Hivi ni kweli Palestina hawana Jeshi?

Hivi ni kweli Palestina hawana Jeshi?

Palestine sio nchi na haitowahi kuwa nchi

Waislamu %17 israel
Wakristo %2 israel,, hamshtuki tu!!!!! Why waislamu ni wengi kuliko wakristo?

Halafu miyahudi miyeusi mnakuja kumtetea huyu hayawani,,,pamoja na kumkana Mungu wenu feki/Yesu, na kutoutambua ukristo wenu na ictoshe akasulubiwa na still mnawakingia kifua dhidi ya wapalestina. Akili za kipumbafu hizi. Badilikeni
 
Muosha huoshwa! Wapalestina/waarabu ni damu za kiafrica na kizungu. Ila hawatutaki sisi eti ni maskini.
Pale palestina walipo waliwapora weusi.
Hii siri wanaijua wazungu tu.
Na lengo lao ni kupanua mipaka mpaka Cairo unashusha na mto nile Hadi uganda yote ile ni mali yao unakuja hadi mwisho shinyanga kwenda mpaka israel ni nchi ya babu zao wanazitaka.

Uganda wameshamtongoza mseven amewaweka pale milele wanafanya yao. Ndo maana Mseven hatikiswi madarakani.

Idd amin alistukia issue mapema mnajua kilichompata.
ū
 
Dalmine

Yes!

Ni Mungu aliwapa kwa sababu waliopewa kihalali waliikataa nchi na walipinga kumtumikia Mungu. Wakamhasi Mungu! Wakafanya ibada za sanamu.


Sasa Mungu afanyeje?
na onyo aliwapa hao waliomuhasi kuwa namnukuu

"Mkinihasi nitanyanyua hata mawe yaniabudu" ndo hao walionyanyuliwa na Mungu na kweli sehemu zote za kumbukumbu ya Mungu zimetunzwa mpaka leo toka Yesu anazaliwa.
Mipalestina ilikosea kuleta uislamu tuuu! Ikasahau sehemu nyeti km hizi za bethlehemu!
Ivo msiwaonee wivu babu zenu walishindwa vibaya kumtii Mungu ndo maana mnalia leo na mtalia sana!! Cha moto mtakiona

Mungu Alisema hamtarudi tena pale kwa nchi ya asali na maziwa kabla hajakuja. Aliwapa mkashiba mkamnyea!
Akawatupa utumwani mpaka leo mlio wengi hamjitambui. Nyie ni nani!!! Mnaamini mmetokana na nyani. Na bado!!!

Sisi tunaojua kidogo Mungu ametupa wepesi na unafuu wa maisha km hivi make tumesha jua na kutubu walio fanya babu zetu. tatizo ni nyie milipuko!
 
Umejibu vzr sana hongera bw Elungata.
Palestine ina maana nyingi,,maana inajumuisha hadi israel,kwani kabla ya 1948 iliijulikana kama palestine ikiwa chini ya udhamini wa Uingereza,,yaani umoja wa mataifa baada ya vita vya pili vya dunia iliipa uingereza kwa niaba yake ili kuitawala kabla ya kupata uhuru,
So raia wa wa palestine wenye asili ya kiyahudi(palestine jews? Wakaanzisha mapambano ya kujitenga na hatimae kujitangazia uhuru 1948, ndiposa pakaweko na israel ndani ya eneo la palestine,
Hii ilipelekea waarabu waliokuwa wakiishi maeneo hayo wajulikane rasmi sasa kama wapalestine,yaani wakazi wa palestine,
Palestiner ya leo imegawika sehemu kuu 2,
Western bank na gaza,,
Western bank wana jeshi la polis,,
Gaza wana jeshi lao la Hamas,
Wapalestine wa israel,walioko miji ya jerusalem,nazaret,bethelehem wanajulikana kama israel arabs
 
Umejibu vzr sana hongera bw Elungata.
Palestine ina maana nyingi,,maana inajumuisha hadi israel,kwani kabla ya 1948 iliijulikana kama palestine ikiwa chini ya udhamini wa Uingereza,,yaani umoja wa mataifa baada ya vita vya pili vya dunia iliipa uingereza kwa niaba yake ili kuitawala kabla ya kupata uhuru,
So raia wa wa palestine wenye asili ya kiyahudi(palestine jews? Wakaanzisha mapambano ya kujitenga na hatimae kujitangazia uhuru 1948, ndiposa pakaweko na israel ndani ya eneo la palestine,
Hii ilipelekea waarabu waliokuwa wakiishi maeneo hayo wajulikane rasmi sasa kama wapalestine,yaani wakazi wa palestine,
Palestiner ya leo imegawika sehemu kuu 2,
Western bank na gaza,,
Western bank wana jeshi la polis,,
Gaza wana jeshi lao la Hamas,
Wapalestine wa israel,walioko miji ya jerusalem,nazaret,bethelehem wanajulikana kama israel arabs
 
Yes!

Ni Mungu aliwapa kwa sababu waliopewa kihalali waliikataa nchi na walipinga kumtumikia Mungu. Wakamhasi Mungu! Wakafanya ibada za sanamu.


Sasa Mungu afanyeje?
na onyo aliwapa hao waliomuhasi kuwa namnukuu

"Mkinihasi nitanyanyua hata mawe yaniabudu" ndo hao walionyanyuliwa na Mungu na kweli sehemu zote za kumbukumbu ya Mungu zimetunzwa mpaka leo toka Yesu anazaliwa.
Mipalestina ilikosea kuleta uislamu tuuu! Ikasahau sehemu nyeti km hizi za bethlehemu!
Ivo msiwaonee wivu babu zenu walishindwa vibaya kumtii Mungu ndo maana mnalia leo na mtalia sana!! Cha moto mtakiona

Mungu Alisema hamtarudi tena pale kwa nchi ya asali na maziwa kabla hajakuja. Aliwapa mkashiba mkamnyea!
Akawatupa utumwani mpaka leo mlio wengi hamjitambui. Nyie ni nani!!! Mnaamini mmetokana na nyani. Na bado!!!

Sisi tunaojua kidogo Mungu ametupa wepesi na unafuu wa maisha km hivi make tumesha jua na kutubu walio fanya babu zetu. tatizo ni nyie milipuko!

Uzuri huwa sijadiliani na mtu mwenye roho mbaya na mbaguzi.
 
Yes!

Ni Mungu aliwapa kwa sababu waliopewa kihalali waliikataa nchi na walipinga kumtumikia Mungu. Wakamhasi Mungu! Wakafanya ibada za sanamu.


Sasa Mungu afanyeje?
na onyo aliwapa hao waliomuhasi kuwa namnukuu

"Mkinihasi nitanyanyua hata mawe yaniabudu" ndo hao walionyanyuliwa na Mungu na kweli sehemu zote za kumbukumbu ya Mungu zimetunzwa mpaka leo toka Yesu anazaliwa.
Mipalestina ilikosea kuleta uislamu tuuu! Ikasahau sehemu nyeti km hizi za bethlehemu!
Ivo msiwaonee wivu babu zenu walishindwa vibaya kumtii Mungu ndo maana mnalia leo na mtalia sana!! Cha moto mtakiona

Mungu Alisema hamtarudi tena pale kwa nchi ya asali na maziwa kabla hajakuja. Aliwapa mkashiba mkamnyea!
Akawatupa utumwani mpaka leo mlio wengi hamjitambui. Nyie ni nani!!! Mnaamini mmetokana na nyani. Na bado!!!

Sisi tunaojua kidogo Mungu ametupa wepesi na unafuu wa maisha km hivi make tumesha jua na kutubu walio fanya babu zetu. tatizo ni nyie milipuko!
Mkuu kwenye "kuhasi" una maanisha kile kitendo cha kuzihujumu korodani za mnyama? Kama ndivyo hao unaowaongelea waliwezaje kumuhasi mungu! Naye anakuwaga nazo?
 
Gaza ndio hakuna jeshi la Israel, West Bank ipo occupied na majeshi ya Israel tangu mwaka 1967.

We unadhani Israel ingewezaje kujenga makazi West Bank kama isingekuwa ime control karibu eneo lote na jeshi?

Israel ina expand taratibu na lengo ni kuimeza West Bank yote, na ndio maana two state solution ni kizungumkuti sababu Israel haitaki kuachia West Bank
Sasa kwanini hao Hamas wasitanuke hadi huko Westbank wakati ni Palestina yote?
 
Waislamu %17 israel
Wakristo %2 israel,, hamshtuki tu!!!!! Why waislamu ni wengi kuliko wakristo?

Halafu miyahudi miyeusi mnakuja kumtetea huyu hayawani,,,pamoja na kumkana Mungu wenu feki/Yesu, na kutoutambua ukristo wenu na ictoshe akasulubiwa na still mnawakingia kifua dhidi ya wapalestina. Akili za kipumbafu hizi. Badilikeni
Umeanza kupayuka ovyo
 
Back
Top Bottom