Hivi ni kweli Palestina hawana Jeshi?

Sasa mbona wanataka kuwepo mataifa mawili hapo yaani taifa la Israel na taifa la Palestina?

Ina maana hawa jamaa (Palestina) sio taifa?
Palestine sio nchi na haitowahi kuwa nchi
 
Palestine sio nchi na haitowahi kuwa nchi

Waislamu %17 israel
Wakristo %2 israel,, hamshtuki tu!!!!! Why waislamu ni wengi kuliko wakristo?

Halafu miyahudi miyeusi mnakuja kumtetea huyu hayawani,,,pamoja na kumkana Mungu wenu feki/Yesu, na kutoutambua ukristo wenu na ictoshe akasulubiwa na still mnawakingia kifua dhidi ya wapalestina. Akili za kipumbafu hizi. Badilikeni
 
Muosha huoshwa! Wapalestina/waarabu ni damu za kiafrica na kizungu. Ila hawatutaki sisi eti ni maskini.
Pale palestina walipo waliwapora weusi.
Hii siri wanaijua wazungu tu.
Na lengo lao ni kupanua mipaka mpaka Cairo unashusha na mto nile Hadi uganda yote ile ni mali yao unakuja hadi mwisho shinyanga kwenda mpaka israel ni nchi ya babu zao wanazitaka.

Uganda wameshamtongoza mseven amewaweka pale milele wanafanya yao. Ndo maana Mseven hatikiswi madarakani.

Idd amin alistukia issue mapema mnajua kilichompata.
ū
 
Dalmine

Yes!

Ni Mungu aliwapa kwa sababu waliopewa kihalali waliikataa nchi na walipinga kumtumikia Mungu. Wakamhasi Mungu! Wakafanya ibada za sanamu.


Sasa Mungu afanyeje?
na onyo aliwapa hao waliomuhasi kuwa namnukuu

"Mkinihasi nitanyanyua hata mawe yaniabudu" ndo hao walionyanyuliwa na Mungu na kweli sehemu zote za kumbukumbu ya Mungu zimetunzwa mpaka leo toka Yesu anazaliwa.
Mipalestina ilikosea kuleta uislamu tuuu! Ikasahau sehemu nyeti km hizi za bethlehemu!
Ivo msiwaonee wivu babu zenu walishindwa vibaya kumtii Mungu ndo maana mnalia leo na mtalia sana!! Cha moto mtakiona

Mungu Alisema hamtarudi tena pale kwa nchi ya asali na maziwa kabla hajakuja. Aliwapa mkashiba mkamnyea!
Akawatupa utumwani mpaka leo mlio wengi hamjitambui. Nyie ni nani!!! Mnaamini mmetokana na nyani. Na bado!!!

Sisi tunaojua kidogo Mungu ametupa wepesi na unafuu wa maisha km hivi make tumesha jua na kutubu walio fanya babu zetu. tatizo ni nyie milipuko!
 
Umejibu vzr sana hongera bw Elungata.
 
Umejibu vzr sana hongera bw Elungata.
 

Uzuri huwa sijadiliani na mtu mwenye roho mbaya na mbaguzi.
 
Mkuu kwenye "kuhasi" una maanisha kile kitendo cha kuzihujumu korodani za mnyama? Kama ndivyo hao unaowaongelea waliwezaje kumuhasi mungu! Naye anakuwaga nazo?
 
Sasa kwanini hao Hamas wasitanuke hadi huko Westbank wakati ni Palestina yote?
 
Umeanza kupayuka ovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…