mfano, walipotaka kufanya matendo mabaya (wizi, uzinzi, uuaji...), walishtakiwa na dhamira zao. Ikiwa waliamua kutenda mabaya hapo hamna excuse!
Umeandika kuwa walikula nguruwe bila kujua na kisha watachomwa moto!
Je umefikiria kwanza ulichoandika hapa?
Ata kama umuamin ndugu usiseme fara najua una asila kwa magumu unayopitiaHuyo Mungu wa kwenye vitabu nilishamuonaga Fara kitambo sana
Acha uboya ata mungu anataka muulize.anataka mpaka tukosowe ili tueleweshweNimechagua kusoma comments nisije kufuru bure.
SawaAcha uboya ata mungu anataka muulize.anataka mpaka tukosowe ili tueleweshwe
Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
Hao awasali awamjui Mungu,Mungu ni Kazi na salaOk. Umaskini. Huwa hawawi matajiri wa mali na fedha kabisa. Muda mwingi badala ya kupambana kujijenga kiuchumi, unawakuta kanisani. Badala ya kupambana mchana na usiku, unawakuta mlimani siku 40 wanaomba Mungu awafanyie muujiza. Sababu ni kwamba Mungu anataka watu wachape kazi sana. Ila hawa wakereketwa wa dini wao wanaamini zaidi miujiza ya maombi na sio juhudi za kazi. Kwao juhudi za maombi ni kila kitu.
kwakwelHabari wadau!
Huwa namtafakari sana Mungu,je ni kweli hana upendeleo kwa wale wanao amini kama kuna Mungu naombeni jibu.
Binafsi naona kama kuna watu wamependelewa sana wao na familia zao zimependelewa naona mpaka uzao wao pia unazidi kupendelewa.
Au kuna Miungu tofauti tofauti kila mtu anaabudu wake??
Warumi 9:13. Kama ilivyoandikwa,Warumi 2:11 kwa maana hakuna upendeleo kwa Mungu.
Matendo ya Mitume 10:34 Petro akafumbua kinywa chake, akasema, Hakika natambua ya kuwa Mungu hana upendeleo;
Waefeso 6:9 Nanyi, akina bwana, watendeeni wao yayo hayo, mkiacha kuwaogofya, huku mkijua ya kuwa yeye aliye Bwana wao na wenu yuko mbinguni, wala kwake hakuna upendeleo.
MUNGU HANA UPENDELEO WALA HATAKUJA KUWA NA UPENDO NENO LAKE NI KWELI NA HAKI
Naongelea Mungu aliyenibadilisha na kabadilisha maisha ya watu wengi walio mtii